mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Buy Time. Good Things t o come
Yetu dua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buy Time. Good Things t o come
Yaani watanzania wamchague Lissu, kuwa rais wakati kujenga tu ofisi ya chama Chadema wameshindwa miaka 22 sasa.Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT
Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia
Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu
Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?
Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee
Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?
Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Aongoze namako basi, nshenzi mwili mzimaHangaya ni mbovu lakini ni mara elfu mia ikulu ibaki tupu kuliko lisu kuongoza taifa letu.
AmiinYetu dua
Ninamtetea Tundu Lissu kwa namna alivyoshambuliwa na Magufuli kwa risasi 16 pale Dodoma mwaka 2017. Ule ulikuwa ni ukatili wa hali ya juu.
Nimemuona Tundu Lissu kwenye kampeni za 2020 na nilimpigia kura japo Magufuli aliiba zote. Lakini kwa namna nilivyomuona Tundu Lissu kwa miezi hii 6 iliyokwisha, NATHUBUTU kusema akipata urais atakuwa kama Magufuli tu.
Wanafanana vitu vingi na Magufuli, eeh Mungu liepushe Taifa letu lisipate Magufuli mwingine
Lisu ndo Rais wa Tanzania 2025,Ukweli ndo huo anaebisha asubili aone.Kiunabii huyo ndo atailetea Nchi maendeleo na katika utawala wake Kila kitu kitaenda vizuri in short Lusu ni mteule .Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT
Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia
Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu
Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?
Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee
Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?
Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Duuu!Hangaya ni mbovu lakini ni mara elfu mia ikulu ibaki tupu kuliko lisu kuongoza taifa letu.
Ubunge hautaki tena!!.Huyo usiongolee urais maana ni ngumu Kama kumkuta shetani Mbinguni.
Huo Ubunge kijijini kwake Ikungi hawezi kuupata Tena.
Sizitaki mbichi hizi.Ubunge hautaki tena!!.
Huyu aliwatumikia mabwana zake na leo ni Rais....Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT
Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia
Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu
Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?
Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee
Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?
Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Yote yawezekana ukizingatia kuwa CCM iko kwenye ICU na bila police hawawezi hata kushindana na TLP ya mzee wa Kiraracha. Ni suala tu la muda na siku wakifia ICU ndiyo itakuwa salama ya JMT.Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT
Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia
Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu
Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?
Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee
Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?
Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Ndoto za alinachaSijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT
Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia
Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu
Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?
Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee
Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?
Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM