Ipo siku Lissu atadondoka na kuumia vibaya sana kwenye Meza anazoandaliwa na CHADEMA atumie kama "Jukwaa"

Ipo siku Lissu atadondoka na kuumia vibaya sana kwenye Meza anazoandaliwa na CHADEMA atumie kama "Jukwaa"

for sure ni muda mrefu wamekua wakifanya mzaha na majukwaa ya kiongozi wao huyu, hembu check kwa mfano jukwaa hili hapa chini dah, ni hatari kabisaaaa. hao walinzi wataokoa nini mjamaa akidondoka apo?🐒
😅😅😅😅 nimecheka sana
 
Kwanini sasa anataka gari la kifahari la mamilioni ya pesa??? Kwanini asinunue hata la millioni 20?
Kwani ni Tundu Lissu ameomba kununuliwa gari? Wakereketwa ndiyo wamependekeza hivyo. Na kwa akili yako kwa safari anazofanya nchi nzima gari ya M20 inaweza kuhimili mizunguko hiyo tena kwenye rough roads? Wewe unaleta ligi za kitoto.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona niseme haya mapema sana ili yakitokea ya kutokea CHADEMA wasije kuanza kusema wamehujumiwa na serikali au CCM. Kwa sababu mtu mvivu wa kutumia akili akipata tatizo huwa anakimbilia kutafuta majibu mepesi na rahisi, kama ambavyo amewahi kusema Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere katika kitabu chake cha "Tujisahihishe" cha mwaka 1962.

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA kushindwa kumuandalia Makamu Mwenyekiti wake jukwaa zuri, la kueleweka na lenye usalama wa kutosha. Yaani Makamu Mwenyekiti anapewa meza ya kupangia nyanya na vitunguu sokoni tena iliyochakaa, kuchoka, kupauka na mbaya sana ili itumike kama jukwaa? Yaani CHADEMA inashindwa kuchangishana pesa kununua mbao ili kutengeneza jukwaa zuri, la kueleweka na lenye usalama?

Chama bora, makini, imara na chenye weledi kama CCM huwa kina mpangilio mzuri sana wa mambo yake ambayo yanakuwa yanaakisi afya njema ya akili ya wanachama pamoja na viongozi wake. Ukiiona chama kinashindwa hata kuandaa tu jukwaa la kiongozi wake mkubwa kama Makamu, basi ujue ndio akili za viongozi wake zilipogota na kufikia. Mpangilio wa vitu huanzia akilini, kichwani na kuja katika matendo. Haya ya kumpatia Lissu meza na kupangiwa matofali chini kwa hakika ni aibu ya karne, ni maajabu yanayostahili kuingia katika maajabu ya Nchi na Bara la Afrika.

CHADEMA haijawahi kuwa siriasi, ni chama kipo kipo tu, kinajiendea endea tu kama kipofu gizani. Kinajisukuma sukuma tu kama mtu aliyezidiwa na pombe kichwani. Hakina mipango wala mikakati, wala maono wala malengo hata ya urefu wa pua zao. Hakiwezi hata kupanga nini kitafanya kesho. Ndiyo maana hakiwezi hata kuweka mipango na maandalizi juu ya jukwaa atakalotumia kiongozi wake kuzungumza na watu.

CHADEMA walivyo wavivu wa kufikiri na kutumia akili vyema, ikitokea Lissu akaanguka na kuumia vibaya mwili wake, utaona kwa ufinyu wa akili wanaanza kuitupia lawama serikali yetu na chama chetu cha Mapinduzi CCM kuwa ndio imesababisha. Watasema Lissu na CHADEMA wamehujumiwa. Halafu haraka sana kama kawaida yao wataanza kutoa namba za kuomba michango ya kumtibu hospitali na gharama zingine. Maana hiyo ndio kazi ambayo CHADEMA inaweza kuifanya kwa ufanisi mzuri sana, kutokana na kupenda sana pesa za bila jasho.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
20240607_201644.jpg
 
Kwani ni Tundu Lissu ameomba kununuliwa gari? Wakereketwa ndiyo wamependekeza hivyo. Na kwa akili yako kwa safari anazofanya nchi nzima gari ya M20 inaweza kuhimili mizunguko hiyo tena kwenye rough roads? Wewe unaleta ligi za kitoto.
Sasa nataka unijibu swali hili kwa akili yako hiyo hiyo uliyotumia kujibu swali hili. Kama ndio hivyo je kwanini mlikuwa mnashupaza shingo na kupinga serikali ikiwapa majibu ya aina hiyo kuwa inanunua magari hayo ya VX kwa sababu ya kutembea umbali mrefu Nchini na kupita maeneo mbalimbali yenye aina tofautitofauti ya barabara,kwa kuwa gari hizo ni imara,salama na himilivu?

Si unaona namna ambavyo CHADEMA huwa mnajisahau na kusahau mlizungumza nini jana? Ndio maana nasemega kuwa CHADEMA hamjitambui hata kidogo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Nimeona niseme haya mapema sana ili yakitokea ya kutokea CHADEMA wasije kuanza kusema wamehujumiwa na serikali au CCM. Kwa sababu mtu mvivu wa kutumia akili akipata tatizo huwa anakimbilia kutafuta majibu mepesi na rahisi, kama ambavyo amewahi kusema Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere katika kitabu chake cha "Tujisahihishe" cha mwaka 1962.

Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA kushindwa kumuandalia Makamu Mwenyekiti wake jukwaa zuri, la kueleweka na lenye usalama wa kutosha. Yaani Makamu Mwenyekiti anapewa meza ya kupangia nyanya na vitunguu sokoni tena iliyochakaa, kuchoka, kupauka na mbaya sana ili itumike kama jukwaa? Yaani CHADEMA inashindwa kuchangishana pesa kununua mbao ili kutengeneza jukwaa zuri, la kueleweka na lenye usalama?

Chama bora, makini, imara na chenye weledi kama CCM huwa kina mpangilio mzuri sana wa mambo yake ambayo yanakuwa yanaakisi afya njema ya akili ya wanachama pamoja na viongozi wake. Ukiiona chama kinashindwa hata kuandaa tu jukwaa la kiongozi wake mkubwa kama Makamu, basi ujue ndio akili za viongozi wake zilipogota na kufikia. Mpangilio wa vitu huanzia akilini, kichwani na kuja katika matendo. Haya ya kumpatia Lissu meza na kupangiwa matofali chini kwa hakika ni aibu ya karne, ni maajabu yanayostahili kuingia katika maajabu ya Nchi na Bara la Afrika.

CHADEMA haijawahi kuwa siriasi, ni chama kipo kipo tu, kinajiendea endea tu kama kipofu gizani. Kinajisukuma sukuma tu kama mtu aliyezidiwa na pombe kichwani. Hakina mipango wala mikakati, wala maono wala malengo hata ya urefu wa pua zao. Hakiwezi hata kupanga nini kitafanya kesho. Ndiyo maana hakiwezi hata kuweka mipango na maandalizi juu ya jukwaa atakalotumia kiongozi wake kuzungumza na watu.

CHADEMA walivyo wavivu wa kufikiri na kutumia akili vyema, ikitokea Lissu akaanguka na kuumia vibaya mwili wake, utaona kwa ufinyu wa akili wanaanza kuitupia lawama serikali yetu na chama chetu cha Mapinduzi CCM kuwa ndio imesababisha. Watasema Lissu na CHADEMA wamehujumiwa. Halafu haraka sana kama kawaida yao wataanza kutoa namba za kuomba michango ya kumtibu hospitali na gharama zingine. Maana hiyo ndio kazi ambayo CHADEMA inaweza kuifanya kwa ufanisi mzuri sana, kutokana na kupenda sana pesa za bila jasho.

Kazi iendelee, Mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huo upendo umeoutoa wapi ndugu chawa? Kila siku unatamani hao watu wafutike
 
Soma mada uielewe vizuri na siyo kukimbilia kuandika tu visivyoeleweka
😂 😂 😂 😂
Yaani ulivyo na roho mbaya unatamani Lissu awe hata bubu maana anapiga Spana za moto na kupelekea pangua pangua ya mara kwa mara
 
😂 😂 😂 😂
Yaani ulivyo na roho mbaya unatamani Lissu awe hata bubu maana anapiga Spana za moto na kupelekea pangua pangua ya mara kwa mara
Lissu anasaidia sana kuisambaratisha CHADEMA kwa mdomo wake mwenyewe.
 
Sasa nataka unijibu swali hili kwa akili yako hiyo hiyo uliyotumia kujibu swali hili. Kama ndio hivyo je kwanini mlikuwa mnashupaza shingo na kupinga serikali ikiwapa majibu ya aina hiyo kuwa inanunua magari hayo ya VX kwa sababu ya kutembea umbali mrefu Nchini na kupita maeneo mbalimbali yenye aina tofautitofauti ya barabara,kwa kuwa gari hizo ni imara,salama na himilivu?

Si unaona namna ambavyo CHADEMA huwa mnajisahau na kusahau mlizungumza nini jana? Ndio maana nasemega kuwa CHADEMA hamjitambui hata kidogo.
Siyo Chadema tu inapinga matumizi wa magari hayo hata serikali yenyewe kwa vipindi tofauti ilikuwa inasema itaachana na matumizi ya magari hayo lakini kila mwaka inaendelea kuyaagiza. Tatizo wewe akili yako imejaa chuki kwa Chadema. Iulize serikali yako ya CCM kuanzia awamu ya tatu,nne na ya tano walikuwa wakitutangazia kuwa wataacha kuyanunua lakini hadi leo wanayaleta. Anzia hapo
 
Siyo Chadema tu inapinga matumizi wa magari hayo hata serikali yenyewe kwa vipindi tofauti ilikuwa inasema itaachana na matumizi ya magari hayo lakini kila mwaka inaendelea kuyaagiza. Tatizo wewe akili yako imejaa chuki kwa Chadema. Iulize serikali yako ya CCM kuanzia awamu ya tatu,nne na ya tano walikuwa wakitutangazia kuwa wataacha kuyanunua lakini hadi leo wanayaleta. Anzia hapo
Jibu swali nililokuuliza acha ujinga wako hapa wewe. Nilijuwa tu kwa akili yako hiyo huwezi ukajibu swali langu.
 
Chadema itasambaratika lakini wananchi watakuwa wameshapata elimu ya kujitambua
Watanzania walishaipuuza CHADEMA muda mrefu sana.ndio maana unaona hata michango ya Lissu inakwenda kwa kusua sua sana.

Embu fikiria kama watu laki moja tu wangeamua kuchanga elfu moja moja tu maana yake ingekuwa ni sawa na millioni mia moja.
1000x100,000=100,000,000/=

Lakini mpaka sasa hela hiyo haijapatikana.ndio uone kuwa watanzania hawawaungi mkono.
 
Back
Top Bottom