Iran imesema Kipaumbele cha kwanza ni kuiteka Jerusalem

Iran imesema Kipaumbele cha kwanza ni kuiteka Jerusalem

Kwahiyo wanataka kwenda kinyume na mpango wa Mungu wao...
 
Iran wanatakiwa kupotezea tuu, ama sivyo NATO itahamia nchini kwao. Israel ikisimama na Iran mtu mbili Israel haitoboi ila uingereza na marekani lazima waingie mzigoni na sioni taifa lolote la kuisaidia Iran zaidi ya wahuth na hezbullah
 
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨Jeshi la Iran limesema kipaumbele cha kwanza wakati likitoa mkong'oto kwa Israel ni kuteka mji wa Jerusalem kutoka kwa Magaidi ya kiyahudi (LGBT)

🇮🇷 Iran says liberating Jerusalem is our first issue in the Islamic Republic.

View attachment 2954346
images (14).jpeg
 
Hamna kitu hapo, hakuna muislam wa kumshinda mkristo na haitakaa itokee, waislam ni wake za wakristo wataburuzwa kama wanavoburuzwa hao wa hamas
Nani kakuambia wayahudi ni wakristo, wayahudi wanawachukia wakristo kuliko hata unavyofikiria.
Kumbe wengi wenu ni weupe kichwani.

Israel hapo muslims ni wengi kuliko christians.

Nilikua nakupa elimu tu mi mwenyewe mkristo.
 
Iran wanatakiwa kupotezea tuu, ama sivyo NATO itahamia nchini kwao. Israel ikisimama na Iran mtu mbili Israel haitoboi ila uingereza na marekani lazima waingie mzigoni na sioni taifa lolote la kuisaidia Iran zaidi ya wahuth na hezbullah
North Korea, China na Russia naona zitakuwa upande wa Iran.
 
Iran ni mbwa koko tu.

Waarabu wote huko mashariki ya kati ni mafisi.

Hakuna kati yao anayeweza kuzichapa na Israel.

Majenerali wao washauliwa na hamna la maana watakalolifanya dhidi ya Israel.
Screenshot_20240405-073333~2.png

Myahudi mweusi kutoka Tarime akichomwa sindano ya kutuliza msongo wa mawazo na kuondoa hofu baada ya taarifa kwamba Iran itamshambulia Israel.

Picha na Mwandishi wa habari Ikulu.
 
Kwanza lipeni kulipuliwa kwa ubalozi wenu
 
  • Thanks
Reactions: 511
North Korea, China na Russia naona zitakuwa upande wa Iran.
North Korea na Russia sawa
China usimtegemee maana anapambana kuwa na uchumi mkubwa amzidi marekani. Kuingia vitani kusaidia itakuwa last option.
 
North Korea na Russia sawa
China usimtegemee maana anapambana kuwa na uchumi mkubwa amzidi marekani. Kuingia vitani kusaidia itakuwa last option.
Itafanya vyovyote kuidhoofisha US lakini si kuingia vitani direct, inaweza kutoa misaada ya fedha na silaha. Kwa hio China lazima atakuwa opposite na US.

China yenyewe inatamani Taiwan iwe chini yake, yawezekana ikawa fursa kwake.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Itafanya vyovyote kuidhoofisha US lakini si kuingia vitani direct, inaweza kutoa misaada ya fedha na silaha. Kwa hio China lazima atakuwa opposite na US.

China yenyewe inatamani Taiwan iwe chini yake, yawezekana ikawa fursa kwake.
Sio lazima atakuwa opposite na US. Siku zote yuko opp
 
Mbona unaropoka sana bro??
Retaliation ya Qassem Soleiman ilikua kulipua kambi ya US iraq na ilifanikiwa.
Kuuliwa kwa majenerali kisasi kimelipizwa kupitia hizbollah.
Unajua Hizbollah amepafanya North Israel hapakaliki??
Unajua kama kambi kubwa North Israel mbili ikiwemo Galilee zimeteketezwa??
Iran hulipiza kisasi kupitia proxy wake Hizbollah na Houthi.
Usijitoe akili,USA yenyewe imeshindwa kuiteketeza Iran sembuse Israel??
Israel kila leo hujificha nyuma ya USA ili kujilinda na Iran.Na kama vita ikitokea ataepigana na Iran ni NATO na USA sio Israel.
Hamas tu mwezi wa 6 wamemshindwa ataweza kupigana na Iran???
Amalizane na Hamas na Hizbollah kwanza,Iran ni mfupa mgumu,Iran sio muarabu ni muajemi kaa ulielewe hilo.
Hapo mashariki ya kati Israel ameikojolea karibu kila nchi Iran makamanda wake na wataalamu wa mambo ya nyuklia wameuwawa tena wengine hapo teeran
Iran amebaki anabweka tu kama mbwa koko.
 
Back
Top Bottom