Iran isitumie nguvu kubwa Israel imeshatepeta ni ya kujipigia tu

Iran isitumie nguvu kubwa Israel imeshatepeta ni ya kujipigia tu

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Waajemi wasitumie nguvu kubwa sana wakati wa kuidhibu Israel ambayo ni dhaifu sana imetepeta vibaya makombora ya Hizbollah yameiharibu kabisa na mifumo yao ya ulinzi imeparalaizi haina uwezo wa kupangua zaidi kulipuliwa ikiwa na air defence missile. Na tayari wameshaanza kufarakana ni jukumu la makomandoo wa Iran waingie Israel wawakamate kama kuku kwenye banda.
Air Defence ya Israel ya sasa ni king'ora kimoja wayahudi wote wanazama kwenye mapango
 

Attachments

  • IMG_20241106_215137.jpg
    IMG_20241106_215137.jpg
    30.4 KB · Views: 1
Waajemi wasitumie nguvu kubwa sana wakati wa kuidhibu Israel ambayo ni dhaifu sana imetepeta vibaya makombora ya Hizbollah yameiharibu kabisa na mifumo yao ya ulinzi imeparalaizi haina uwezo wa kupangua zaidi kulipuliwa ikiwa na air defence missile. Na tayari wameshaanza kufarakana ni jukumu la makomandoo wa Iran waingie Israel wawakamate kama kuku kwenye banda.
Air Defence ya Israel ya sasa ni king'ora kimoja wayahudi wote wanazama kwenye mapango
Trump (adui wa Waarab) kisharudi madarakani, sioni Waarab wakipumua kwa amani.
 
Mleta mada, nani kamwambia kuwa punguani nao wanaruhusiwa kuanzisha mada?

Mods, hili siyo jukwaa la vichekesho au vioja. Ondoeno hii mada takataka, pelekeni kwenye jukwaa husika.
 
Mleta mada, nani kamwambia kuwa punguani nao wanaruhusiwa kuanzisha mada?

Mods, hili siyo jukwaa la vichekesho au vioja. Ondoeno hii mada takataka, pelekeni kwenye jukwaa husika.
Kanzishe forum yako afu chagua watu wenye akili kama zako, nani kakulazimisha kuchangia mada unazo ona sio level yako, au basi ni ujinga wako ndio unakusumbua.
 
Waajemi wasitumie nguvu kubwa sana wakati wa kuidhibu Israel ambayo ni dhaifu sana imetepeta vibaya makombora ya Hizbollah yameiharibu kabisa na mifumo yao ya ulinzi imeparalaizi haina uwezo wa kupangua zaidi kulipuliwa ikiwa na air defence missile. Na tayari wameshaanza kufarakana ni jukumu la makomandoo wa Iran waingie Israel wawakamate kama kuku kwenye banda.
Air Defence ya Israel ya sasa ni king'ora kimoja wayahudi wote wanazama kwenye mapango
Unaongea ukiwa wapi? Tehran, Baghdad,Gaza au Syria? Maana huko kote nilipotaja Israel anaogopwa...kasoro wew na wenzio Waarabu wa Nzega
 
Iran kulipa kisasi anaogopa alisema atarusha 1,000 missile... mara kahamishia missile Iraq sasa wenye ardhi wanamuambia hawataki vita na Taifa takatifu kama hasira ana maeneo mengi sana Iran tena hayatumiki.. ukitaka vita pigana
 
Waajemi wasitumie nguvu kubwa sana wakati wa kuidhibu Israel ambayo ni dhaifu sana imetepeta vibaya makombora ya Hizbollah yameiharibu kabisa na mifumo yao ya ulinzi imeparalaizi haina uwezo wa kupangua zaidi kulipuliwa ikiwa na air defence missile. Na tayari wameshaanza kufarakana ni jukumu la makomandoo wa Iran waingie Israel wawakamate kama kuku kwenye banda.
Air Defence ya Israel ya sasa ni king'ora kimoja wayahudi wote wanazama kwenye mapango


Naona akili za madrassa zinaongea
 
Back
Top Bottom