Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Poleni mkuu, ndio siasa zetu za kiafrika. Wengine tuliliona hili toka 2015 alipomkaribisha yule CCM mwenzake alietumwa na Kikwete aje ausambaratishe upinzani (ukawa halisi) uliokuwa umeshajipanga vizuri kuichomoa CCM madarakani.Mbowe katugeuza mandondocha for fvcking 20+ yrs kumbe yeye anafanya biashara zake za Ubia na CCM
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI
CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..
Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...
CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020
Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS
Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...
Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki
Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....
Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....
Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029
Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????
Britanicca
Oooookay, hv lissu hakupata mgao wa lowassa (r.i.p) ee?!!! Aliukataa, hakuugusa, alitoka nje kukemea, au vp?Hayo tunayajua toka zamani tu
Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo
Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo
Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua
Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi
Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992
Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Unajua kinachofanya mwananchi ahesabike ni mwanachama wa chama fulani? Kwa kifupi kadi tu siyo uthibitisho wa uanachama wa chama fulani. Mbowe ni mpinzani (au sahihi zaidi ni ''alikuwa'') wa kweli ila ana ubinafsi na tamaa. Pia ana umangi-meza. Na mbaya zaidi safari hii Samia amemghilibu mpaka akaingia kingi na kugeuka mpinzani fekiHayo tunayajua toka zamani tu
Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo
Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo
Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua
Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi
Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992
Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Hayo ''mapumbavu'' yaliyoandamana yamefanya hivyo kwa sababu ya tamaa binafsi i.e. yanatetea matumbo yao. Sijui ni kwa nini Mbowe hashtuki. Alisema familia yake inamlilia sana asiendelee lakini ''familia'' ya CHADEMA inamashinikiza aendelee. Kitu ambacho hajui ni kuwa familia yake inampenda ndiyo maana inampa huyo ushauri wakati ''familia'' ya CHADEMA'' inamtumia tu. Kuna siku atakuja kugundua hili.Kuna mapumbavu yameandamana kumsinikiza Mbowe agombee kwa mara ya Tano . Aibu kubwa sana kwa Afrika .
Uongozi kwa mtu mwadilifu ni mzigo sana
.
Lakini Wetu wamshauri Mbowe asigombee ili aagwe kwa Heshima kubwa sana nchi nzima .Lakini pia Mbowe anatakiwa aangalie Kesho ya mtoto wake ambaye anaonekana kuwa ni mpambanaji mzuri sana . Mbowe akiondoka na kukabidhi kijiti kwa mengine atakua amamwekea mtoto wake mazingira mazuri sana ya kuja kupata nafasi ya juu ya uongozi wa Chama .
Kabisa, na dalili zimeshaonekana waziUchaguzi huu litanwagwa fungu kubwa sana la pesa toka ccm
Tutaona na kusikia mengi mwaka huu.Na yawezekana akina soka,mlay,ben saanane,azory,ali kibao na wengine mchoro mzima ulisukwa na hao hao top layer wa Chadema.
Absolutely!Hatari Sana mkuu, Kwa maana nyingine ni kwamba Mheshimiwa Lisu anataka kuhatarisha Ndoa Kati ya Mbowe na CCM🤔
Hayo ''mapumbavu'' yaliyoandamana yamefanya hivyo kwa sababu ya tamaa binafsi i.e. yanatetea matumbo yao. Sijui ni kwa nini Mbowe hashtuki. Alisema familia yake inamlilia sana asiendelee lakini ''familia'' ya CHADEMA inamashinikiza aendelee. Kitu ambacho hajui ni kuwa familia yake inampenda ndiyo maana inampa huyo ushauri wakati ''familia'' ya CHADEMA'' inamtumia tu. Kuna siku atakuja kugundua hili.
Mageuzi hayaletwi na Mbowe. Uhuni unaifanyika ni wananchi kudaiMbowe katugeuza mandondocha for fvcking 20+ yrs kumbe yeye anafanya biashara zake za Ubia na CCM
Sasa ukute na Lissu naye ni TISS wanafanya mchakato kumsaidia Boss wao Samia ashinde kirahisiHayo tunayajua toka zamani tu
Slaa ana kadi ya ccm mpaka leo
Mbowe ana kadi ya ccm mpaka leo
Top wote ni watumishi wa TISS kwa kujua au kutokujua
Mtu pekee aliyebaki ni Lissu ambaye kaasi mfumo ya kijinga wa hiyo taasisi ya ulinzi wa CCM sio nchi
Tunayajua hayo ndio maana tunataka kuweka mtu ambaye hakubaliani na mfumo wa kuanzishwa kwa upinzani fake 1992
Anataka mwelekeo mpya wa upinzani!!
Nani kasema mageuzi yanaletwa na Mbowe. Kwenye mageuzi siku zote huwa ni kazi ya watu wengi ila ni lazima awepo kiongozi mzuri mwenye uwezo wa kuwa-organise watu. Ukiwa na jeshi kubwa lenye askari shupavu na silaha nzuri kabisa bila uongozi mzuri huwezi kushinda vita,Mageuzi hayaletwi na Mbowe. Uhuni unaifanyika ni wananchi kudai
Ila watu wenye nia thabiti wapo..Mchezo niliushtukia mapema
Ata yale maandamano yako sikushiriki maana yale yalikuwa matembezi tu kama yale ya meimosi
Kwa kifupi hakuna chama cha upinzani chenye nia dhabiti ya kuiondoa ccm madarakani.
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI
CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa demokrasia ya kweli na kama wapo kwenye kundi la wadai katiba Mpya ya Tanzania basi Wakumbuke Kuwa Katiba ya chadema inaruhusu anachofanya Lissu na kama wanampinga basi WASIWASHANGAE WANAOSEMA KUWA KATIBA MPYA KWA SASA BADO ...yaani wasiwashangae kabisaaa maana hao hawako sawa na wao wanaoona Lisu kugombea ni uasi na kwamba sio democracy..
Maana kumbe wanatukumbusha kuwa swala sio KATIBA MPYA maana inaweza ikawepo na isifuatwe kama watakavyo wao sasa hivi ndani ya CHADEMA maana hakuna jipya kwalo...
CDM wanaoona kuwa LISSU HAFAI KUWA MWENYEKITI kwa kasoro zoote wanazomtolea Leo hii kisa tu anataka kugombea uenyekiti na MBOWE itatakiwa pia watuombe radhi Watanzania kwa KUMUONA LISSU ANAFAA KUGOMBEA URAIS 2020
Maana wao mwaka ule walituaminisha Watanzania woote kuwa LISSU ANAFAA KUWA RAIS
Lakini Leo hii wanatuambia kuwa hafai kuwa hata mwenyekiti wa Wilaya maana hajawahi kushika nafasi ya uongozi wa kuchaguliwa ndani ya CHADEMA level za chini na zoefu za uongozi huo ...
Wanachotudhihirishia CHADEMA ni kuwa 2020 walitudhihaki hawakuwa na mgombea na kuwa walibwagwa kwa haki
Maana Kama wao ndani wanamwaga hizo siri nje basi wajue Watanzania ni smart than wao....
Hekima ni kwa MBOWE KU STEP DOWN KAMA MKWEWE MZEE MTEI NA shemeji yake Mtei Bob Makani....
Vinginevyo tutajua kuwa CHADEMA SIO CHAMA SERIOUS TENA na pengine MBOWE anaandaa Mwanae aje kugombea 2029
Kwani kuna ubaya gani Mbowe akapumzukika na akabaki mshauri tu wa chama????
Britanicca
Aliyelipwa na lowassa ni Slaa na mwenyekiti walipewa bilion 10 zilitumika kwenye kampeni za uraisOooookay, hv lissu hakupata mgao wa lowassa (r.i.p) ee?!!! Aliukataa, hakuugusa, alitoka nje kukemea, au vp?
Kwani chadema ni ya babake, acha kumpangia....chadema inapokea ruzuku ambazo ni kodi zetu watanzania.Sasa kama ni hivo basi atoke CHADEMA akaanzishe chama chake ! Simple tu !