Ipo siku mtakuja kunielewa kuwa CHADEMA sio chama halisi cha upinzani na top layer ya viongozi wa upinzani ni wa kwetu CCM

Ipo siku mtakuja kunielewa kuwa CHADEMA sio chama halisi cha upinzani na top layer ya viongozi wa upinzani ni wa kwetu CCM

Lisu aache kekele kama anaona Chadema kina mapungufu kibao ahame au akaanzishe chake badala ya kelele zake kila siku kutuhumu wenzie bila ushahidi

Ahame ahamie huko akuonako kuzuri au aanzishe chama chake aache kusumhua wenzie
 
Hayo tunayajua toka zamani tu

Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo

Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo

Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua

Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi

Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992

Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Umesema vyema, mkuu, watanzania tunachezewa mchezo wa siasa ni lisu ndio tumain la watanzania
 
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI

CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..

Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...

CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020

Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS

Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...

Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki

Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....

Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....

Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029

Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????


Britanicca
Mbona mnahatibu uchaguzi kila kukicha?
 
Uchaguzi huu litamwagwa fungu kubwa sana la pesa toka ccm
Hivi ni lini tiss itawaacha wapinzani wafanye siasa kwa uhuru? Siku zote tiss ni kikwazo kwa demokrasia ili kuyalinda maccm

Ifike pahala hata hao tiss wawambie ccm wasema basi i kwa miaka yote hii inatosha. Tuwaache wapumue
 
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI

CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..

Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...

CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020

Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS

Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...

Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki

Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....

Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....

Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029

Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????


Britanicca
Mpe Lissu Chadema iwe kama NCCR ya Joseph Selasini au CUF ya Lipumba from Hero to Zero kuendesha Chama inataka organizational skills sio mihemko ya kisiasa.
Uongozi wake wa TLS ni ushahidi tosha
 
Hivi ni lini tiss itawaacha wapinzani wafanye siasa kwa uhuru? Siku zote tiss ni kikwazo kwa demokrasia ili kuyalinda maccm

Ifike pahala hata hao tiss wawambie ccm wasema basi i kwa miaka yote hii inatosha. Tuwaache wapumue
TISS=UVCCM,=CCM
 
Hayo tunayajua toka zamani tu

Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo

Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo

Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua

Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi

Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992

Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Sasa nimeelewa kwa nini chama tawala na wafuasi wa Mwenyekiti hawataki kusikia swala la Lissu kuwa Mwenyekiti.
 
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI

CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..

Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...

CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020

Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS

Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...

Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki

Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....

Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....

Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029

Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????


Britanicca

Hakijawahi kuwa na haitakaa kuja kutokea. Hizi ni project za kula hela kwa mgongo wa siasa
 
Mbowe katugeuza mandondocha for fvcking 20+ yrs kumbe yeye anafanya biashara zake za Ubia na CCM
😁😁mbowe ni muhuni toka mdogo chadema ilikuwa ni sakosi yake na familia yake...watu amjiulizi kwanini usajili wa vyama vipya umekuwa hakuna hiyo ni kazi maususi ya mbowe na samia
 
Sasa nimeelewa kwa nini chama tawala na wafuasi wa Mwenyekiti hawataki kusikia swala la Lissu kuwa Mwenyekiti.
Lissu anaumizwa Sana na upinzani fake ndio maana amesema liwalo na liwe
 
Back
Top Bottom