zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kwa kipi alichofanya Bashiru Ally kudhani angefaa kuwa Rais? Kama tu alikana msimamo wake wa katiba mpya ili apewe ubunge sidhani kama angetupeleka kokote. Angeturudisha kwenye sera za ujamaa, he would be worse than Samia.Alipaswa kupewa mtu yeyote aliyekuwa mtiifu kwa jiwe. angepewa kakulwa nchi ingeenda vizuri sana.
Hiyo siku haitokaa ije. Political carriers zao zimeshakuwa supressed others zinaowenda kuisha soon. huwez ku attack mfumo wakati upo ndani ya mfumoKwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Ndio maana wezi na mafisadi waliweka mkakati wa kumsifia tangu siku ya kwanza, wakaandika matangazo nchi nzima kumbe lengo ni kuficha udhaifu wake na wao waendelee kula kwa urefu wa kamba zaoKwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Mambo hayaendi kabisa,una maanisha nini?Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Usitukane watu,kwanini umuite mwenzio kichaa,kama haukubaliani nao tafuta namna nyingine.Kwamba huyo ambaye angekua replacement ya Samia mfano Mwigulu au Nape ndio ingekua better? CCM haijawahi chagua Rais based on uzalendo au uchapakazi ila inaangalia urahisi wa kuiba. Ni ajabu watu kuwaza eti Samia asingekua Rais basi angepewa "kichaa" kama Kabudi au Bashiru!!
Ukitaka ngapi?Imeniuma Tsh 30000 kupata lts 8. Za petrol.
Dictator anakuja 2025. Kaa kwa kutuliaNa haitakaa iwe na dictator
Sio tusi ndio maana nimeweka hizo quotation marks. Kichaa ni msemo wa JPM kumaanisha kiongozi mkali mkali asiyekuwa na aibu kuchukua hatua.Usitukane watu,kwanini umuite mwenzio kichaa,kama haukubaliani nao tafuta namna nyingine.
Tatizo lenu chadema mnawaza madaraka na kuiba.Kwani ilipokua chini ya dikteta ilitusaidia nini? Mbona CCM walikua wanaiba kama kawa na hakuwahi kufungwa mtu. Rejea ripoti ya ukaguzi wa mali za CCM nani alikamatwa? Kesi ya makinikia nani alikamatwa?
Si mfunge mfumo wa CNG kama mlivoshauriwa na msukuma!!Imeniuma Tsh 30000 kupata lts 8. Za petrol.
Ni tafsiri isiyo rasmi,lkn kiuhalisia kumwambia mtu ni neno baya,ila kama umechagua hivyo si mbayaSio tusi ndio maana nimeweka hizo quotation marks. Kichaa ni msemo wa JPM kumaanisha kiongozi mkali mkali asiyekuwa na aibu kuchukua hatua.
View: https://youtu.be/n8IaMatQqFM?si=b9xU1rgINKCBXnwT
Jibu swali, Rais alipokua dikteta mbona makusanyo ya kodi ni madogo kuliko huyu Rais samia anaye cheka cheka? Udikteta ulisaidia nini sasa? Nimekuuliza pia kama udikteta ndio suluhu, hao wezi wa mali za CCM na makinikia walipelekwa mahakama ipi? Jibu haya maswali sio kulialia.Tatizo lenu chadema mnawaza madaraka na kuiba.
Pole sana umejaa ukabila kama JPM, CHADEMA ina nguvu kigoma kuliko hata uchaggani in fact kura za Urais kwa wagombea wa chadema huwa nyingi Kigoma kuliko uchaggani!! Endelea kuwaza wachagga ukija kushtuka makabila yote yameshaikataa CCM!!Hata kama nyie ni Wachagga hamtapewa hii nchi maana wizi upo kwenye damu zenu.
Sasa kama ni mabaya muambie JPM maana mimi nimemnukuu maneno yake mwenyewe!!Ni tafsiri isiyo rasmi,lkn kiuhalisia kumwambia mtu ni neno baya,ila kama umechagua hivyo si mbaya
Siukubali tuu,sasa mi mtu amekufa namwambiaje?Sasa kama ni mabaya muambie JPM maana mimi nimemnukuu maneno yake mwenyewe!!
Hapa jukwaani wewe na Lumumba Malcom...Sasa kama ni mabaya muambie JPM maana mimi nimemnukuu maneno yake mwenyewe!!
Sasa kama Magufuli alikua na maana hiyo...Sio tusi ndio maana nimeweka hizo quotation marks. Kichaa ni msemo wa JPM kumaanisha kiongozi mkali mkali asiyekuwa na aibu kuchukua hatua.
View: https://youtu.be/n8IaMatQqFM?si=b9xU1rgINKCBXnwT
Kigoma mnachokijua ni uchawi na uchawa.Jibu swali, Rais alipokua dikteta mbona makusanyo ya kodi ni madogo kuliko huyu Rais samia anaye cheka cheka? Udikteta ulisaidia nini sasa? Nimekuuliza pia kama udikteta ndio suluhu, hao wezi wa mali za CCM na makinikia walipelekwa mahakama ipi? Jibu haya maswali sio kulialia.
Pole sana umejaa ukabila kama JPM, CHADEMA ina nguvu kigoma kuliko hata uchaggani in fact kura za Urais kwa wagombea wa chadema huwa nyingi Kigoma kuliko uchaggani!! Endelea kuwaza wachagga ukija kushtuka makabila yote yameshaikataa CCM!!
Sahihi kabisa kwa hili bomu la kiongozi wa sasa watapata tuzoKwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Bajaji na Bodaboda kila mara nawaona wakinunua lita 1 kila akienda na akirudi. LolImeniuma Tsh 30000 kupata lts 8. Za petrol.