Ipo siku mtakuja kunielewa kuwa CHADEMA sio chama halisi cha upinzani na top layer ya viongozi wa upinzani ni wa kwetu CCM

Ipo siku mtakuja kunielewa kuwa CHADEMA sio chama halisi cha upinzani na top layer ya viongozi wa upinzani ni wa kwetu CCM

Mbowe katugeuza mandondocha for fvcking 20+ yrs kumbe yeye anafanya biashara zake za Ubia na CCM
Poleni mkuu, ndio siasa zetu za kiafrika. Wengine tuliliona hili toka 2015 alipomkaribisha yule CCM mwenzake alietumwa na Kikwete aje ausambaratishe upinzani (ukawa halisi) uliokuwa umeshajipanga vizuri kuichomoa CCM madarakani.

Mbaya zaidi CCM huyo ambae tayari alikuwa na kashfa gunia akapewa nafasi ya kugombea nafasi ya juu kabisa ya nchi ya uraisi na kulazimisha wengine wamdekie barabara.
 
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI

CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..

Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...

CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020

Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS

Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...

Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki

Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....

Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....

Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029

Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????


Britanicca

Kuna mapumbavu yameandamana kumsinikiza Mbowe agombee kwa mara ya Tano . Aibu kubwa sana kwa Afrika .
Uongozi kwa mtu mwadilifu ni mzigo sana
.
Lakini Wetu wamshauri Mbowe asigombee ili aagwe kwa Heshima kubwa sana nchi nzima .Lakini pia Mbowe anatakiwa aangalie Kesho ya mtoto wake ambaye anaonekana kuwa ni mpambanaji mzuri sana . Mbowe akiondoka na kukabidhi kijiti kwa mengine atakua amamwekea mtoto wake mazingira mazuri sana ya kuja kupata nafasi ya juu ya uongozi wa Chama .
 
Hayo tunayajua toka zamani tu

Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo

Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo

Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua

Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi

Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992

Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Oooookay, hv lissu hakupata mgao wa lowassa (r.i.p) ee?!!! Aliukataa, hakuugusa, alitoka nje kukemea, au vp?
 
Hayo tunayajua toka zamani tu

Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo

Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo

Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua

Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi

Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992

Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Unajua kinachofanya mwananchi ahesabike ni mwanachama wa chama fulani? Kwa kifupi kadi tu siyo uthibitisho wa uanachama wa chama fulani. Mbowe ni mpinzani (au sahihi zaidi ni ''alikuwa'') wa kweli ila ana ubinafsi na tamaa. Pia ana umangi-meza. Na mbaya zaidi safari hii Samia amemghilibu mpaka akaingia kingi na kugeuka mpinzani feki
 
Na CCM ni ya Kwenu ? Nyie kina Nani ?

Nadhani na wewe hujui sasa hivi hizi ni Platforms tu za kujitafutia Kura za kwenda Kula au kuendelea Kula au mwenye hizi platforms, sio wananchi wala wanachama, bali vibaka / walafi wasio wazalendo wenye njaa and the only language they know ni kujinufaisha.... That's Politics as it is currently.... Case in Point majirani Kenya kila mwaka Chama Kipya watu walewale...., Same Script Different Cast
 
Kuna mapumbavu yameandamana kumsinikiza Mbowe agombee kwa mara ya Tano . Aibu kubwa sana kwa Afrika .
Uongozi kwa mtu mwadilifu ni mzigo sana
.
Lakini Wetu wamshauri Mbowe asigombee ili aagwe kwa Heshima kubwa sana nchi nzima .Lakini pia Mbowe anatakiwa aangalie Kesho ya mtoto wake ambaye anaonekana kuwa ni mpambanaji mzuri sana . Mbowe akiondoka na kukabidhi kijiti kwa mengine atakua amamwekea mtoto wake mazingira mazuri sana ya kuja kupata nafasi ya juu ya uongozi wa Chama .
Hayo ''mapumbavu'' yaliyoandamana yamefanya hivyo kwa sababu ya tamaa binafsi i.e. yanatetea matumbo yao. Sijui ni kwa nini Mbowe hashtuki. Alisema familia yake inamlilia sana asiendelee lakini ''familia'' ya CHADEMA inamashinikiza aendelee. Kitu ambacho hajui ni kuwa familia yake inampenda ndiyo maana inampa huyo ushauri wakati ''familia'' ya CHADEMA'' inamtumia tu. Kuna siku atakuja kugundua hili.
 
Hayo ''mapumbavu'' yaliyoandamana yamefanya hivyo kwa sababu ya tamaa binafsi i.e. yanatetea matumbo yao. Sijui ni kwa nini Mbowe hashtuki. Alisema familia yake inamlilia sana asiendelee lakini ''familia'' ya CHADEMA inamashinikiza aendelee. Kitu ambacho hajui ni kuwa familia yake inampenda ndiyo maana inampa huyo ushauri wakati ''familia'' ya CHADEMA'' inamtumia tu. Kuna siku atakuja kugundua hili.


Ni kweli ninayaita mapumbavu kwa sababu siku Mbowe alipoitisha maandamano ambayo bila shaka yangeleta mabadilko makubwa sana kwa watawala na hata uchaguzi wa serikali za mitaa usingekuwa wa kiduwanzi kama ulivyokua, Haya mapumbavu hawakutoa pua zao nje kuandamana isipokua Mbowe peke yake na watoto wake walioona ni bora kufa na baba yao.
Watoto wa Mbowe kwa kweli walionyesha upendo mkubwa sana lakini Familia ya Chadema mapumbavu kabisa hayakutoka walimwacha mbowe peke yake na kujikuta anakamatwa kama Kibaka anayeiba kuku .Halafu eti wote wanampenda .

Mbowe aking'atuka kwa heshima atakua amejijengea heshma kubwa sana na naamini Siku moja huko Mbeleni Mtoto wake atapewa tena Uenyekiti wa Chama kwa heshma kubwa ya baba yake .

Alilazimishwa kugombea ni wazi kuwa anaweza akashinda kutokana na pesa nyingi zinazozunguka zilizotokana na uuzwaji wa Bandari. Wajumbe wa atapigwa pesa za kutosha na wanaweza wakamchagua kulinda maslahi na nafasi zao.

Lakini pia Mbowe alipogombea ni wazi hata haya mawe tunayoyapiga huku hatutayapiga na tutamuaga kwa heshma kubwa sana na kwa mbwembwe kubwa na kwa raha kubwa sana atakapokua anapita mikoani kumtambulisha mwenyekiti mpya . Hakika Mbowe asipogombea atajijengea heshima kubwa sana sana.

Kisu ndiye mtu sahihi kwa sasa ambapo Ufisadi ni mkubwa na watanzania kwa sasa hakuna mtu wanayemwamini kama Lisu na Mwabukusi.
Huku akikaa Lisu kule Mwabukusi. Wananchi wakiwa na matumaini ya kumpata kiongozi anayeweza kusimamia sheria na kulinda watu wake na kushawishi jumuiya za kimataifa kuwawekea vikwazo majizi yanayaoliibia Taifa hili na kwenda kuficha mapesa huko Dubai na Marekani nadhani patachangamka sana .
.
 
Hayo tunayajua toka zamani tu

Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo

Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo

Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua

Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi

Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992

Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Sasa ukute na Lissu naye ni TISS wanafanya mchakato kumsaidia Boss wao Samia ashinde kirahisi
 
Lissu ni mwaharakati sio kiongozi. Kiongozi lazima awe na busara vinginevyo itakuwa ni vurugu tu sio kwa uropokaji ule aisee.
 
Mageuzi hayaletwi na Mbowe. Uhuni unaifanyika ni wananchi kudai
Nani kasema mageuzi yanaletwa na Mbowe. Kwenye mageuzi siku zote huwa ni kazi ya watu wengi ila ni lazima awepo kiongozi mzuri mwenye uwezo wa kuwa-organise watu. Ukiwa na jeshi kubwa lenye askari shupavu na silaha nzuri kabisa bila uongozi mzuri huwezi kushinda vita,
 
Mchezo niliushtukia mapema
Ata yale maandamano yako sikushiriki maana yale yalikuwa matembezi tu kama yale ya meimosi
Kwa kifupi hakuna chama cha upinzani chenye nia dhabiti ya kuiondoa ccm madarakani.
Ila watu wenye nia thabiti wapo..
 
Lissu ni Msaliti wa Nchi pia nimtetea mashoga!
 
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI

CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..

Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...

CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020

Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS

Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...

Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki

Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....

Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....

Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029

Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????


Britanicca

..umeandika vizuri lakini kuna mahali umepotosha.

..Mzee Mohamed Bob Nyanga Makani hakuwa shemeji wa Edwin Mtei.

..Mke wa Bob Makani alikuwa mwenyeji wa Mbeya.
 
Sasa kama ni hivo basi atoke CHADEMA akaanzishe chama chake ! Simple tu !
Kwani chadema ni ya babake, acha kumpangia....chadema inapokea ruzuku ambazo ni kodi zetu watanzania.
Mbowe anatia aibu, ampishe Lissu ambaye ma ccm yanamhara wote hadi bi ushungi!!.
Halafu sijui kwann machawa ya mbowe hamna hoja wala akili!!.
 
Back
Top Bottom