Iran imetoa orodha ya Magaidi wanaotakiwa kukatwa vichwa

Iran imetoa orodha ya Magaidi wanaotakiwa kukatwa vichwa

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
⚡️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.

Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.

IMG_20241002_175020.jpg
 
Hapo Iran ndio kajitia d()le na kunusa asingetoa hiyo list akapiga kimnya kimnya kitendo hicho Israel nae akitoa list yake akianza na babu kilemba huwa achelewi kufanya kweli Iran ipo kwenye mihemko kwa sasa isipoangalia ataliwa mtu kichwa kati kati ya Tehran tena
 
Kama UN wameshindwa kuwakamata hakuna wa kuwagusa hao viongozi,
Embu uwe unafikiria nje ya boksi kidogo.

Wenzako hawazungumzii kuwakamata bali kuwafanyia ASSASSINATION.

Na hilo wakipanga mipango wanaweza.

Unajua kuna waislam waarabu wangapi ndani ya Israel kama raia wa Israel?

Je wakiamua kutumika kama walivyotumika Oktoba 7?

Hivi unajua wale Hamas waliovamia ndani ya South Israel walikua raia wa Israel miongoni mwao asilia ya kiarabu!?

Embu funua fuvu kidogo brothee.
 
Back
Top Bottom