permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Israel atumie hii nafasi kupiga vile vinu, sijui kwa nini hakuacha baadhi ya makombora yalete uharibifu ili iwe kigezo cha kufanya hivyo.Mpaka Sasa kwenye huu mtanange Israel inaongoza moja bila dhidi ya Iran. 99% ya drones na makombora toka Iran yamedunduliwa. Iran imepata green light kushambulia Iran especially vinu vya nyuklia π€
Mama anaupiga mwingi......Lawama kwa mama
Ni kweli tabia ya Iran kupotezea mambo na kuepusha shari kuliifanya Israel ampande kichwani ila kwa shambulizi hili ,Israel atakuwa anajifikiria mara mbili kabla ya kufanya upuuzi alio kuwa amezoea kuufanya.Watu wanajadili kinachotokea. Hiyo kusema wanafurahia huo ni mtazamo wako.
Wanaofurahia ni hao ambao wanapigana huko kwa sababu wanajua nini wanapata pale wanapopigana
Weh ulidhania watajinyonga!?Waisrael mwenyewe hiyo jana wameonyeshwa wakiendelea na maisha yao kama kawaida
Iran walimshindwa Dikteta Saddam Hussein miaka 10 wataiweza Israel.Atleast Iran imetimiza Ahadi yake hata kama matokeo ni madogo lakini tumeona.
Sasa kete inayosubiriwa ni Israel asukume tuone mchezo utachezwaje
Mkongwe, najua una haraka!Bro kwenye ulinzi kuna kitu wanaita strategic detterence nguvu kubwa inatumika kufanya adui yako asiwaze kukurushia chochote au kukushambulia sasa leo hii hocho isarel hana
Namba mbili tbe entire middle east usa centcom was activated kuisaidia hio israel usa jana one night tu kaspend almost 1billion usd dhidi ya cheap drone na pia kwa wairan hii imekuwa kama drill na kustudy activation ya hayo maairdefense yaliyomzunguka ili siku za mbeleni anajua what to do nayo tatu ni kuonyesha uwezo na kuiobomoa kisaikolojia israel kwenye ile inaitwa psycho warfare wananchi wamekimbilia kuishi kwenye mahandaki na ktk historia ya israel imeandikwa jana usiku iran iliishambulia israel wakati wa Benjamin Netanyahu full stop, na kumbuka hii sio surprise attack taarifa zilikuwa zinajulikana iran ata attack na kwa nature ya shambulizi na aina ya silaha unaona kabisa hazikuwa na lengo la kuibamiza kisawa sawa israel ila wameshajua kuwa siku wakidhamiria kutibamiza kisawasawa inawezekana na muiran kumbe anaweza wamejionea last night.
Hata ukilia huwezi kuwazuia kupigana wala mafuta kupanda.mnashigilia ujinga? mafuta yakipanda bei mwezi ujao mrudi humu pia kushangiliamafuta kupanda bei,
Wanasema huko ardhi ya Iraq na Jordan kumetapakaa scrapers za vidroni vya Iran all over!
Israel anapaswa kufanya mambo moja ili kutoa funzo hapo Middle East. Jana kashambuliwa na nchi kama tano, Iran, Lebanon, Syria, Iraq na Syria. Hili likiendelea in the long run litaisumbua sana Israel, nadhani afikirie kutumia ile nuclear ili afute kama ki nchi kimoja hapa amani ya kudumu itapatikana au aingie vitani na Iran kwani ndie mdhamini wa vikundi vyote hivi.
Uharifu umetokea acheni visingizio.Israel atumie hii nafasi kupiga vile vinu, sijui kwa nini hakuacha baadhi ya makombora yalete uharibifu ili iwe kigezo cha kufanya hivyo.
Hadi muda huu Israel kigezo anacho, anachotakiwa ni kufanya tu!Israel atumie hii nafasi kupiga vile vinu, sijui kwa nini hakuacha baadhi ya makombora yalete uharibifu ili iwe kigezo cha kufanya hivyo.
Onesha jengo sio barabara mkuu.Yako wapi Mkuu
JUST IN: Israeli military releases video showing F-35 fighter jet landing at Nevatim base after Iran claimed to have caused significant damage to it.
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1779386924815561102?t=tCqdNwJNWymquPLn_jLRaw&s=19
Mnafosi air base imeharibiwa lakini hamna ushahidi πππOnesha jengo sio barabara mkuu.
Nyerere airport ikiharibika uje utuoneshe ranway ya ndege useme hakujaharibika hivi huo ni ushahidi tosha??
Muda wa kulijua hili umeshafika, Israel ijibu mapigo ili ushuhudie utofauti wa Iran na Iraq.Iran walimshindwa Dikteta Saddam Hussein miaka 10 wataiweza Israel.
Hizi 7 hapa
Waafrica apo wapo wap?
Iran walimshindwa Dikteta Saddam Hussein miaka 10 wataiweza Israel.
Iran imemshindwa Saddam au Saddam ndio kaishindwa Iran!?Iran walimshindwa Dikteta Saddam Hussein miaka 10 wataiweza Israel.
Mnafosi air base imeharibiwa lakini hamna ushahidi πππ
Wewe leta ushahidi wa kuonesha airbase iko nzima.Mnafosi air base imeharibiwa lakini hamna ushahidi πππ