green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
😂😂🙌🙌🙌🙌Aiseee⚡️BREAKING:
Wizara ya Ujasusi ya Iran imetoa orodha ya magaidi wa Israel wanaotakiwa wakiwa maiti.
Just like Israel, now Iran's Intelligence Ministry releases a list of individuals it want to eliminate.
Hii imeshaleta hofu kwa Israel.Safi sana mwamba wa mashariki ya kati Iran kwa orodha hii muhimu ya kuwasaka hawa magaidi yaliyokunywa damu za maelfu ya raia wasio na hatia.
Kama UN wameshindwa kuwakamata hakuna wa kuwagusa hao viongozi,Hii imeshaleta hofu kwa Israel.
Watakua wanaishi kwa hofu sana.
Hawajawahi mkuuIran Tumeni na List ya Vigogo wa Israel mlio wahi kuwa kata vichwa nyie na marafiki zenu Hizborah
Juzi wahouthi wa Yemen waliilenga ndege ya waziri mkuu Netapaka bahati mbaya ilikoswa kiduchu walitaka kumalizana na gaidi nambari moja.Hii imeshaleta hofu kwa Israel.
Watakua wanaishi kwa hofu sana.
Iran Tumeni na List ya Vigogo wa Israel mlio wahi kuwa kata vichwa nyie na marafiki zenu Hizborah
Embu uwe unafikiria nje ya boksi kidogo.Kama UN wameshindwa kuwakamata hakuna wa kuwagusa hao viongozi,
Huyo ndo mwehu namba 1Kuna shetani wa kuitwa Itmar Ben-Gvir na yule maskio popo There is the list waambie waongeze hapo kwa hio list.