Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wataufyata sasa hivi Israeli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataufyata sasa hivi Israeli.
Kwani UN waliwai kumkamata nani binamu?Kama UN wameshindwa kuwakamata hakuna wa kuwagusa hao viongozi,
Israel wamekuwa wakiish kwenye vita since 1980s, kuzungukwa na maadui kumewafanya wajue namna ya kuishi, hili si jipyaHii imeshaleta hofu kwa Israel.
Watakua wanaishi kwa hofu sana.
Wataufyata sasa hivi Israeli.
Sema Magaidi wa Israel, kwani ujasoma vzr lile tangazo?Hilo tayari ni tangazo la vita maana yake Iran wametangazia dunia kuwa wanataka kuua viongozi wa Israel,
Kaka unajitahidi kuelimisha sawa, lakini nakuhakikishia hivo vikao kama ingekuwa ni wazungu ningeamini, ila kwa waarabu au hao waajemi hapo usitarajie chochote mkuu, ila ngoja tuone, mawazo ya mtu hayapingwiEmbu uwe unafikiria nje ya boksi kidogo.
Wenzako hawazungumzii kuwakamata bali kuwafanyia ASSASSINATION.
Na hilo wakipanga mipango wanaweza.
Unajua kuna waislam waarabu wangapi ndani ya Israel kama raia wa Israel!?
Je wakiamua kutumika kama walivyotumika Oktoba 7??
Hivi unajua wale Hamas waliovamia ndani ya South Israel walikua raia wa Israel miongoni mwao asilia ya kiarabu!?
Embu funua fuvu kidogo brothee.
Hahahahahhaah nimecheka sanaaaa⚡️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.
Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.
Hahaaa. Iran ni kama CHADEMA wako tu.Kweli Iran safari hii wako serious.
Israel amewahi shida vita ipi?Hahaaa. Iran ni kama CHADEMA wako tu.
Mikwala mingi sana.
Hao sisi tunajuwa ni magaidi miaka mingi sana.
Siku zote sipendi waonezi hata kama wanaonewa sio wa dini yangu ila nitakuwa upande wao. Israel na US ni magaidi wakubwa zaidi duniani.Hahaaa. Iran ni kama CHADEMA wako tu.
Mikwala mingi sana.
1980s thats too shallowIsrael wamekuwa wakiish kwenye vita since 1980s, kuzungukwa na maadui kumewafanya wajue namna ya kuishi, hili si jipya
Sisemi ni the best but si jipya
Siyo kama CHADEMA tu, wana mikwara kama Mandonga mtu kaziHahaaa. Iran ni kama CHADEMA wako tu.
Mikwala mingi sana.
Zama hubadilika tena sana.Israel wamekuwa wakiish kwenye vita since 1980s, kuzungukwa na maadui kumewafanya wajue namna ya kuishi, hili si jipya
Sisemi ni the best but si jipya
Mkuu hiko sio kikao,ni orodha ya watu waliowekwa black list na Iran.Kaka unajitahidi kuelimisha sawa, lakini nakuhakikishia hivo vikao kama ingekuwa ni wazungu ningeamini, ila kwa waarabu au hao waajemi hapo usitarajie chochote mkuu, ila ngoja tuone, mawazo ya mtu hayapingwi