Iran inajiandaa kupiga ndani ya Israel kwa masaa 48 yajayo

Iran inajiandaa kupiga ndani ya Israel kwa masaa 48 yajayo

mzee unajua proxy war kweli?

kila siku American na NATO watoa siraha na mafunzo kwa Ukraine na Russia anajua hilo lakn umeona Russia amepiga nchi yoyote inayo isaidia Ukraine siraha? umeona Russia ameingia kwenye vita na America?

kitu anacho kifanya Iran ni kutumia hao proxies kupigana vita vyake this time tunasubili kuona akiingia yeye uwanjani direct involvement Sio hao vibaraka wake
Watu wengine hukataa hili ila infact hammas, hezbollah na vikundi vingine anavyopambana navyo Israel mfadhili ni Iran.
 
Ni nukta nzuri lakini tujaribu kuyafikiria haya!

Iran ina urafiki mzuri na China, Russia, North Korea n.k

Tunafahamu mataifa kama India, Pakistan na North Korea hawakutengeneza wenyewe mabomu ya nuclear bali ulikuwa ni usaidizi wa imma China au Russia au wote wawili kwa pamoja.

Unadhani kwa ukaribu waliyonao Iran na hayo mataifa ni kweli hiyo sayansi ya utengenezaji wa hizo silaha ni kweli hawana?
Ni kweli kabisa hawana, US, China, Russia wana tech za hali ya juu kujua Nuclear punde zinaporushwa. Yamkini Iran ametengeneza Nuclear kisha akaweka chumbani kwake bila kufanya majaribio lakini pia elewa kwa uwekezaji mkubwa wa Intelligence uliowekezwa na US na Israel hapo Iran, sio rahisi Iran amiliki Nuclear na hao jamaa wasijue.
 
Sasa ndugu yangu.

Kwanza Gaza ni gereza. Israel yote kaizungushia fence. Hakiingii chochote wala kutoka chochote isipokuwa kwa ruhusa ya Israel.

Eneo lenyewe ni dogo wala si kubwa! Limetolewa mifano mara nyingi humu. Ukubwa wake ni kama wilaya ya Kigamboni.

Hamas anaopambana nao wanatumia silaha duni za kienyeji za kujitengenezea wao.

Hamas haina ndege, haina jeshi la bahari, haina vifaru. Zaidi ya wanamgambo elfu ishirini kadhaa.

Israel imetumia 82% ya uwezo wake wa kijeshi ambapo mpaka sasa anapigana kwa takribani miezi 6 sasa.

Lakini hayo yoye yakitokea kuna mambo yafuatayo nayo yametokea:

Israel imeomba msaada wa kijeshi Marekani. Wanapatiwa silaha na zana za kivita mbali mbali na si mara moja wala mara mbili.

Wanapatiwa msaada wa gharama za kuendesha vita kwani vita yake na Hamas uchumi wake umeporomoka.

Tuwe wa kweli! Kwa kikundi hicho cha Hamas na eneo dogo kama hilo tena alilolizingira Israel ni wa kupambana nalo kwa miezi 6? Ambapo mpaka muda huu anahangaika nalo?

Kama hali ndiyo hii akipigana na nchi inayojiweza atakuwa katika hali gani? Yenye jeshi la anga, jeshi la maji, jeshi la ardhini n.k?

Tukubali, kwa sasa Israel haina uwezo wa kupigana na nchi yoyote ile.
-Sio kweli kwamba Gaza yote imezungukwa na Israel Rafah crossing ilithibitiwa na Egypt kabla ya vita.

-AK47, Assault Riffles na RPG,s wanazotumia Hamas kwako ni silaha duni sio?

-Silaha anazopewa Israel sio kwa ajili ya kuwakabili Hamas tu Bali IDF inapambana na Middle East yote na ndio maana unaona Ayatollah anaomboleza sasa hivi kwa show anayotembezewa huko Syria.

-Issue ya kupambana miezi 6 sio issue maana unapambana na mtu anayekushambulia kwa kuvizia na Kisha kukimbilia kujificha katikati ya raia, Israel ilishawahi piga nchi zenye mavifaru,madege ya kijeshi na Sila za Kila aina kwa siku 6 tu alafu unashaangaa miezi 6 ya IDF Gaza mbona hushangai miaka 20 ya USA Afghanistan? Tena unatakiwa umshangae zaidi Putin pamoja na kupambana na vikosi vya jeshi la Ukraine ambavyo viko wazi wazi lakini tunaenda mwaka wa tatu sasa bado anataabishwa.

-Hiyo aya yako ya mwisho unataka IDF apigane mara ngapi na hizo nchi au hujui kwann IDF inajulikana ni jeshi Bora? Kasome 6 Days war na Yom Kippur war ujue show za hao watabe.
 
🇺🇸🇮🇷U.S TO IRAN: DO NOT ATTACK US - YOU WILL PAY

U.S. Ambassador Deputy:

"We will not hesitate to defend our personnel and repeat our prior warnings to Iran and its proxies not to take advantage of the situation - again, an attack in which we had no involvement or advanced knowledge - to resume their attacks on U.S. personnel."

Source: 1st Channel News

Soma hiyo statement ya USA imetolewa Leo kuwaambia Iran kuwa wasithubutu kupiga watu wao maana hawatasita kuwalinda na wasichukulie advantage kwa tukio la Jana ambalo USA hawahusiki
Baraza la usalama la Iran linapitia wakati mgumu sana.
 
-Sio kweli kwamba Gaza yote imezungukwa na Israel Rafah crossing inathibitiwa na Egypt kabla ya vita.

-AK47, Assault Riffles na RPG,s wanazotumia Hamas kwako ni silaha duni sio?

-Silaha anazopewa Israel sio kwa ajili ya kuwakabili Hamas tu Bali IDF inapambana na Middle East yote na ndio maana unaona Ayatollah anaomboleza sasa hivi kwa show anayotembezewa huko Syria.

-Issue ya kupambana miezi 6 sio issue maana unapambana na mtu anayekushambulia kwa kuvizia na Kisha kukimbilia kujificha katikati ya raia, Israel ilishawahi piga nchi zenye mavifaru,madege ya kijeshi na Sila za Kila aina kwa siku 6 tu alafu unashaangaa miezi 6 ya IDF Gaza mbona hushangai miaka 20 ya USA Afghanistan? Tena unatakiwa umshangae zaidi Putin pamoja na kupambana na vikosi vya jeshi la Ukraine ambavyo viko wazi wazi lakini tunaenda mwaka wa pili sasa bado anataabishwa.

-Hiyo Aya yako ya mwisho unataka IDF apigane mara ngapi na hizo nchi au hujui kwann IDF inajulikana ni jeshi Bora? Kasome 6 Days war na Yom Kippur war ujue show za hao watabe.
Mkuu vita ya Russia dhidi ya Ukraine tunaenda mwaka wa pili au tupo mwaka wa pili tunaenda wa tatu?

NATO walitenga bajeti ya kuisaidia Ukraine kwa miaka mitano, tukaona NATO hawapo serious, wana JF hasa wanaoichukia US wakasema vita haiwezi maliza miezi mitatu. Sasa hivi tunautafuta mwaka wa tatu, na NATO walisema nia yao ni kuididimiza zaidi Russia.
 
Sawa! Ni nukta nzuri umeiweka na sipingani nayo.

Lakini picha ni mfano halisi wa kitu. Kwa taswira tu na haiba ya Iran unadhani haimiliki bomu la nuclear?
Na wewe unatumia hisia kwa kuangalia nje! Project ya Iran kumiliki nuclear bombs Obama aliizika ilikuja kufufuliwa na Trump Ila Israel anaidumaza mpaka leo hawana nukes
 
Na wewe unatumia hisia kwa kuangalia nje! Project ya Iran kumiliki nuclear bombs Obama aliizika ilikuja kufufuliwa na Trump Ila Israel anaidumaza mpaka leo hawana nukes
Unaweza ukasoma hapo kwa mujibu wa Institute for Science and International Security. Ripoti ya January 8, 2024.
 

Attachments

Netanyahu hajakimbilia kwenye nuclear Bunker ya rafiki yake na busha lake walompasua juzi!?..maana rocket za Hamas tu zilimkimbizia huko
Screenshot_20240402-210401~2.png
 
Sasa ndugu yangu.

Kwanza Gaza ni gereza. Israel yote kaizungushia fence. Hakiingii chochote wala kutoka chochote isipokuwa kwa ruhusa ya Israel.

Eneo lenyewe ni dogo wala si kubwa! Limetolewa mifano mara nyingi humu. Ukubwa wake ni kama wilaya ya Kigamboni.

Hamas anaopambana nao wanatumia silaha duni za kienyeji za kujitengenezea wao.

Hamas haina ndege, haina jeshi la bahari, haina vifaru. Zaidi ya wanamgambo elfu ishirini kadhaa.

Israel imetumia 82% ya uwezo wake wa kijeshi ambapo mpaka sasa anapigana kwa takribani miezi 6 sasa.

Lakini hayo yoye yakitokea kuna mambo yafuatayo nayo yametokea:

Israel imeomba msaada wa kijeshi Marekani. Wanapatiwa silaha na zana za kivita mbali mbali na si mara moja wala mara mbili.

Wanapatiwa msaada wa gharama za kuendesha vita kwani vita yake na Hamas uchumi wake umeporomoka.

Tuwe wa kweli! Kwa kikundi hicho cha Hamas na eneo dogo kama hilo tena alilolizingira Israel ni wa kupambana nalo kwa miezi 6? Ambapo mpaka muda huu anahangaika nalo?

Kama hali ndiyo hii akipigana na nchi inayojiweza atakuwa katika hali gani? Yenye jeshi la anga, jeshi la maji, jeshi la ardhini n.k?

Tukubali, kwa sasa Israel haina uwezo wa kupigana na nchi yoyote ile.
Hiyo 82% umetoa wapi?
Any evidence?
 
Ripoti za kiuchunguzi za CIA zinaeleza kuwa Iran inaendelea kujiandaa na mashambulizi ya drones ndani ya Israel hasa kwenye maeneo yake ya viwanja vya ndege na kambi za jeshi...

Wakati haya yakijiri Huko Iran na Israel nao kupitia waziri wa ulinzi bwana GALLANT amesema kuwa "vikosi vyetu vipo tayari na vimejipanga kitambo sana na vita Kwa kujilinda na kupiga"

Naona vita hii inayoendelea inapelekea vita ya 3 ya dunia...tuombe MUNGU Iran asijibu mapigo
Mpaka Sasa ni zaidi ya masaa 72 na Iran bado imeufyata. Kulikoni?
 
Back
Top Bottom