Porojo tu hizo.Of the 331 missiles and drones launched by Iran at Israel:
- 185 out of 185 Kamikaze Drones were shot down
- 103 out of 110 Ballistic Missiles were shot down
- 36 out of 36 Cruise Missiles were shot down
- 7 Ballistic Missile impacts have been recorded on Israeli territory
Taqbiiiiiiiiiiiiir!!!!!!.....Porojo tu hizo.
Allahu Akbar.Taqbiiiiiiiiiiiiir!!!!!!.....
Tulikuwa tumezowea kusikia sauti za kina mama wa Kipalestina wakilia, leo tumesikia kina mama wa kizayuni wakilia.Allahu Akbar.
Jionee, vyombo huru vya habari:
View: https://youtu.be/1X_mUX0bBP0?si=vCZ0mJhhbZLQHPyn
Na wewe unaamini kabisakabisa.Yako wapi Mkuu
JUST IN: Israeli military releases video showing F-35 fighter jet landing at Nevatim base after Iran claimed to have caused significant damage to it.
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1779386924815561102?t=tCqdNwJNWymquPLn_jLRaw&s=19
Na wewe unaamini kabisakabisa.
Sishangai ni kwanini babu zetu walipewa gololi na wao kutoa Almas na dhahabu. KIUFUPI SISI NI MAJINGA NA YENYE KUDANGANYIKA KIJINGA SANA.
Hata kama tuna mapenzi na Israel au Iran lakini tusiwe majinga kiasi hiki. Unachokisikia kwa Iran kiamini nusu na unachokisikia kwa West kiamini robo.
Na hakuna myahudi aliyekufa hata mmoya.....Of the 331 missiles and drones launched by Iran at Israel:
- 185 out of 185 Kamikaze Drones were shot down
- 103 out of 110 Ballistic Missiles were shot down
- 36 out of 36 Cruise Missiles were shot down
- 7 Ballistic Missile impacts have been recorded on Israeli territory
Church rupture is about to happen......Matthew 24:6-8 King James Version (KJV)
For nation shall rise against nation, and kingdom against kingdom: and there shall be famines, and pestilences, and earthquakes, in divers places. All these are the beginning of sorrows.
Wayahudi wangapi wameuliwa na Iran?Porojo tu hizo.
Israeli alisukuma kete ya kwanza na kuua makamanda zaidi ya 7. Wawili ni high military rank official,Atleast Iran imetimiza Ahadi yake hata kama matokeo ni madogo lakini tumeona.
Sasa kete inayosubiriwa ni Israel asukume tuone mchezo utachezwaje
Dont say gharama kwa hawa watu. Wanahela za kutosha. Mzee. Wanaweza hata wakadungua kunguru kwa kombora la mabilioni. Pesa sio shida kwao na hawawez filisika kwa vita vya siku mojaGharama iliyotumika kuzuia hizo drones ni zaidi ya adhabu
Kuna mambo analaumiwa chief Hangaya ni uonevu kabisa 🤔Lawama kwa mama
Sisi tunataka ahadi ya Israel hachokozwi kwake lazima Ajibu.Kinachoitwa shambulizi la Iran kwa Israel jana ni kelele kubwa tu za majidai na usumbufu ambazo hazikuleta chochote cha maana. Unashambulia nchi iliyo umbali wa KM 2300 kwa kutuma drones ambazo zinakatiza anga za nchi nyingine kadhaa kwa masaa na karibia zote kuishia kutunguliwa au kuanguka njiani kwa kuishiwa chaji!
Kwa alichokifanya Israel cha kushambulia ubalozi na kuua makamanda wa Iran kwenye ugomvi ni sawa na umepigwa kofi la usoni na ukaishia kumsukuma au kumkunja tu shati aliyekuzabua kofi. Aliyesukumwa ndio ataamua huu ugomvi utaendeleaje au utaishaje. Ngoja tusubiri majibu yake.
kwani irankupiga ubalozi wa israel ulio kwenye nchi nyingine anashindwa!!!hayo mashambulizi yalikuwa yanaenda moja kwa moja israel,hapo manake vita na ianze mura,ENDELEA KUWASIFIA MASHOGA UJINGA UMEJIANDAA NA NJAA YA 3WW HUKO BUZA???SHAURI YAKOKinachoitwa shambulizi la Iran kwa Israel jana ni kelele kubwa tu za majidai na usumbufu ambazo hazikuleta chochote cha maana. Unashambulia nchi iliyo umbali wa KM 2300 kwa kutuma drones ambazo zinakatiza anga za nchi nyingine kadhaa kwa masaa na karibia zote kuishia kutunguliwa au kuanguka njiani kwa kuishiwa chaji!
Kwa alichokifanya Israel cha kushambulia ubalozi na kuua makamanda wa Iran kwenye ugomvi ni sawa na umepigwa kofi la usoni na ukaishia kumsukuma au kumkunja tu shati aliyekuzabua kofi. Aliyesukumwa ndio ataamua huu ugomvi utaendeleaje au utaishaje. Ngoja tusubiri majibu yake.
Wataanza kumlaumu Mama Samia na Mwigulu Nchembamnashigilia ujinga? mafuta yakipanda bei mwezi ujao mrudi humu pia kushangiliamafuta kupanda bei,