Iran inaripotiwa kupanga kushambulia Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani

Iran inaripotiwa kupanga kushambulia Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani

Na Mjinga pekee ndiye anaweza dhani Israel anaweza kumpiga Iran.
Aliye nyuma ya Israel ni Washington kama alivyofanya kwa Kremlin anafanya tena Tehran na The end will Justify.

Kiev imebaki na Nani?

Mind you kama ilivyo nyuma ya Tel Aviv kuna Washington vivyo hivyo nyuma ya Tehran kuna Moscow

Yetu Macho na Maumivu
…nyuma ya Moscow kuna nani? Maana tunaiona vile Moscow inahangaika na kupukutika huko Ukraine
 
Mossad wako irani siku nyingi hivi kama kwenye nchi ya iran kuna vikundi vya wanajeshi vinaisimbua irani yenyewe kwemye nchi nyingine itaweza
 
Matendo ya mauaji yanayofanywa na isis yana tofauti gani na Hamas?! The so called freedom fighters
Tofauti yake ni mbingu na ardhi, hamas wanatetea ardhi yao, na isis ni kikundi kinachotumika kuuchafua uislamu.

Ulishawahi kuona ama kusikia SIS wamelipua Israel, USA au Uingereza?
 
Iwe kweli sasa, na sio vitisho tu.

Out of topic👇
Iftar ya Ramadhan iliyoandaliwa na Biden katika IKULU ya White House ilighairiwa kwa sababu hakuna Waislamu waliokubali mwaliko huo

Hivi ndivyo tunapaswa kushikamana na kuwa wamoja ndugu zangu waislam

Allah awalinde, awahifadhi na awape ushindi dhidi hao maadui wakubwa waliolaaniwa
Hakunaga undugu kwenye maslah wewe acheni umasikin wa akili. Hapo Darfur waarabu wanaua watu weusi na kuchukua maeneo yao ushaona Al-Jazeera wanaongea au pale Yemen muda wote waarabu wauana ushasikia kelele kama za Gaza
 
Hakunaga undugu kwenye maslah wewe acheni umasikin wa akili. Hapo Darfur waarabu wanaua watu weusi na kuchukua maeneo yao ushaona Al-Jazeera wanaongea au pale Yemen muda wote waarabu wauana ushasikia kelele kama za Gaza

Hayo ya waarabu kuuwa weusi ni uongo, unaweza ukaweka clip tuone, na wanatoka nchi ipi!
 
Hayo ya waarabu kuuwa weusi ni uongo, unaweza ukaweka clip tuone, na wanatoka nchi ipi!
Yaan kwamba janjaweed waliokuwa wanonyeshwa na Al-Jazeera walichofanya weusi pale Darfur ni uongo sio.
 
Yaan kwamba janjaweed waliokuwa wanonyeshwa na Al-Jazeera walichofanya weusi pale Darfur ni uongo sio.

Sudan ni moja kati ya nchi za kiarabu/kiislamu, sasa nionyeshe hao waarabu wakiuwa watu weusi! Hao weusi ni akina nani?

Tatizo lenu chuki zimewajaa kwa waarabu mpaka mnajichanganya eti janjaweed ni waarabu 😄 sisi waislamu tunawajua nyie vizuri sana, mmejawa chuki
 
Sudan ni moja kati ya nchi za kiarabu/kiislamu, sasa nionyeshe hao waarabu wakiuwa watu weusi! Hao weusi ni akina nani?

Tatizo lenu chuki zimewajaa kwa waarabu mpaka mnajichanganya eti janjaweed ni waarabu 😄 sisi waislamu tunawajua nyie vizuri sana, mmejawa chuki
Bro huitaji kutoka mishipa kuongea mzee nenda Google janjaweed walichofanya pale darfur
 
Bro huitaji kutoka mishipa kuongea mzee nenda Google janjaweed walichofanya pale darfur

Nimekuomba picha tu kama wanafanana na waarabu, umeshindwa kuleta.

Haya niambie hao waarabu ni wa nchi gani?
 
Back
Top Bottom