Ipo siku upinzani utachukua nchi hii, CCM siku zinahesabika

Ipo siku upinzani utachukua nchi hii, CCM siku zinahesabika

Wananchi wengine wametawaliwa na imani kuliko uhalisia wa mambo. Kwa sasa wameanza kulalamikia hali ngumu. Chanjo imewafanya kuchukia sababu ya imani tu.
Lakini ikiwa ssilimia 90 ya wapiga kura watafanya hivyo ccm inaweza kutukiswa.
 
Muda was kujipanga nI sasa. 2025 njia nyeupe8
Njia nyeupe kwa wakina nani Sasa. ..msiropoke kama mahayawani unazungumzia watu ambao hawapo. .kwa sababu upinzani wenyewe ni nani...Lissuu anatetea mashoga ulaya
Huyo Mboweei ni gaidi
Lemaa kakimbia madeni kaamua kwenda kuwa mkimbizi eti wa Kisiasa. .
Wakina mama wale covid19 wanasubiri kuingia CCM
Zito hana lolote wala Hajitambui
Sasa kuna nani Huyo wa njia nyeupe...
 
Njia nyeupe kwa wakina nani Sasa. ..msiropoke kama mahayawani unazungumzia watu ambao hawapo. .kwa sababu upinzani wenyewe ni nani...Lissuu anatetea mashoga ulaya
Huyo Mboweei ni gaidi
Lemaa kakimbia madeni kaamua kwenda kuwa mkimbizi eti wa Kisiasa. .
Wakina mama wale covid19 wanasubiri kuingia CCM
Zito hana lolote wala Hajitambui
Sasa kuna nani Huyo wa njia nyeupe...
Heche, aka ngumijiwe,
 
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.
talibani wamechukua nchi yao kutoka kwenye mikono ya wamarekani, jiongeze kidogo ndugu unatia aibu kwa fikra zako za kitoto
 
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.
Wee Moto wa kweli Unafananisha Taliban na Wabongo sijui unaishi ulimwengu gani unaonekana kama mjinga fulani .Talibani wamejitambua lkn wewe au wabongo hawajitambui .Unajua vyama vya siasa ni kama timu za mpira tu saa nyengine bingwa Simba saa nyengine bingwa Yanga au timu yyote so mabadiliko lazima yatatokea tu its just a matter of time tu .
 
Endelea kusema hivyo hivyo huku siku zinakwenda.
Ni swala mda tu,CHADEMA kila ipitapo kwenye matatizo ndivyo inavyongara zaidi,hamjifunzi tu?

Tumeenda kwenye uchaguzi 2020, mkiamini CHADEMA IMEKWISHA ,kilichowakuta mnakijua, mpaka valisha jezi zetu watoto wa shule kuongeza vichwa, achia mbali na wagombea wenu kupiga mpaka magoti, kukimbia na mabox ya kura

Ccm imejenga watu ambao badala ya kukitumikia Chama ,wao wanataka Chama kiwatumikie wao, Ndo maana kimekufa vibaya ichi Chama, watu wapo vizia teuzi

Mnaitaji viongozi wabunifu katika chama ,Ili kukisuka upya ,kutengeneza vijana makini na wenye UWEZO wa kujibu hoja, wenye imani ya kweli kukijenga bila kujali matumbo yao ,au teuzi, ACHA teuzi zije KWA kufanya kazi ,
 
Ni swala mda tu,CHADEMA kila ipitapo kwenye matatizo ndivyo inavyongara zaidi,hamjifunzi tu?

Tumeenda kwenye uchaguzi 2020, mkiamini CHADEMA IMEKWISHA ,kilichowakuta mnakijua, mpaka valisha jezi zetu watoto wa shule kuongeza vichwa, achia mbali na wagombea wenu kupiga mpaka magoti, kukimbia na mabox ya kura

Ccm imejenga watu ambao badala ya kukitumikia Chama ,wao wanataka Chama kiwatumikie wao, Ndo maana kimekufa vibaya ichi Chama, watu wapo vizia teuzi

Mnaitaji viongozi wabunifu katika chama ,Ili kukisuka upya ,kutengeneza vijana makini na wenye UWEZO wa kujibu hoja, wenye imani ya kweli kukijenga bila kujali matumbo yao ,au teuzi, ACHA teuzi zije KWA kufanya kazi ,
Unaandika insha?
 
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.
Kwa maneno haya matupu CCM itakuwepo hata baada ya miaka 100 ya uhuru wa Tanzania!
 
Hata mimi natamani siku moja wachukue dola tatizo lao hawaeleweki.
Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.
 
Back
Top Bottom