Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema vyema, mkuu, watanzania tunachezewa mchezo wa siasa ni lisu ndio tumain la watanzaniaHayo tunayajua toka zamani tu
Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo
Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo
Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua
Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi
Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992
Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Slaa alilipwa Ili atoke chadema, amwage ugali km alivyofanya, sio?Aliyelipwa na lowassa ni Slaa na mwenyekiti walipewa bilion 10 zilitumika kwenye kampeni za urais
Lissu hajawai kula pesa haramu hata mia
Mpaka sasa washapoteza CredibilityKatika hili swala la uchaguzi wa ndani, CHADEMA wasipotuliza akili watapoteza credibility kwa kiasi kikubwa sana.
Sahihi kabisaNa yawezekana akina soka,mlay,ben saanane,azory,ali kibao na wengine mchoro mzima ulisukwa na hao hao top layer wa Chadema.
Mbona mnahatibu uchaguzi kila kukicha?PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI
CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..
Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...
CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020
Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS
Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...
Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki
Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....
Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....
Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029
Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????
Britanicca
Kaka mkubwa upo? Vipi 2025, Rais wa Tanzania ni nani? My all the time "Time traveler".
Kama kawaida rais wa Tanzania atatoka CCM ila sio lazima huyu umdhaniaye, karibu mitaa HIIKaka mkubwa upo? Vipi 2025, Rais wa Tanzania ni nani? My all the time "Time traveler".
Hivi ni lini tiss itawaacha wapinzani wafanye siasa kwa uhuru? Siku zote tiss ni kikwazo kwa demokrasia ili kuyalinda maccmUchaguzi huu litamwagwa fungu kubwa sana la pesa toka ccm
Mpe Lissu Chadema iwe kama NCCR ya Joseph Selasini au CUF ya Lipumba from Hero to Zero kuendesha Chama inataka organizational skills sio mihemko ya kisiasa.PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI
CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..
Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...
CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020
Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS
Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...
Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki
Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....
Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....
Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029
Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????
Britanicca
TISS=UVCCM,=CCMHivi ni lini tiss itawaacha wapinzani wafanye siasa kwa uhuru? Siku zote tiss ni kikwazo kwa demokrasia ili kuyalinda maccm
Ifike pahala hata hao tiss wawambie ccm wasema basi i kwa miaka yote hii inatosha. Tuwaache wapumue
Sasa nimeelewa kwa nini chama tawala na wafuasi wa Mwenyekiti hawataki kusikia swala la Lissu kuwa Mwenyekiti.Hayo tunayajua toka zamani tu
Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo
Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo
Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua
Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi
Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992
Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Maiti nyingine ya Mbowe imeandika comment hapa.Sasa kama ni hivo basi atoke CHADEMA akaanzishe chama chake ! Simple tu !
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI
CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..
Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...
CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020
Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS
Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...
Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki
Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....
Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....
Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029
Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????
Britanicca
😁😁mbowe ni muhuni toka mdogo chadema ilikuwa ni sakosi yake na familia yake...watu amjiulizi kwanini usajili wa vyama vipya umekuwa hakuna hiyo ni kazi maususi ya mbowe na samiaMbowe katugeuza mandondocha for fvcking 20+ yrs kumbe yeye anafanya biashara zake za Ubia na CCM
Lissu anaumizwa Sana na upinzani fake ndio maana amesema liwalo na liweSasa nimeelewa kwa nini chama tawala na wafuasi wa Mwenyekiti hawataki kusikia swala la Lissu kuwa Mwenyekiti.
Shukrani sana mkuu.Kama kawaida rais wa Tanzania atatoka CCM ila sio lazima huyu umdhaniaye, karibu mitaa HII
P