Iran imetoa orodha ya Magaidi wanaotakiwa kukatwa vichwa

Iran imetoa orodha ya Magaidi wanaotakiwa kukatwa vichwa

😂😂🙌🙌🙌🙌Aiseee
Ile vita Kule mda flani Kama maigizo,,,imetolewa orodha mchana kweupeee🤣 🤣 Yaaani fanya ufanyalo lazima uchinjwe.
Screenshot_20240509-124635.png
 
[emoji298]️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.

Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.
Hapo utaona kichwa cha Ayattollah muda sio mrefu
 
Hivi mpaka sasa ni idadi ngapi ya watu waliokufa kutokana na yale makombora 200+ waliyorusha jana?
 
⚡️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.

Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.
Naisubiri list ya Wayahudi nao. Naamini Ayatollah Khomeinei hatakosekana humo. Sasa tuone nani ataanza kumla kichwa mwenzake.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Irani watapaniki sana .Netanyahu ni lijigaidi likubwa
 
Hiyo list bila Joe biden na Kamala Harris ni batili🐼
 
Back
Top Bottom