Ipo siku Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa Tanzania, ni suala la muda tu

Ipo siku Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa Tanzania, ni suala la muda tu

Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Yaani watanzania wamchague Lissu, kuwa rais wakati kujenga tu ofisi ya chama Chadema wameshindwa miaka 22 sasa.
 
Ahaaa wacha tupate magufuli wa upinzani kusudi awakomeshe was upande wa pili Kama wao wanavyowatesa wenzao kwa kesi za uongo.
Ninamtetea Tundu Lissu kwa namna alivyoshambuliwa na Magufuli kwa risasi 16 pale Dodoma mwaka 2017. Ule ulikuwa ni ukatili wa hali ya juu.

Nimemuona Tundu Lissu kwenye kampeni za 2020 na nilimpigia kura japo Magufuli aliiba zote. Lakini kwa namna nilivyomuona Tundu Lissu kwa miezi hii 6 iliyokwisha, NATHUBUTU kusema akipata urais atakuwa kama Magufuli tu.

Wanafanana vitu vingi na Magufuli, eeh Mungu liepushe Taifa letu lisipate Magufuli mwingine
 
Inawezekana.

Lakini Kama Magu alikuwa Dikteta Uchwara, kwa Lissu tuna Dikteta aliyekamilika.
 
Tundu Lissu atakuwa rais hiyo ipo wazi,tuwe tunataka au hatutaki jamaa amepangiwa kuwa rais na atakuwa.

Ila jamaa ni dikteta mwingine,tutalimia meno,japo hatabana uchumi kama yule mchunga Ng'ombe.
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Lisu ndo Rais wa Tanzania 2025,Ukweli ndo huo anaebisha asubili aone.Kiunabii huyo ndo atailetea Nchi maendeleo na katika utawala wake Kila kitu kitaenda vizuri in short Lusu ni mteule .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichogundua ni kwamba watu wengi hawaijui Tanzania kwa undani na wanachangia kwa mihemuko hii mada .Hivi mnajua nani alilihusu Tundu Lisu aje agombee 2020 dhidi ya JPM?
Je mnadhani alijileta tu.Basi kama JPM hakua chochote mbele ya CCM na bado wenye Nchi wakampa Urais basi itkua hivohivo kwa Lisu wenye Nchi watampa 2025 .Anaebisha asubili muda ufike ndo ataamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote kheri tu hata wewe mwandishi tunakuombea siku moja uwe raisi. Alafu Tanzania yenyewe mbona kila mtu anaweza kumaliza miaka yake ya uongozi kama raisi. Tz hata mtu wa std 7 anaongoza vizuri sana. Muulize Gwaji Boy.
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Huyu aliwatumikia mabwana zake na leo ni Rais....

Ila Tanzania haijatawaliwa na UFARANSA 🤣🤣🤣
IMG_20210923_182430.jpg
 
Kwa kuwezeshwa na huyu?!!!!🤣🤣

Huyu bwana chama chake CDU kimeshindwa uchaguzi wa Ujerumani....nao ndio SPONSORS wakuu wa CHADEMA....

Hizi kweli ni ndoto za alinacha......
IDU_David_McAllister-600x600.jpg
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Yote yawezekana ukizingatia kuwa CCM iko kwenye ICU na bila police hawawezi hata kushindana na TLP ya mzee wa Kiraracha. Ni suala tu la muda na siku wakifia ICU ndiyo itakuwa salama ya JMT.
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Ndoto za alinacha
 
Back
Top Bottom