Iran ilipandisha bendera nyekundu ya Kisasi

La hasha. Huko wameshamaliza maandalizi imebaki tu kumsubiri mshenzi ajichanganye aoneshwe kilichomnyoa kanga manyoya.
⚡️ IMPORTANT: Currently, Tehran-Istanbul flights are being cancelled one by one. This development indicates that there may be Iranian retaliation tonight.
 
BREAKING:

Ndege ya Urusi aina ya IL-76 inayojulikana kwa kusafirisha silaha imetua mjini Tehran nchini Iran.
 
Ngoja tuone moto moto hapo middle east uzuri wa power is power huwa hainogeshwi na maneno ni vitendo tutaona nani mbabe je muiran au muisrael acha mrusi amtengeneze mmarekani proxy war kali hapo middle east ili yake yaende vizuri kule Ukraine.
 
Ngoja tuone moto moto hapo middle east uzuri wa power is power huwa hainogeshwi na maneno ni vitendo tutaona nani mbabe je muiran au muisrael acha mrusi amtengeneze mmarekani proxy war kali hapo middle east ili yake yaende vizuri kule Ukraine.
Muiran anayepigwa mpaka chumbani kwake kumpiga myahudi ni ndoto ya mchana saa sita kamili, hili sina shaka nalo wala sitaki kujilisha matumaini ya uongo eti muiran anaweza kufanya jambo asiyejua hata kujilinda mwenyewe!.
 
⚡️ IMPORTANT: Currently, Tehran-Istanbul flights are being cancelled one by one. This development indicates that there may be Iranian retaliation tonight.
Let's wait to become the true witnesses.
 
Muiran anayepigwa mpaka chumbani kwake kumpiga myahudi ni ndoto ya mchana saa sita kamili, hili sina shaka nalo wala sitaki kujilisha matumaini ya uongo eti muiran anaweza kufanya jambo asiyejua hata kujilinda mwenyewe!.
Power is power let both of them use it
 
Wairan siyo Waarabu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Wairan siyo Waarabu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hawa walokole wa JF wengi ni mambumbu kuna siku nimepita Kigamboni kuna kanisa lao wameweka bendera ya Israel namuuliza mmoja wao hiyo bendera ya Israel ya nini eti anajibu Israel ni nyumbani kwetu.
 
Muiran anayepigwa mpaka chumbani kwake kumpiga myahudi ni ndoto ya mchana saa sita kamili, hili sina shaka nalo wala sitaki kujilisha matumaini ya uongo eti muiran anaweza kufanya jambo asiyejua hata kujilinda mwenyewe!.
Inasikitisha na jamaa wamevuliwa nguo na wapo uchi wa mnyama mbele ya jamii za kimataifa. Hizi threads na comments za wajukuu wa allah humu JF ni za kujifurahisha tu. Hamna lolote lile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…