Iran imesema Kipaumbele cha kwanza ni kuiteka Jerusalem

Iran imesema Kipaumbele cha kwanza ni kuiteka Jerusalem

Nyie hamjui kuna Ostazi leo alikuwa anachambua silaha nzito za kisiri alizonazo Irani unnambiwa hata Marekani hawazijui, wakiamua wanaifuta Israeli kwenye uso wa dunia
 
Kimya kingi kina kishindo. Usimdharau usiyemzaa. Israel bila msaada wa Marekani na washirika wake ni mwepesi sana.

Jambo usilolijua ni historia ndefu ya mashariki ya kati hususan waajemi. Hawa jamaa kihistoria hata wakiishiwa bunduki hupigana kwa kutumia mawe na mapanga. Ukitaka kujua kamuulize marehemu Sadam alipoivamia Iran alikutana na nini
Acha ushabiki na badala yake jielimishe na kufatilia mambo. Kuna watu mnaandika vitu vinaonesha hasa uwezo wenu mdogo wa kufikiri na kuchambua mambo. Hao wakipigwa mtaanza kuja kulalamika.

Dont be stupid hakuna nchi ya Middle East inaweza hata nusu kufikiria kupigana na Israel. Hiyo Iran kila siku anauawa majenerali wake Iran kwenyewe, Iraq, Syria na Lebanon na wamefanya nini? Aliuawa their top General na wa kutegemewa Qassem Solemani wakaishia kutishia tu na sasa hivi wako kimya.

Unatia aibu halafu umeweka nembo ya Taifa.
 
Kimya kingi kina kishindo. Usimdharau usiyemzaa. Israel bila msaada wa Marekani na washirika wake ni mwepesi sana.

Jambo usilolijua ni historia ndefu ya mashariki ya kati hususan waajemi. Hawa jamaa kihistoria hata wakiishiwa bunduki hupigana kwa kutumia mawe na mapanga. Ukitaka kujua kamuulize marehemu Sadam alipoivamia Iran alikutana na nini
images (29).jpeg
 
Mwajemi hajawahi kutishwa wala kuoigwa na Myahudi tangu enzi za kabla na baada ya Daudi. Isipokuwa Wayahudi ndo wana historia ya kuvunjiwa miji yao na Muajemi na kutumikishwa Utumwani na Muajemi. Rejea historia ya enzi za Ufamle wa UMEDI na UAJEMI na Babeli.
Ya zamani hayo mbona UK waliongoza karibu dunia nzima hadi wamarekani, leo wako wapi? unazungumzia ya kale
 
Back
Top Bottom