Iran kutumia njia ya anga kupelekea silaha kwa magaidi ya Hezbollah, njia ya ardhini kupitia Syria imedhibitiwa na Israel baada ya kuangushwa Asad

Iran kutumia njia ya anga kupelekea silaha kwa magaidi ya Hezbollah, njia ya ardhini kupitia Syria imedhibitiwa na Israel baada ya kuangushwa Asad

Ondoa uongo wako we siyo msemaji wa Irani Ayatollah alituahidi promise lll wewe nani ulete porojo,kwa taarifa Yako kipigo alichokipata baada ya promise ll ndo kimepelekea kigugumizi ya promise lll

Raia wa Israel wote wanamfunzo ya kijeshi ndo maana wakisikia bomu linakuja wanaingia Shelta,Sasa wavaa vilemba wakisikiaa bomu linakuja wanaanza kuangalia juu ndo maana wanakufa wengi😥
Wejamaaa mbona unataka watu wanaokusoma ambao wanajua Iran imeinyuka Israel mala 2 .mwez April na October sasa uwongo wake upo wp mbona nyinyi mnapenda kuipamba Israel na sifa ambazo ana kias chakutaa ukweli ulio wazi mnalipwa kusema uwongo au ww ni mchungaji unadhani JF ni kijiwe chako cha kuwaongepewa watu. Kila siku mnadai Iran ilipigwa lkn ushaid akuna yemen tu juzi imepiga Telaviv na ushaidi upo chuma kinatua live mjini. Ww umeenda mbali ata kukana kupigwa Israel mala2 kichekesho zaid lkn pia mnadai Iran ilipigwa tuoneshen ushaid ufanane na jinsi tunaona Israel ikibutuliwa live. Una ushaid utatoa wapi wkt Iran mmeamua kuipiga ki propaganda mala utasikia hooo Iran aisubutu tena kuipiga Israel kwakua inajua ilichofanywa!!! Sasa Yemen juzi kapiga Telaviv kitu kizito na kila mtu anajua Yemen ni Iran ni sawa tu kusema kapigwa Israel na Iran kutokea Yemen. Au nasema uwongo ndugu zangu,
 
Mambo mengine yana historia ndefu ya uhasama nyuma yake.

Marekani ana ugomvi wa muda mrefu na Hezbollah it must be said ukisikiliza upande wao nao wana sababu ya kulipa kisasi.

Huu mzozo umeanza 1982/83 na hezbollah ndio mchokozi.

Tafuta declassified files za CIA, wazungu wanakiri hata wao walikosea kwenye intelligence wakaua zaidi ya watu 63 na kujeruhi watu 200 kwenye hasira za kulipa kisasi.

Sasa sisemi uhuni wa Israel ndani ya Palestine ni halali. Lakini hii mizozo ina historia, hezbollah ni shida ukianza kuwafuatilia toka mwanzo wao.
 
Wejamaaa mbona unataka watu wanaokusoma ambao wanajua Iran imeinyuka Israel mala 2 .mwez April na October sasa uwongo wake upo wp mbona nyinyi mnapenda kuipamba Israel na sifa ambazo ana kias chakutaa ukweli ulio wazi mnalipwa kusema uwongo au ww ni mchungaji unadhani JF ni kijiwe chako cha kuwaongepewa watu. Kila siku mnadai Iran ilipigwa lkn ushaid akuna yemen tu juzi imepiga Telaviv na ushaidi upo chuma kinatua live mjini. Ww umeenda mbali ata kukana kupigwa Israel mala2 kichekesho zaid lkn pia mnadai Iran ilipigwa tuoneshen ushaid ufanane na jinsi tunaona Israel ikibutuliwa live. Una ushaid utatoa wapi wkt Iran mmeamua kuipiga ki propaganda mala utasikia hooo Iran aisubutu tena kuipiga Israel kwakua inajua ilichofanywa!!! Sasa Yemen juzi kapiga Telaviv kitu kizito na kila mtu anajua Yemen ni Iran ni sawa tu kusema kapigwa Israel na Iran kutokea Yemen. Au nasema uwongo ndugu zangu,
Unajua ukweli haufichiki
Wejamaaa mbona unataka watu wanaokusoma ambao wanajua Iran imeinyuka Israel mala 2 .mwez April na October sasa uwongo wake upo wp mbona nyinyi mnapenda kuipamba Israel na sifa ambazo ana kias chakutaa ukweli ulio wazi mnalipwa kusema uwongo au ww ni mchungaji unadhani JF ni kijiwe chako cha kuwaongepewa watu. Kila siku mnadai Iran ilipigwa lkn ushaid akuna yemen tu juzi imepiga Telaviv na ushaidi upo chuma kinatua live mjini. Ww umeenda mbali ata kukana kupigwa Israel mala2 kichekesho zaid lkn pia mnadai Iran ilipigwa tuoneshen ushaid ufanane na jinsi tunaona Israel ikibutuliwa live. Una ushaid utatoa wapi wkt Iran mmeamua kuipiga ki propaganda mala utasikia hooo Iran aisubutu tena kuipiga Israel kwakua inajua ilichofanywa!!! Sasa Yemen juzi kapiga Telaviv kitu kizito na kila mtu anajua Yemen ni Iran ni sawa tu kusema kapigwa Israel na Iran kutokea Yemen. Au nasema uwongo ndugu zangu,
Rafiki kipigo hua hakijifichi,Sawa tuseme kweli Israeli alipigwa na Irani kwa mamia ya makombora makubwa makubwa (ICBM) Ni ishara ipi inaonesha kuwa Israeli imepigwa?

Ishara ya kwanza tungeona Kiburi na kujiamini kwa Israeli kinapungua na huenda hata Gaza angeondoka

Ishara ya Irani kupigwa ipo wazi,baada ya kipigo cha hv punde toka Israeli Iran iliiamuru Hesbolah kukubali masharti ya Israeli ambayo ni kuondoka mpakani na Israeli ili raia wa Israeli waishi kwa amani kaskazini mwa Israeli,kuacha kurusha maroketi kwa Israeli

Baada ya kipigo kutoka Israeli Irani aliahidi kujibu mapigo Kwa promise Ill,lakini wajuzi wa mambo walisema Irani kaumia sana hawezi kutekeleza promise lll kama alivyoahidi kwani akifanya hivyo atakuwa anajimaliza na kweli tunaona Ayatola mpaka Leo anatetemeka kuitimiza

Ishara nyingine kuwa Irani kapigwa ni kupoteza mamlaka yake nchini Syria,kutokana na kidhoofishwa na Israeli majeshi ya Irani yaliokuwa Syria yalipigwa na waasi na baadhi kuuwawa na kuacha silaha nyingi nyuma na Asad kipenzi Chao akafurushwa

Ishara zipo nyingi nimekea hizo chache Sasa nipe ishara za kupigwa Israeli ulizonazo mwenyewe bila kutegemea maneno matupu
 
Tusi liko wapi!?..'raia wote askari ndiyo maana makombora yakirushwa hukimbilia kwenye shelta'..hii ni kauli inayoakisi fikra jadidi?.. unahitaji kuwa askari Ili kukimbilia kwenye shelta!?
Unafahamu maana ya Shelta lkn,au nikurahisishie swali unafahamu matymizi ya handaki katika vita?
 
Haha kaka kwani hata ukiwa na gari yako unampeleka mwanao shule
Asubuh hiyo sio Gharama.

Anyway kuwa na mafuta sio issue hebu tafuta wasaa pitia newz za dunia kidg uone inavyoenda, hivi una habar wiki iliopita wa iran wameandamana kutokana na uhaba wa mafuta. Plus shida ya umeme

Iran wana mafuta ardhini ila
Wana struggle kuongeza capacity ya kuyachimba na kusafisha maana vifaa vya kizaman wanatumia Toka enz za miaka sabini na hata hicho kias kdg wanachochimba wana export kwa bei ya kutupa kwa sababu wanauza kwenye soko la pili (black market)

Kumbuka wana vikwazo kwa hiyo mafuta yao wanauzia nchi chache ambazo zina uwezo wa kuvimbiana na US (hapa ni china na India) hii inamaanisha nini inamanisha hao wanunuzi ndo wanajipangia bei wananunua mafuta iran hadi kwa 20% -30% discount kutoka bei ya soko la
Dunia na cha ajabu mnunuzi
Mkubwa wa bulk wa mafuta ya iran ni china nananunua 90% ya mafuta ya iran sasa fikiria anunue kwa 30% less Kulinganisha na bei ya soko la Dunia hiyo ni loss ya kiasi gan

China anajua Iran hana option maana hawez kuuza mafuta kwa nchi kama TZ sababu TZ itashukiwa na wenye dunia yao ndo maana china anampangia bei anayotaka

So iran ana struggle na bahat mbaya watawala Kina ayatolah wao pesa hata hiyo kdg wanayopata wanaipeleka kwenye kutengeneza silaha hawanunui hata mashine za kuongeza uzalishaji wa umeme wako obsessed na Israel mno

Yaan nje ya Jeshi wao wamekeweza kdg kwingine we fikiria had ndege ya kubeba rais ni ya miaka Ya sabini
Irani yuko sahihi kuwekeza kwenye jeshi kuliko sehem yoyote ile maana anawindwa kutolewa pale. Huo ndio njia wameichagua wao bora wauze bei pungufu kuliko kumuachia bure Marekani kama wanavyofaidi mafuta nchi nyingine za kiarabu, mafuta ya Iran yamewashinda hawabebi hata lita 1 kudadadeki Ayatollah kashakataa wanaharamu kugusa rasilimali za Iran wao waseme waweke vikwazo watawazoea waarabu tu
 
Irani yuko sahihi kuwekeza kwenye jeshi kuliko sehem yoyote ile maana anawindwa kutolewa pale. Huo ndio njia wameichagua wao bora wauze bei pungufu kuliko kumuachia bure Marekani kama wanavyofaidi mafuta nchi nyingine za kiarabu, mafuta ya Iran yamewashinda hawabebi hata lita 1 kudadadeki Ayatollah kashakataa wanaharamu kugusa rasilimali za Iran wao waseme waweke vikwazo watawazoea waarabu tu
Siyo kweli kuwa Iran imewekeza kwenye jeshi kwa kiasi kikubwa, Bajeti ya kijeshi ya Iran ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingine kwenye eneo hilo.
 
Wameshapigwa juzi hapa rada zao nyang'anyan'ga na askari kibao wamekufa halafu unaleta hadithi za Alf lela ulela,waliahidi kulipiza Kwa promise lll lkn ahadi Yao imekuwa ya moto walipewa vitu vzito sana😥
Lete ushahidi wa kupigwa hapo juzi na askari kibao kuuawa.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Serikali ya Iran sasa imeamua kutumia njia ya anga kupitia uwanja wa ndege wa Beirut kusafisha silaha nzito kwa washirika wao ambao ni magaidi ya Hezbollah

Mazungumzo mazito yanaendelea muda huu huko tehran

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:


Live Update arrow right icon From the Liveblog of Monday,

December 23, 2024
Report: Iran eyeing air corridor to Hezbollah in place of Syria land route
Today, 9:07 am
12
Iran is considering establishing an air corridor to Lebanon by which to resupply the Hezbollah terror group, after losing its land route through Syria with the fall of Bashar al-Assad’s regime, The Times reports.

The paper notes that this would be in breach of Israel’s ceasefire agreement with Hezbollah.

An unidentified regional source tells the paper that discussions on the matter are taking place in Tehran. The source says Western nations are “concerned that Iran has lost [Damascus as] its go-to airport in the region for smuggling weapons and is now trying to turn Beirut airport into its new logistics hub, just as they did in Syria.”

They add that such action “could lead to the next escalation.”

Israel has said it will enforce the terms of the ceasefire in Lebanon by force where necessary. It has intercepted cargo flights from Iran to Lebanon that it believed were carrying arms for Hezbollah, forcing them to turn around.
Ni hiki watakipata kama walivyokipata kabla.
 
Haha kaka kwani hata ukiwa na gari yako unampeleka mwanao shule
Asubuh hiyo sio Gharama.

Anyway kuwa na mafuta sio issue hebu tafuta wasaa pitia newz za dunia kidg uone inavyoenda, hivi una habar wiki iliopita wa iran wameandamana kutokana na uhaba wa mafuta. Plus shida ya umeme

Iran wana mafuta ardhini ila
Wana struggle kuongeza capacity ya kuyachimba na kusafisha maana vifaa vya kizaman wanatumia Toka enz za miaka sabini na hata hicho kias kdg wanachochimba wana export kwa bei ya kutupa kwa sababu wanauza kwenye soko la pili (black market)

Kumbuka wana vikwazo kwa hiyo mafuta yao wanauzia nchi chache ambazo zina uwezo wa kuvimbiana na US (hapa ni china na India) hii inamaanisha nini inamanisha hao wanunuzi ndo wanajipangia bei wananunua mafuta iran hadi kwa 20% -30% discount kutoka bei ya soko la
Dunia na cha ajabu mnunuzi
Mkubwa wa bulk wa mafuta ya iran ni china nananunua 90% ya mafuta ya iran sasa fikiria anunue kwa 30% less Kulinganisha na bei ya soko la Dunia hiyo ni loss ya kiasi gan

China anajua Iran hana option maana hawez kuuza mafuta kwa nchi kama TZ sababu TZ itashukiwa na wenye dunia yao ndo maana china anampangia bei anayotaka

So iran ana struggle na bahat mbaya watawala Kina ayatolah wao pesa hata hiyo kdg wanayopata wanaipeleka kwenye kutengeneza silaha hawanunui hata mashine za kuongeza uzalishaji wa umeme wako obsessed na Israel mno

Yaan nje ya Jeshi wao wamekeweza kdg kwingine we fikiria had ndege ya kubeba rais ni ya miaka Ya sabini
Iran Hawanunuai silaha Kama Saudi’s na Israeli . Labda ndege baathi tu . Nchi inauwezo wa kuzalisha silaha zake yenyewe . Mwakani inafikisha drone za shaheed 136 million 2 na makombora ya ballistic 700000 kwa ajili ya kujitosheleza , Israel ajiandae kupokea kipigo cha makombora 1200 hii itakuwa ni sawa na 0.17%
 
Basi hiyo ilikupita naona maana iliandikwa sana baada ya Myahudi kutuma ndege zake huko kwa Ayatola
Kama unazungumzia shambulio la ndege basi pole yako lilifeli.
Hakuna asiyejua humu kama lile shambulizi ni failure na walitumia anga la Iraq kushambulia hawakuingia anga la Iran.
Hata satellite images hazikutoa picha zenye ushahidi kamili.
Tofauti na promise 2 ambayo kila mtu aliona Israel ikiungua.
 
Siyo kweli kuwa Iran imewekeza kwenye jeshi kwa kiasi kikubwa, Bajeti ya kijeshi ya Iran ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingine kwenye eneo hilo.
Ishu sio udogo wa bajeti ishu ni focus nliyoizugumzia hapa kafocus kwenye eneo hilo leo Hii Iran wanaproduce makombora kuliko taifa lolote lile, na wanaprogram ya nuklia ambayo karibuni itakamilika
 
Kama unazungumzia shambulio la ndege basi pole yako lilifeli.
Hakuna asiyejua humu kama lile shambulizi ni failure na walitumia anga la Iraq kushambulia hawakuingia anga la Iran.
Hata satellite images hazikutoa picha zenye ushahidi kamili.
Tofauti na promise 2 ambayo kila mtu aliona Israel ikiungua.
Kinachowaumiza israeli ni aibu na kujimwambafai kwa israeli pale Middle East. West wakiangalie ile clips wanatahayari. Kwa upande wangu nana lile shambulio la pili lilibeba mchanganyiko wa aina ya makombora Kama nne hivi kwa hiyo mpaka sasa iran anafahamu ni aina gani ya makombura ayatumie na ayazalishe kwa wingi kwa ajili ya isreli, kwa hiyo octoba 1. Ili kuwa ni kulipa kisasi lakini pia iran ilijaribu silaha zake kwenye uwanja wa vita kuwa ni ipi aitumie kama apperhand kwa battle inayofuata. Kwa hit promise 3 itakuwa more efficient na hapo ndo soko la mifumo Yao ya ulinzi litakapo kufa rasmi
 
Unafahamu maana ya Shelta lkn,au nikurahisishie swali unafahamu matymizi ya handaki katika vita?
Shelters za israel ni kwa ajili ya raia kujilinda na mashambulizi,huhitaji kuwa askari kukimbilia kwenye shelter, period!
 
Kama unazungumzia shambulio la ndege basi pole yako lilifeli.
Hakuna asiyejua humu kama lile shambulizi ni failure na walitumia anga la Iraq kushambulia hawakuingia anga la Iran.
Hata satellite images hazikutoa picha zenye ushahidi kamili.
Tofauti na promise 2 ambayo kila mtu aliona Israel ikiungua.
Kimbe upon nyuma ya wakati soma hii
Shelters za israel ni kwa ajili ya raia kujilinda na mashambulizi,huhitaji kuwa askari kukimbilia kwenye shelter, period!
Asilimia kubwa ya wayahudi wanamfunzo ya kijeshi likiwemo la kukimbilia kwenye handaki wakati wa hatari na hii inawatofautisha sana na waarabu na waafrika wengi
 
Kimbe upon nyuma ya wakati soma hii

Asilimia kubwa ya wayahudi wanamfunzo ya kijeshi likiwemo la kukimbilia kwenye handaki wakati wa hatari na hii inawatofautisha sana na waarabu na waafrika wengi
Kukimbilia kwenye handaki haihusiani na mafunzo ya kijeshi, sisi tuliokua kusini mwa tz miaka ya 80,tuliambiwa tuchimbe mahandaki kipindi hicho jwtz ipo msumbiji huko,nilijua habari za handaki nikiwa na miaka 4,5,7,8..
 
Kukimbilia kwenye handaki haihusiani na mafunzo ya kijeshi, sisi tuliokua kusini mwa tz miaka ya 80,tuliambiwa tuchimbe mahandaki kipindi hicho jwtz ipo msumbiji huko,nilijua habari za handaki nikiwa na miaka 4,5,7,8..
Basi kama ulikuwa hujui hiyo ni mbinu ya kijeshi mlipewa kama ulikuwa hujui,
Kukimbilia kwenye handaki haihusiani na mafunzo ya kijeshi, sisi tuliokua kusini mwa tz miaka ya 80,tuliambiwa tuchimbe mahandaki kipindi hicho jwtz ipo msumbiji huko,nilijua habari za handaki nikiwa na miaka 4,5,7,8..
 
Back
Top Bottom