Ipo siku upinzani utachukua nchi hii, CCM siku zinahesabika

Ipo siku upinzani utachukua nchi hii, CCM siku zinahesabika

Hao wananchi unaosema wamechoka, binafsi sijawahi kuwaona wakiongea kuhusu serikali zaidi ya kupambana na maisha yao
sisi tunaokoment hapa sio wananchi? Wale waliokuwa Mwanza kwene katiba mpya vikoso vyote vya jeshi na polisi vikahamia huko sio Wananchi?

Vile vikoso kutoka burundi kukodiwa n mwendazake kuja kupamba na wakenya tanzania. Ccm mnakuwaga hamna akili eeh!
 
Unaota au unaongea tu ili kujifurahisha? Kwa kiwango cha uwoga wa Watanzania ninayoijua, CCM kuondoka madarakani itachukua karne nyingi mnoooo.

Yaani katika dunia ya leo pamoja na utandawazi, elimu na teknolojia ya mawasiliano uliyopo bado CCM waliweza kuvurga uchaguzi na kuingiza makada wao zaidi ya asilimia 90 kwenye bunge, na hakuna hata wananchi walioonyesha hasira na kutokuridhishwa na matokeo ya uchaguzi kwa namna yoyote ile? Alafu itegemee kwamba ipo siku CCM itakubali tu kiulaini eti tuandike katiba mpya, au tufanye tume ya uchaguzi iwe huru?

Mimi ndoto za mchana sipendi kabisa. Watanzania ni mazezeta ndo maana wanatawaliwa kindezi na watatawaliwa bado na CCM kwa miongo mingi sana.

Yaani kiongozi wa upinzani anakamatwa kindezi na kubambikiziwa kesi eti badala watu wakinukishe wanabaki kusubiri mataifa ya kigeni yawapiganie na wanafurahi kuona wawakilishi wa mabalozi wakijumuika nao mahakamani?

Badala ya kuitumia hiyo kama fursa, wakinukishe ili jumuiya ya kimataifa ione dhahiri kwamba watu wamechoka waingilie kati kwa kuwasaidia kuibana serikali. Kwa utulivu uliyopo bongo, hakuna serikali ya nje inayoweza kuibana CCM kwasababu itakuwa ni uchokozi wa wazi kabisa ila pangetifuka, uchumi uvurugwe hasa na pasikalike, mbona wangetafuta wapatanishi na kuunda tume huru?
Jipe Matumaini hewa.
 
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda!!!
Upinzani upi uchukue nchi... wakati makamanda wote ndo wengine ugaidi wengine ukimbizi
 
sisi tunaokoment hapa sio wananchi? Wale waliokuwa Mwanza kwene katiba mpya vikoso vyote vya jeshi na polisi vikahamia huko sio Wananchi?

Vile vikoso kutoka burundi kukodiwa n mwendazake kuja kupamba na wakenya tanzania. Ccm mnakuwaga hamna akili eeh!
Sasa hapo c mmekusanyika kwa nia moja ya hiyo katiba, unachomaanisha hapo ni mmekutana ili kuongelea katiba hvy issue itakuwa katiba tuu, mm nazungumzia ile watu wapo kitaa au kwenye shughuli zao na kuanza kuongelea katiba
 
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.
Hata maskini waliwahi kuwaza kuwa siku moja watakuwa matajiri mpaka wakafa na watoto wa watoto wao wakafa maskini.
Hilo halitotokea Tanzania. Chama cha Mapinduzi kina kila aina ya Rasilimali unaoweza kufikiria. Kila kata, kila mtaa, kila kitongoji tuna viongozi
 
Nawashauri kujenga chama anzieni chini. Hatujengi ghorofa kwa kuanza juu. Hamna uwezo wa kuchukua nchi.
 
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uv
nchi hii hakuna chama Cha upinzani.
 
Kaka hiyo ni ndoto, so rahisi kila kitu katika nchi hii kipo CCM oriented, maybe 50 years to come
 
Tusiwasingizie wapinzani. Ni sisi wenyewe wananchi. Tukitaka, hakuna chombo chochote ama jeshi lolote lile litaweza kutuzuia.
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.
 
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.
Sirro mwenyewe kakaidi amri ya serikali hamduni ndiyo kapuuza kabisa, 2025 tunatupa jongoo na mti wake,
 
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.
KATIBA MPYA NDO DAWA YAO.
 
Upinzani chance ya kutoboa ilikuwa 2015. Jamaa walikuwa tayari wana advantage kwa asilimia 90% maana wanainchi walijitoa sana.

Walisimama na upinzani bila kujali vyama vyao. Mbowe akazingua kumsajili lowasa na kumtema Dr. Slaa. Lipumba akaleta ufala wa kujitoa na kusepa nje ya nchi. Vyama vingine vikawa vinajibagua havitaki kuunga mkono juhudi za upinzani.

Ccm ilikuwa inapumulia mashine ila tamaa za viongozi wa Upinzani zilidharau jitihada za wananchi na kuangalia masilahi yao.

Ndio maana sasa hivi hata wapige yowee gani raia wanawatazama tu.

Mimi tokea pale niliwadharau sana hawa upinzani na nikaona hawana nia ya dhati ya kuwa na raia, wana harakati zao binafsi.
 
Unaota au unaongea tu ili kujifurahisha? Kwa kiwango cha uwoga wa Watanzania ninayoijua, CCM kuondoka madarakani itachukua karne nyingi mnoooo.

Yaani katika dunia ya leo pamoja na utandawazi, elimu na teknolojia ya mawasiliano uliyopo bado CCM waliweza kuvurga uchaguzi na kuingiza makada wao zaidi ya asilimia 90 kwenye bunge, na hakuna hata wananchi walioonyesha hasira na kutokuridhishwa na matokeo ya uchaguzi kwa namna yoyote ile? Alafu itegemee kwamba ipo siku CCM itakubali tu kiulaini eti tuandike katiba mpya, au tufanye tume ya uchaguzi iwe huru?

Mimi ndoto za mchana sipendi kabisa. Watanzania ni mazezeta ndo maana wanatawaliwa kindezi na watatawaliwa bado na CCM kwa miongo mingi sana.

Yaani kiongozi wa upinzani anakamatwa kindezi na kubambikiziwa kesi eti badala watu wakinukishe wanabaki kusubiri mataifa ya kigeni yawapiganie na wanafurahi kuona wawakilishi wa mabalozi wakijumuika nao mahakamani?

Badala ya kuitumia hiyo kama fursa, wakinukishe ili jumuiya ya kimat
hatuwezi kukinukisha kisa kiongozi wa upinzani kapigwa lokapu kwanza hao upinzani hawatusaidii kitu, kazi Yao kubwabwaja bila kuchukua hatua.Tutakinukisha kwa sababu za msingi zaidi mfano tozo.
 
Mkuu, kwenye ule uchaguzi mkuu feki wa mwaka jana (oktoba 28, 2020) wapo baadhi ya wananchi walijitokeza na kuchukua hatua, ingawa haikutangazwa sana...

hizo Ni hatua za kizamani na zilishapitwa na wakati.
 
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.

Ingekuwa siyo UCHAFUZI mkuu, CCM ilikwisha ondoka 28 Oktoba 2020.
 
Hata maskini waliwahi kuwaza kuwa siku moja watakuwa matajiri mpaka wakafa na watoto wa watoto wao wakafa maskini.
Hilo halitotokea Tanzania. Chama cha Mapinduzi kina kila aina ya Rasilimali unaoweza kufikiria. Kila kata, kila mtaa, kila kitongoji tuna viongozi
hizo rasilimali Ni za watanzania wote Ila tu mmezipora, Mna biashara gani nyie ya kumiliki hivo vitu.
 
Hilo mbona liko wazi. It is just a matter of time. Siku tu vyombo vya dola vikikoma kuingilia uchaguzi CCM bye bye. By the way Talban walikuwa wanatawala kabla ya kufurushwa na majeshi ya Marekani kwenye kumsaka Osama bin Laden after September 11.
Muda was kujipanga nI sasa. 2025 njia nyeupe8
 
Back
Top Bottom