Iran kutumia njia ya anga kupelekea silaha kwa magaidi ya Hezbollah, njia ya ardhini kupitia Syria imedhibitiwa na Israel baada ya kuangushwa Asad

Kimbe upon nyuma ya wakati soma hii

Asilimia kubwa ya wayahudi wanamfunzo ya kijeshi likiwemo la kukimbilia kwenye handaki wakati wa hatari na hii inawatofautisha sana na waarabu na waafrika wengi
We jamaa mbona unaandika pumba sana shida ni nini?
 
Basi kama ulikuwa hujui hiyo ni mbinu ya kijeshi mlipewa kama ulikuwa hujui,
Handaki sio mbinu ya kijeshi mkuu.
Hata hili pia una complicate!?
DooohπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Handaki sio mbinu ya kijeshi mkuu.
Hata hili pia una complicate!?
DooohπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nini maana ya mbinu za kijeshi? labda tuanzie hapo
 
Hizo ndege na huo uwanja vitafumuliwa balaa. Lebanon yenyewe haitakubali hilo litokee maana inajua huo uwanja ndo pekee wa maana ilionao haiwezi kuuweka kwenye hatari ya kubomolewa na Israel. Kumbuka Israel iliwahi kuitaka Lebanon ifunge ndege za Iran zisitue hapo juzijuzi wakati anachakazwa hezbolah na Lebanon alifanya hivyo
 
Atapitaje kufika Beirut kwa njia ya anga?

Lazima wapite kwenye anga la Syria na anga la Syria kwasasa limetawaliwa na US na Israel.


 
Basi sawa tuseme ni mbinu ya kijeshi mkuu.
Ndio uhalisia mtu asiye na mafunzo hayo lazina aumie bomu likirushwa,Ni sawa ukisikia mlio wa risasi karibu yako mtu mwenye mafunzo anaangalia uwezekano wa kulala chini haraka,ila boya anabaki kukimbia au kushangaa tu
 
Hivi Iran haijui kama Mosaid wako ndani yake?
Hakuna ko kote Middle east ambapo Israel haipo!
 
Ndio uhalisia mtu asiye na mafunzo hayo lazina aumie bomu likirushwa,Ni sawa ukisikia mlio wa risasi karibu yako mtu mwenye mafunzo anaangalia uwezekano wa kulala chini haraka,ila boya anabaki kukimbia au kushangaa tu
Handaki sio lazima upate mafunzo ya kijeshi mkuu.
Nyumba nyingi za Europe pia hujengwa na mahandaki toka enzi ili kujificha linapotokea tatizo lolote lile ikiwemo machafuko ama vita.
As well as Israel ni lazima nyumba zingejengwa hivyo kulinda raia ukizingatia Israel imezungukwa na nchi mahasimu.
 
Sawa
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…