Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisikika muhanga wa shuruba za Puff Dady baada kuloweshwa mafuta..allah ni kichaa, muhammad chizi, wafuasi wao hamnazo.
Kweli Iran anazidi kujichanganya⚡️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.
Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.
View attachment 3113347
Mkuu historia inaonyeshaIsrael wamekuwa wakiish kwenye vita since 1980s, kuzungukwa na maadui kumewafanya wajue namna ya kuishi, hili si jipya
Sisemi ni the best but si jipya
Mkuu si umeona namna watu wanavyovutana humu kuhusu hili?Inasikitisha. Kuna wayahudi wa Uyole na Waajemi wa Nanjirinjiri. Wamegawanyika katika ushabiki wa nani anauawa au nani anashinda vita?
Inasikitisha
WataumiaKweli Iran safari hii wako serious.
Rais wa Iran aliyehamuru mashambulizi ya April 2024 Israel ilimla kichwa! Na huyu aliyepo hatachukua round!⚡️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.
Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.
View attachment 3113347
Wajifunze graphics kwanza⚡️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.
Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.
View attachment 3113347
Kwani rais aliyepita unadhani kafa kwa hajali?, common sense kama wamelipua pager za wanamgambo wa Hizbollah, why not ile helcoter, halafu soma The Times of Israel: Head of Iranian unit countering Mossad was Israeli agent, says ex-president Ahmadinejad https://www.timesofisrael.com/head-...-israeli-agent-says-ex-president-ahmadinejad/IDF wamepewa ruhusa Rasmi ya kufyeka wavaa kobazi Iran
Target ilikua kambi za jeshi.Hivi mpaka sasa ni idadi ngapi ya watu waliokufa kutokana na yale makombora 200+ waliyorusha jana?
Shehe Assalam Aleikum,Target ilikua kambi za jeshi.
Uliza kambi ngapi zimepigika Iran sio magaidi kama Israel yeye anapiga kambi na viwanja vya f35.
Ndege aina ya f 35 zilizo pigika 20 na makao makuu ya mosad imepigwa
Hiyo ndio ilikua target sio kuua raia wasio kua na hatia ndio maana hata UN hujasikia kulalamika maana ile ilikua true operations two.
sasa kete kaachiwa yeye apige raia aone nini kitamkuta au umesahau Trump alivyo muua kamanda Suleiman alisemaje alafu Iran ikajibu mapigo hadi leo Marekani kaufyata.
Baada ya kipigo last born wa west alijua UN wataitisha kikao kumbe wameshamchoka kwa sababu yeye anajiona yupo juu ya sheria wakaona bora aachwe apigwe kwanza ili ajifunze kuwa na adabu.
Hasira zake kamaliza kwa kumpiga burn katibu mkuu asikanyage Israel lini alisema anataka kwenda Israel?
IRAN kasema Israel ajaribu kurusha hata jiwe tu ndani ya ardhi ya Iran majibu yake yatakua mara 1000 nadhani unamjua vizuri akiongea huwa hatanii.
Hivyo ni vya bibilia. Nasemea in modern days. Is why nchi nyingi ikiwemo yetu huwa inapelekea commando kupata mafunzo sababu ya uzoefu walionao hao jamaa.Mkuu historia inaonyesha
Israel imeanza kupigana tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 6000 ilipotoka Misri kwa Farao firauni
Hio nchi wameipata kwa vita tu