Nimewaza sana Talibani wanapigania uhuru muda wa miaka 20 hatimae wameupata, ninaamini ipo siku CCM itaondoka madarakani maana kiukweli wananchi wameichoka, hata wao wanajua sema wanatumia dola kubaki madarakani, ipo siku watanzania uvumilivu utawashinda na CCM itaondoka madarakani kwa kupenda au kutokupenda.
Nakuita ewe 2035 yaani Come 2035,hili limewezekana ,ni kwa uwezo wa Mungu,Mwamba ndo jina lake.
Yani kashinda atatoka KARIBU na Maji Mengi na kwa kuvua kwake samaki akiwa mdogo amelielewa neno la nabii Yona lile la siku tatu naye kaliishi kama ulivyokuwa mwanzo wa majira ya kukubalika kwangu.
Amekuwa yeye kwa kumbukumbu pa shule alipopakalia kwa kiti cha juu., Ni nani kama si yeye tena tuliyesadiki kwake na leo neno la nabii mwimbaji wa taifa lake yule wa kike na neno hili limetimia juu ya nchi yake na dunia kwa watu wote.
je sikuyapokea maombi yenu juu ya mateso yenu na nikamwambia huyo aliyefanya kazi mahala pa dhahabu je hakuwaambia kwa nini nimemruhusu shetani afanye hivo,Vyote nimewapa mimi kwa nini Kujivuna na kuwa na kiburi juu ya watu wangu huku mkiwadanganya kwa maneno mazuri ya haki ingali hamuyaishi.
Sikufurahi kwa kweli,Msifikiri kama ijavyo mvua nami nitakuja hivyo hapana mimi ni wakati kama ulivyowakati huu.
Ameyatia mhuri maneno ya mtume Paulo ya kuwa ni ya kweli na Yalitoka kwa Mungu.
Huyu ndiye aliyengojewa tangu na tangu kwa uthibitisho wa kielelezo changu yaani Kurejea kwangu tena.
ISAYA SI NABII WA MAJIRA YOTE basi Isaya 53 sura yote na muwe wa kuisoma vema,ameitwaa nafasi ndogo kwa kipimo cha mara mbili kama alivyoshuhudiwa kwa neno la nabii Daniel 2,39 kwa sheria ya Taifa lake na nimemkabidhi juu yenu wote mahala pa taifa langu na kwa watu wote wa hapo duniani naam amewaita kwa Neno langu.
Yaani amepita mahala pale pa elimu kwa ufanano na kiongozi wa tatu wa taifa lake alivyoishi akiwa masomoni kwa neno la majaribu lile la nabii mwimbaji yule wa kike yaani lile la sheria ya Ayubu kama alivyosema Kwenu,Yeye alishudia kwanza namimi nikamshindisha.
Yaani amekuwa kiongozi wa juu zaidi kwa mahala pa elimu walipomkataa na hii baada ya kurudi tena pale kwa ushuhuda wake
kwa neno hili amekua na kuliishi 1timotheo 1,12~19,huyu aliyaishi maisha ya mahala alipokataa nebkadnezaa ila yeye kwa kuanzia mateso yake nabii alikuja mbele yake kwa kilugha cha kwao yeye ndo heshima na nguvu ya neno la Mungu
huyu ndiye ametia Mhuri juu yetu juu ya kuwa neno la Mungu ni kweli kwa uwezo wa Mungu na roho mtakatifu ajaye ndani yetu
,Ameshinda mahala pa Wokovu wetu yuko kifuani, amevikwa vitani safi na mavazi meupe na shingoni mwake limo taji la ushindi na Amekaribishwa kwa furaha na Majira yamebadilika nasasa ni wakati wake
Je hamjui juu ya majira kubadilika na 0 si kitu bali moja ndo thamani ya mwanzo na mafumbo haya msiyajue mtanijua mimi kwa haki yote kweli? Kwenu wote wakuu na kuinama kwenu si kwa uwezo wake bali kwa uwezo wa Mungu juu ya neno langu nililomwapia.AMESHINDA.
Sent from my SM-N900 using
JamiiForums mobile app