Ipo siku mtakuja kunielewa kuwa CHADEMA sio chama halisi cha upinzani na top layer ya viongozi wa upinzani ni wa kwetu CCM

Ipo siku mtakuja kunielewa kuwa CHADEMA sio chama halisi cha upinzani na top layer ya viongozi wa upinzani ni wa kwetu CCM

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI

CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..

Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...

CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020

Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS

Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...

Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki

Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....

Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....

Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029

Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????


Britanicca
 
Hayo tunayajua toka zamani tu

Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo

Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo

Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua

Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi

Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992

Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
 
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI

CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..

Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...

CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020

Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS

Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...

Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki

Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....

Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....

Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029

Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????


Britanicca
Mbowe katugeuza mandondocha for fvcking 20+ yrs kumbe yeye anafanya biashara zake za Ubia na CCM
 
Katika kulithibitisha hilo, tunaona Kwa Kwa mara ya kwanza Makada wa CCM wanahangaika kumpigia Kampeni Mbowe asiachie nafasi yake ya Mwenyekiti.

Kumbe wanajua akiingia Mwingine (Lissu) basi yale makubaliano waliyofungamana na CCM, Jamaa ataenda kuyavunja

Ndiyo maana wapo busy kuhakikisha Mbowe anaendelea Kwa nafasi yake ya Mwenyekiti
 
Hebu kwanza soma hapo kwenye picha kijana!
 

Attachments

  • Screenshot_20241216-104004.jpg
    Screenshot_20241216-104004.jpg
    445.8 KB · Views: 1
Hayo tunayajua toka zamani tu

Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo

Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo

Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua

Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi

Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992

Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Na endapo Lissu akifanikiwa anaweza kuaminiwa na watu wa mfumo na hata kufikiriwa kuwa mtu anayeweza kuchukua nafasi nje ya CCM.
 
Katika kulithibitisha hilo, tunaona Kwa Kwa mara ya kwanza Makada wa CCM wanahangaika kumpigia Kampeni Mbowe asiachie nafasi yake ya Mwenyekiti.

Kumbe wanajua akiingia Mwingine (Lissu) basi yale makubaliano waliyofungamana na CCM, Jamaa ataenda kuyavunja

Ndiyo maana wapo busy kuhakikisha Mbowe anaendelea Kwa nafasi yake ya Mwenyekiti
Hatari Sana mkuu, Kwa maana nyingine ni kwamba Mheshimiwa Lisu anataka kuhatarisha Ndoa Kati ya Mbowe na CCM🤔
 
Katika kulithibitisha hilo, tunaona Kwa Kwa mara ya kwanza Makada wa CCM wanahangaika kumpigia Kampeni Mbowe asiachie nafasi yake ya Mwenyekiti.

Kumbe wanajua akiingia Mwingine (Lissu) basi yale makubaliano waliyofungamana na CCM, Jamaa ataenda kuyavunja

Ndiyo maana wapo busy kuhakikisha Mbowe anaendelea Kwa nafasi yake ya Mwenyekiti
Uchaguzi huu litamwagwa fungu kubwa sana la pesa toka ccm
 
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI

CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..

Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...

CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020

Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS

Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...

Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki

Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....

Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....

Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029

Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????


Britanicca
Na yawezekana akina soka,mlay,ben saanane,azory,ali kibao na wengine mchoro mzima ulisukwa na hao hao top layer wa Chadema.
 
Back
Top Bottom