Na Mjinga pekee ndiye anaweza dhani Israel anaweza kumpiga Iran.Narudia tena ,watu waache kujitoa ufahamu na kuiona Israel ni nchi ya kupigwa na Iran, nchi yenye nyuklia utaipigaje uifute? Yasije yakatokea kama ya mwaka 1967 na 1973
Aliye nyuma ya Israel ni Washington kama alivyofanya kwa Kremlin anafanya tena Tehran na The end will Justify.
Kiev imebaki na Nani?
Mind you kama ilivyo nyuma ya Tel Aviv kuna Washington vivyo hivyo nyuma ya Tehran kuna Moscow
Yetu Macho na Maumivu