Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Jamaa wamepata aibu tu hamna kitu wamefanya mpaka wanaamua kutumia picha za zamani
Screenshot_20241026_035423_X.jpg
 
Ndio maana nasemaje ngoja tusubiri damage watakayofanya...
Kama damage ni kubwa, Ayatollah kasema waandae makombora 1000.
Naona Ayatollah kachoka kuishi 🤣.

Yasije kumpata yaliyowakuta akina Nasrala na Haniya.

Ila sidhani kama haya mashambulizi yataleta madhara kivile.

Kumbuka kuna uchaguzi Marekani katika siku 11 zijazo.

Lazima kutakuwepo na behind the scenes machinations zinazoendelea ku encourage restraint.
 
Ayatollah alitaarifiwa mapema ajifiche? Maana Israel anadeal na adui tu hata mashabiki wa adui too
Unaambiwa siyo Iran tu hata Syria imedondoshewa vitu vizito vyenye ncha butu.

Na haitaishia hapo tu sisi wayahudi weusi wa huku tutapeleka invoice kwa kila msikiti walipe hayo mabomu wateule wamedondosha.

NO MERCY

Nyau de adriz
 
Dunia hii ilivyo na mambo mengi chini ya kapeti, ukute hapo walishafikia makubaliano pande mbili na kuihusisha Russia kuwa Iran iwape baadhi ya target zao za kijeshi wazipige ili kulimaliza hili suala na ionekane KISASI KIMELIPWA. Haiingii akilini taifa kama Israel lipigwe halafu eti iwachukuwe karibia mwezi kujipanga kulipa kisasi. Israel tunayoijua hujibu papo kwa papo.

Hii ya kusubiria muda wote huo ninaamini kulikuwa na majadiliano ya pande mbili yalikuwa yakiendelea.
Wewe unaamini hivyo. Sorry kwa kukuuliza hili swali mkuu; hivi unajua sheria za kivita na elimu yoyote ya kimedani?
 
Where are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi. Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.

Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.

JESUS AND ISRAEL FOREVER
Jesus wouldn't approve of what these Zionist savages are doing, it's against Christian values. They don't care if they are killing Christian or Muslims. We are all scum to them.
 
25 October 2024

Shalom Shalom

:FIRE: Mashambulizi ya Angani ya IDF Yalenga Maeneo Nyeti Iran, Yamegonga pia Makao Makuu ya Jeshi la Iran IRGC, Milipuko Mingi ya Yatetemesha jiji la Tehran

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limethibitisha kufanya mashambulizi ya anga ya kulipiza kisasi katika maeneo yaliyolengwa nchini Iran.

Huku milipuko mikubwa ikiripotiwa mjini Tehran na karibu na Karaj usiku huu wa giza, Jumamosi. Vyombo vya habari vyenye uhusiano na serikali ya Iran, vikiwemo Fars News, viliripoti milipuko karibu na maeneo muhimu, ukiwemo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Imam Khomeini.

Vyombo rasmi vya serikali ya Iran vimethibitisha Milipuko kadhaa kusikika mjini Tehran, kwa mujibu wa shirika la habari la Fars la Iran. Nalo Shirika rasmi la habari la Tasnim liliripoti kuwa milipuko kadhaa ilisikika magharibi mwa mji mkuu wa Iran. Milipuko hiyo inakuja wakati eneo hilo likijiandaa kukabiliana na malipizi ya Israel kufuatia shambulio la Iran mapema mwezi huu.
Iran inasema milipuko hio zilikuwa ni air defenses.
Israel kafanya kituko.
 
Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
USA kala nyoya...🤣
 
Hayawi-hayawi mwisho imekuwa baada ya majeshi ya israel kuanza kuwapiga mbwa usiku huu Majeshi hayo ya Israel yameanza kumpiga Mwenye Mbwa yaani Iran mpaka sasa ninavyoandika hapa hukoanachapika vizuri sana.
Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.

The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".

Kweli wamepiga lakni Hiyo picha ni Israel walipopata chao. Sio ya iran.
Walikwisha onywa ilikiwa watapiga vituo vya mafuta an nuclear, Iran lazima itajibu. Na ikiwa vijutuo vya kijeshi hafifu Iran inaweza isijibu maana inakuwa haina maana.
Kwa sababu wewe ni myahudi mweusi kwa sintofahamu ukidhani hawa ndio wateule ambao hawautambui ukiristo na hawamtambui Yesu wanaemuona ni mwanaharamu, unadiriki kuwaita Wapestina, Walebanon mbwa na ndio inao wakiristo basi ntautumia mfano wa hao wateule wako ni cancer mashariki y kati tangu hao wazungu koko waletwe.
Hivyo basi:
Mwenye mbwa Marekani alikuwa huko israel juzi. Na mipaka ilifungwa n nchi za Iran, Iraq mpaka kesho 11am ( saa 5 asubuhi).
 
Naona Ayatollah kachoka kuishi 🤣.

Yasije kumpata yaliyowakuta akina Nasrala na Haniya.

Ila sidhani kama haya mashambulizi yataleta madhara kivile.

Kumbuka kuna uchaguzi Marekani katika siku 11 zijazo.

Lazima kutakuwepo na behind the scenes machinations zinazoendelea ku encourage restraint.
Ayatollah wakimuua na Netanyahu anahama Israel anakwenda kuishi Washington DC, kwa sababu lazima watamla kichwa tu, kama migambo wa Hebollah wamemkosa na drone kwake, unafikiri Iran itashindwa...

Haya mashambulizi ya Israel ni ya uoga, vyanzo mbali mbali vina report hali ni shwari Tehran, Israel inajibu kama kutokubali unyonge mbele ya Iran, na mimi nasema hata kama wamejibu kwa uoga Iran siwaonee huruma, iwatandike kweli kweli mpaka wakome.

Sema yule mwehu Trump akiingia, kuna uwezekano huu mgogoro uka escalate zaidi...

Kuna mambo yanaendelea nyuma ya pazia kuzima huu mvutano, na mwenyekiti wa kikao ni USA....
 
Back
Top Bottom