Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Israeli ilifanya mashambulizi makubwa dhidi ya Iran Jumamosi asubuhi, kama sehemu ya kisasi chake dhidi ya shambulio la kombora kutoka Tehran mapema mwezi huu.

Shambulizi hilo kutoka kwa Iran linaibua hofu kwamba mzozo wa muda mrefu kati ya majeshi haya yenye nguvu unaweza kugeuka na kuwa vita vya kikanda.

Jeshi la Israeli limesema lililenga "maeneo ya kijeshi" ya uhakika nchini Iran, huku vyombo vya habari vya serikali ya Iran vikiripoti milipuko kadhaa.

Chanzo cha jeshi la Israeli kiliiambia CNN kwamba malengo ya kulipiza kisasi hayakujumuisha miundombinu ya nishati. Iran imesema Israeli ilishambulia vifaa vya kijeshi kote nchini humo, na kusababisha “uharibifu mdogo” katika baadhi ya maeneo.

IMG_0232.jpeg

Uamuzi wa Israeli kushambulia kile ilichokiita malengo ya kijeshi ya Iran ulifanywa baada ya wiki kadhaa za mashauriano ndani ya baraza lake la usalama kuhusu aina na upeo wa shambulizi hilo, kulingana na maafisa wa Israeli.

Soma Pia: Israel kuishambulia Iran mapema badala ya kusubiri ishambuliwe, taarifa za kiintelijensia zaendelea kukusanywa
=============


Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.

The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".
IMG_0231.jpeg

Source: CNN
 
Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.

The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".

Iran: Explosions heard in Tehran as Israel confirms strikes
 
Hayawi-hayawi mwisho imekuwa baada ya majeshi ya israel kuanza kuwapiga mbwa usiku huu Majeshi hayo ya Israel yameanza kumpiga Mwenye Mbwa yaani Iran mpaka sasa ninavyoandika hapa hukoanachapika vizuri sana
 

Attachments

  • -3394933771331708040.mp4
    3.2 MB
  • IMG_0236.jpeg
    IMG_0236.jpeg
    158.2 KB · Views: 6
Chanzo ni CNN
Inasemekana Israel imeanza mashambulizi yake ya kulipiza kisasi kama ilivyo ahidi kulipiza kisasi kwa mashambulizi ya Iran nchini Israel mnamo tarehe 1 Oct 2024, nchini Iran milipuko kadhaa imesikika ndani ya
Tehran muda huu.

IDF inasema inalenga maeneo ya kijeshi nchini Iran.

Siku ya ijumaa ndege za kimarekani aina ya F16 ziliingia mashariki ya kati kutokea Germany ambapo ilisemekana zitatumika kufanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran, ndege zilizopelekwa ni pamoja na F16 F15E, F22 na A-10, pia Pentagon ilipeleka mitambo ya ulinzi wa anga aina ya THAAD, ikumbukwe septemba Pentagon ilisema itaongeza askari zaidi , mifumo ya ulinzi wa anga na askari zaidi mashariki ya kati kwa kile kinachodaiwa kujiandaa na uwezekano wa migogoro ya Israel na Iran.


Source
 
Chanzo ni CNN
Inasemekana Israel imeanza mashambulizi yake ya kulipiza kisasi kama ilivyo ahidi kulipiza kisasi kwa mashambulizi ya Iran nchini Israel mnamo tarehe 1 Oct 2024, nchini Iran milipuko kadhaa imesikika ndani ya
Tehran muda huu.

IDF inasema inalenga maeneo ya kijeshi nchini Iran.


Source
Unaambiwa precise strike targets siyo kurusha vimondo hovyo hovyo maamae.

100 others

Nyau de adriz
 
Unaambiwa precise strike targets siyo kurusha vimondo hovyo hovyo maamae.

100 others

Nyau de adriz
Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
 
Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawei kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran.

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Nasrallah, Mohamed Deif na Yahyah sinwar ni raia?

Hakuna cha Allah kumzua mteule hakuna cha S400 kumzuia mteule.

Toka enzi za Samson na Daudi ni kichapo tu.

NO MERCY
 
Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawei kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran.

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Ayatollah anaishi wapi sasa hivi? Je kina Nasrallah na Yahyah Sinwar wanaishi wapi sasa hivi?
 
Back
Top Bottom