Iran imesema Kipaumbele cha kwanza ni kuiteka Jerusalem

Iran imesema Kipaumbele cha kwanza ni kuiteka Jerusalem

wengine waliwavamia usiku wa mane wakateka watu, kipigo kilichofuata tukasema mauaji ya kimbali, mwajemi anatafuta huruma ya Dunia.
Mwajemi hajawahi kutishwa wala kuoigwa na Myahudi tangu enzi za kabla na baada ya Daudi. Isipokuwa Wayahudi ndo wana historia ya kuvunjiwa miji yao na Muajemi na kutumikishwa Utumwani na Muajemi. Rejea historia ya enzi za Ufamle wa UMEDI na UAJEMI na Babeli.
 
Mnaua raia badala ya washika silaha kesha mnajisifu?!
Unadhani muajemi ni muarabu??
Embu kafuatilie historia ya Iran toka ifanye mapinduzi 1979 ndio urudi hapa.
Huyo Iran unaemsemea silaha zake ndio game changer kule Russia dhidi ya NATO na Ukraine.
Hao unaowaita ni raia, sio kweli wanajeshi wanavaa kiraia huku wakiwa wameficha silaha jirani jeshi la israel likipita, wanatandikwa na hao waliowadhani ni raia. Mwizrael baada ya kugundua hivyo, ili bidi atandike wote tuu. Halafu hao hamas wanachukua zile picha na kutangaza eti israel kaua raia. Na hii mbinu ya kivita wanaitumia hao watu saana. Wanashambulia, halafu wanaenda kujificha kwa wamama na watoto.
 
Onhooo!?
Kwahiyo unaleta hilo tukio kufanya justification ya kuua raia mpaka watoto hospitalini??
Hao wametekwa ila IDF badala ya kuwasaka Hamas wanaua hovyo juzi wameua raia wa kimarekani kabisa walioenda kutoa msaada Gaza tena deliberately (kwa makusudi).
Pia unazungumziaje suala la Israel kukamata watoto under 12 years of age na kuwafunga jela za jeshi pasi na makosa!?
Pasi na makosa kivip wakati ni vitoto vya magaidi unadhani vikikua havitakua hamasi ivo?
 
Mbona unaropoka sana bro??
Retaliation ya Qassem Soleiman ilikua kulipua kambi ya US iraq na ilifanikiwa.
Kuuliwa kwa majenerali kisasi kimelipizwa kupitia hizbollah.
Unajua Hizbollah amepafanya North Israel hapakaliki??
Unajua kama kambi kubwa North Israel mbili ikiwemo Galilee zimeteketezwa??
Iran hulipiza kisasi kupitia proxy wake Hizbollah na Houthi.
Usijitoe akili,USA yenyewe imeshindwa kuiteketeza Iran sembuse Israel??
Israel kila leo hujificha nyuma ya USA ili kujilinda na Iran.Na kama vita ikitokea ataepigana na Iran ni NATO na USA sio Israel.
Hamas tu mwezi wa 6 wamemshindwa ataweza kupigana na Iran???
Amalizane na Hamas na Hizbollah kwanza,Iran ni mfupa mgumu,Iran sio muarabu ni muajemi kaa ulielewe hilo.
Kuwa mwarabu au muajemi kunasaidia kuipiga Israel. Jielimishe wewe, masaa 48 yashapita hawajawasha iyo mizinga yao tuone watoto wa Yakobo wakiwaka moto. Wa Israel 🇮🇱 ni watu wa mipango sio waoga waoga wewe
 
Acha ushabiki na badala yake jielimishe na kufatilia mambo. Kuna watu mnaandika vitu vinaonesha hasa uwezo wenu mdogo wa kufikiri na kuchambua mambo. Hao wakipigwa mtaanza kuja kulalamika.

Dont be stupid hakuna nchi ya Middle East inaweza hata nusu kufikiria kupigana na Israel. Hiyo Iran kila siku anauawa majenerali wake Iran kwenyewe, Iraq, Syria na Lebanon na wamefanya nini? Aliuawa their top General na wa kutegemewa Qassem Solemani wakaishia kutishia tu na sasa hivi wako kimya.

Unatia aibu halafu umeweka nembo ya Taifa.
Wakati uke general Qassem ameuwawa walijiapiza kulipa kisasi kwa nguvu ila hatukuona chochote hawa jamaa ni mikwara na maneno tu hawawezi ishambulia Israel..
 
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Jeshi la Iran limesema kipaumbele cha kwanza wakati likitoa mkong'oto kwa Israel ni kuteka mji wa Jerusalem kutoka kwa Magaidi ya kiyahudi (LGBT)

🇮🇷 Iran says liberating Jerusalem is our first issue in the Islamic Republic.

View attachment 2954346
Hamna kitu hapo, hakuna muislam wa kumshinda mkristo na haitakaa itokee, waislam ni wake za wakristo wataburuzwa kama wanavoburuzwa hao wa hamas
 
Mwajemi hajawahi kutishwa wala kuoigwa na Myahudi tangu enzi za kabla na baada ya Daudi. Isipokuwa Wayahudi ndo wana historia ya kuvunjiwa miji yao na Muajemi na kutumikishwa Utumwani na Muajemi. Rejea historia ya enzi za Ufamle wa UMEDI na UAJEMI na Babeli.
Wape elimu Wayahudi wa Wakibada ili waache kukaza fuvu
 
[emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599]Jeshi la Iran limesema kipaumbele cha kwanza wakati likitoa mkong'oto kwa Israel ni kuteka mji wa Jerusalem kutoka kwa Magaidi ya kiyahudi (LGBT)

[emoji1130] Iran says liberating Jerusalem is our first issue in the Islamic Republic.

View attachment 2954346
Maneno matupu kila siku bila vitendo! Waende huko.
 
Hivi waziri mkuu wa Iran sasa hivi nani mana kapoa vibaya mno,
Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo hapa kuna chuma kimoja kilikua kinaitwa Mahmaoud Nejad mwamba alikua kiburi na misimamo balaa sijui yupo wapi yule
Mahmoud Ahmadinejad alikuwa Rais wa Iran, ndio kawasababishia vikwazo vingi. Rais wa sasa ni Ibrahim Raisi ambaye ni mpole na kasaidia kupunguza vikwazo.
 
Back
Top Bottom