Huku main stream media CNN BBC tunalzimishwa kuaninishwa kuwa eti jamaa wamefanya kutu cha maana sana na kikubwa sana kuanzia mapicha fekiNimecheki air defences za Israel na zile za Iran na kugundua kuwa, Iran imeihakikishia dunia kuwa ina Air defence bora kabisa..
Pamoja na mimi the branding kuwa pro-Israel, but hii naitoa moyoni kwamba Irani iko vizuri na itafika mbali.
Tusidanganyane, kila mmoja hutaka causality iwe kubwa sasa ikitokea hamna ama ni kidogo basi mpinzani kashinda.
Kwa mantiki hiyo, Iran ipewe maua yake๐คฃ
Ku confirm ndio video ipi hiyo onesheni i madhara yani hata mabomu yakitua hamuna hizo video?Kama hawa wameconfirm unataka video gani? ๐
View: https://x.com/IranObserver0/status/1849995623153512710?t=UByDjWMSlFUyPV5Iah8BuQ&s=19
View: https://x.com/IranObserver0/status/1850068092094693497?t=UByDjWMSlFUyPV5Iah8BuQ&s=19
View: https://x.com/IranObserver0/status/1850088028401803397?t=UByDjWMSlFUyPV5Iah8BuQ&s=19
View: https://x.com/IranObserver0/status/1850172839397126448?t=UByDjWMSlFUyPV5Iah8BuQ&s=19
View: https://x.com/IranObserver0/status/1850217185643200818?t=UByDjWMSlFUyPV5Iah8BuQ&s=19
Kambi ipi ya jeshi ilipigwa? Weka madhara yaliopatikana usilete mahaba uchwaraPunguza mahaba, Iran ilitoa taarifa na vyuma vilikuwa live from Iran mpaka vikatua Israel, unataka kusema Israel alipenda kupigwa Kambi zake na maeneo nyeti? Ili iweje?
Nimekupa source ilio ndani tehran bado unaleta ubishaniKu confirm ndio video ipi hiyo onesheni i madhara yani hata mabomu yakitua hamuna hizo video?
Mashambulizi yote ya Iran yalipanguliwa na Israel, wewe weka video ya hayo madhara ili tukuaminiWakati iran inashambulia Israel video zilioneshwa na sio hizo ngonjera unazoniletea hapa.
hujaelewa jambo hili vizuri na wala hujanielewa vyema gentlemanPunguza mahaba, Iran ilitoa taarifa na vyuma vilikuwa live from Iran mpaka vikatua Israel, unataka kusema Israel alipenda kupigwa Kambi zake na maeneo nyeti? Ili iweje?
Hahahahahha jana ulijikoroga ukatuma mwenyeweMashambulizi yote ya Iran yalipanguliwa na Israel, wewe weka video ya hayo madhara ili tukuamini
Video mzigo ukishuka ushasahauMashambulizi yote ya Iran yalipanguliwa na Israel, wewe weka video ya hayo madhara ili tukuamini
Sio shida yani hata ka picha huna.Nimekupa source ilio ndani tehran bado unaleta ubishani
๐๐ Ile video ilikuwa ya Iran ilivyoshambuliwa au unajitoa ufahamu mkuu, nyie wenyewe mnasema Israel ilipata hasara kubwa baada ya kambi zake kushambuliwa, tukiwaambia muonyeshe hizo hasara mnajizungushaHahahahahha jana ulijikoroga ukatuma mwenyewe
Video mzigo ukishuka ushasahau
Tafuta post yako mwenyewe ujiutathmini
Ukiinama nchale ukiinuka nchale.Nimecheki air defences za Israel na zile za Iran na kugundua kuwa, Iran imeihakikishia dunia kuwa ina Air defence bora kabisa..
Pamoja na mimi the branding kuwa pro-Israel, but hii naitoa moyoni kwamba Irani iko vizuri na itafika mbali.
Tusidanganyane, kila mmoja hutaka causality iwe kubwa sasa ikitokea hamna ama ni kidogo basi mpinzani kashinda.
Kwa mantiki hiyo, Iran ipewe maua yake๐คฃ
Sio mm najitoa ufahamu iweke hapa nikudhalilishe unadhan sii jui ile video mm๐๐ Ile video ilikuwa ya Iran ilivyoshambuliwa au unajitoa ufahamu mkuu, nyie wenyewe mnasema Israel ilipata hasara kubwa baada ya kambi zake kushambuliwa, tukiwaambia muonyeshe hizo hasara mnajizungusha
Missiles zimerushwa wakiwa km 100 kutoka Iran katika boda ya Iraq na zingine hazijarushwa kwa ndegeTusisahau pia Iran katika shambulio lake dhidi ya Israel alirusha vitu vyake straight kutoka Iran Hadi TelAviv lakini Israel juzi ilibidi aende kuibia anga la Iraq ili awe karibu na Iran.
Hii umesema kweli kabisa,na huko mbeleni tutaona vitu ambavyo hatujavitarajiaNimecheki air defences za Israel na zile za Iran na kugundua kuwa, Iran imeihakikishia dunia kuwa ina Air defence bora kabisa..
Pamoja na mimi the branding kuwa pro-Israel, but hii naitoa moyoni kwamba Irani iko vizuri na itafika mbali.
Tusidanganyane, kila mmoja hutaka causality iwe kubwa sasa ikitokea hamna ama ni kidogo basi mpinzani kashinda.
Kwa mantiki hiyo, Iran ipewe maua yake๐คฃ
Stealth fighter jets haswa F-35 zimevinjari juu ya anga ya iran na kuteketeza malengo ladhaa maana rada haziwezi mulika Stealth fighters sasa we endelea kubisha picha za satellite ๐ฐ zimeshaanza kurandama kuonesha viwanda vya drones na missiles vilivyoteketezwa.Leo ndo mnatafuta picha wakati jana tu wenzio wamehangaika na mwisho wakaleta video wakati Israel inashambuliwa wakasema ndio Iran
Pili ndege gani hiyo ilifika kwenye anga la Iran ndio maana mtoa mada akaawambia wekeni mahaba pembeni maana naona mnakua mazombie sasa.
Hahahaahhaha marekani kweli imeuogope mu Iran ๐ฎ๐ท are you serious?!! Brother alafu wakipigwa mnaanza kulia waislamu wananyanyaswa? ๐ ๐คฃ ๐Muiran kashajua anawaweza wabaya wake ukitumia akili vizuli utaona vile vikao baina uko Israel na na USA ilikuwa vyakiuoga yani tumpige Iran kidogo asiwe asiwe na sababu ya kukuza mgogoro lkn wangeweza kufanya zaid tuamini ivi. Tatizo linakuja USA kawa kama kipofu uwezi zuiya mgogoro na Iran wkt Israel bado anauwa wqpestine kwa umati so Iran ingeweza kukausha lkn kwakua Israel anaendelea na vita na Iran atabki kivita vita kuona uwelekeo sasa katangaza wajeda4 wamekufa ili tu nawao wapeleke moto walipowajeda so ngoma ngumu USA nae anatapatapa uwezo ana wakuizuiya Iran yaya akafunge tu iyo THAAD mapema USA kwa propaganda anajua THAAD ipo tayali lkn viuma vikipita live!! utasikia sasa tumetuma THAAD ipo njian inaenda Israel ๐๐๐๐๐
Punguza uongo na mahaba.Stealth fighter jets haswa F-35 zimevinjari juu ya anga ya iran na kuteketeza malengo ladhaa maana rada haziwezi mulika Stealth fighters sasa we endelea kubisha picha za satellite ๐ฐ zimeshaanza kurandama kuonesha viwanda vya drones na missiles vilivyoteketezwa.
Iran sio mwarabu.Hahahaahhaha marekani kweli imeuogope mu Iran ๐ฎ๐ท are you serious?!! Brother alafu wakipigwa mnaanza kulia waislamu wananyanyaswa? ๐ ๐คฃ ๐
Mission haikuwa kuangusha ndege, but kutungua makombora...Kwahiyo kuna hata battery moja iliangusha f 35?
Ndio sio waarabu na kutokuwa waarabu kunaipa Iran ๐ฎ๐ท unafuu gani?Iran sio mwarabu.