Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
🤣Siyo kama CHADEMA tu, wana mikwara kama Mandonga mtu kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Siyo kama CHADEMA tu, wana mikwara kama Mandonga mtu kazi
Kwamba walikuwa hawajui kama wao ni tageti. Unajichekesha.Hii imeshaleta hofu kwa Israel.
Watakua wanaishi kwa hofu sana.
Ile vita Kule mda flani Kama maigizo,,,imetolewa orodha mchana kweupeee🤣 🤣 Yaaani fanya ufanyalo lazima uchinjwe.😂😂🙌🙌🙌🙌Aiseee
IDF wamepewa ruhusa Rasmi ya kufyeka wavaa kobazi IranHilo tayari ni tangazo la vita maana yake Iran wametangazia dunia kuwa wanataka kuua viongozi wa Israel,
Mzee elewa MADA hapa haiongelewi chadema.Siyo kama CHADEMA tu, wana mikwara kama Mandonga mtu kazi
Hujaona kipigo cha jana .Hahaaa. Iran ni kama CHADEMA wako tu.
Mikwala mingi sana.
Netanyahu anafanya ku-zoom tu, na maandilizi ya "sendoff" ya Ayatollah tayari..Iran imetoa list ya magaidi wanaotakiwa kukatwa vichwa
Hapo utaona kichwa cha Ayattollah muda sio mrefu[emoji298]️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.
Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.
Weka hapa SALA YA MARIA tuichambue tuone nani chizi,hakuna mtu mwenye akili duniani anayeweza kuimeza na kuamini.Braza sala ya Maria inadhihirisha wakristo hamnazo kichwani tena unakuta jitu lina Phd eti linasima sala ya Mariaallah ni kichaa, muhammad chizi, wafuasi wao hamnazo.
Uko sahihi...Israel wamekuwa wakiish kwenye vita since 1980s, kuzungukwa na maadui kumewafanya wajue namna ya kuishi, hili si jipya
Sisemi ni the best but si jipya
Naisubiri list ya Wayahudi nao. Naamini Ayatollah Khomeinei hatakosekana humo. Sasa tuone nani ataanza kumla kichwa mwenzake.⚡️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.
Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.
Inasikitisha. Kuna wayahudi wa Uyole na Waajemi wa Nanjirinjiri. Wamegawanyika katika ushabiki wa nani anauawa au nani anashinda vita?Aaah
Nachoka kabisa. Hii vita ina mashabiki kibao
[emoji23]Wasijaribu kumfanya PM huyu mad dog.Huyo ndo mwehu namba 1
Nini kinawapeleka kwenye mapangoAma kwa hakika hawatomgusa hata mmoja Kati ya hao
Nashangaa huyo Shetani hawajamweka kwenye listKuna shetani wa kuitwa Itmar Ben-Gvir na yule maskio popo There is the list waambie waongeze hapo kwa hio list.