Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Kujipa moyo tu. Mchina pale Taiwan kachemka ijekuwa Iran sheikh
We unasemaje kachemka wakati bado muda upo na China kila siku inapiga hatua, kila kitu kipe muda, ndio hizi habari Israel ilikuwa inaua wanasayansi wa Iran wanakaa kimya watu wanasema Iran inaogopa, haya sasa karushiwa makobora 200 wamefanya nini?
 
Mimi nitakusaidia akili yako kwenye uteule tu uamsho:
Mteule anamwita Yesu mwanaharamu??
Mteule wako hautambui Ukiristo na wanafunja makanisa ya Wapalestina Gaza na Lebanon.

Mteule wako alichapwa akatanywa na warumi ( wakiristo) kws tuhuma za kumkataa/ kuua Yesu.
Mteule wako waliuwawa na Mjerumani Hitler million sita wayahudi waliuawawa.
Wateule wako walishafukuzwa kabisa mara 1035 na dola mbalimbali huko Ulaya kwa ajiri ya ukorofi wao. Mara ya mwisho wakaona njia rahisi ni kuwahamishia hiyo cancer yao mashariki ya kati ili wao wapimzike nao.

Akili zako ziko wapi , msikibali kudanganywa ovyo. Acheni akili zitafskari huu uteule uliosambazwa na mspadri wa kixungu ulikuwa na nia gani? Kukulaza. Akili kila mtu anazake. Zangu haziutambui uteule wao na habari zao za uasi, kuua mitume, ukorofi tunazisoma.
Akili ya madrasa haiwezi kuukomboa ulimwengu.Ita mhadhara ulinganie dini yako sisi tunashuhudia muajemi akichapika
 
Ayatollah wakimuua na Netanyahu anahama Israel anakwenda kuishi Washington DC, kwa sababu lazima watamla kichwa tu, kama migambo wa Hebollah wamemkosa na drone kwake, unafikiri Iran itashindwa...

Haya mashambulizi ya Israel ni ya uoga, vyanzo mbali mbali vina report hali ni shwari Tehran, Israel inajibu kama kutokubali unyonge mbele ya Iran, na mimi nasema hata kama wamejibu kwa uoga Iran siwaonee huruma, iwatandike kweli kweli mpaka wakome.

Sema yule mwehu Trump akiingia, kuna uwezekano huu mgogoro uka escalate zaidi...

Kuna mambo yanaendelea nyuma ya pazia kuzima huu mvutano, na mwenyekiti wa kikao ni USA....
Pamoja na ‘wehu’ wake, kipindi akiwa madarakani hakukuwa na hizi vita. Huu ni ukweli, hata kama haukupendezi.

Chini ya Biden/ Harris, vita kila kona.

Ni vizuri kwenda na hali halisi kuliko hypotheticals.
 
We unasemaje kachemka wakati bado muda upo na China kila siku inapiga hatua, kila kitu kipe muda, ndio hizi habari Israel ilikuwa inaua wanasayansi wa Iran wanakaa kimya watu wanasema Iran inaogopa, haya sasa karushiwa makobora 200 wamefanya nini?
Nachosema si mlisema Isreal hatathubutu kurusha chochote. Vip karusha au bado. China inabaki kufanya mazoez around hatathubutu kuingia.
 
Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream? Wewe unaulizwa jina lako nani, unaanza kujibu "mimi naishi kibong'oto".

, hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Au ndiyo ukondoo wenyewe huo?
Live stream Iran? wap na wapi we bibi.
 
Ayatollah wakimuua na Netanyahu anahama Israel anakwenda kuishi Washington DC, kwa sababu lazima watamla kichwa tu, kama migambo wa Hebollah wamemkosa na drone kwake, unafikiri Iran itashindwa...

Haya mashambulizi ya Israel ni ya uoga, vyanzo mbali mbali vina report hali ni shwari Tehran, Israel inajibu kama kutokubali unyonge mbele ya Iran, na mimi nasema hata kama wamejibu kwa uoga Iran siwaonee huruma, iwatandike kweli kweli mpaka wakome.

Sema yule mwehu Trump akiingia, kuna uwezekano huu mgogoro uka escalate zaidi...

Kuna mambo yanaendelea nyuma ya pazia kuzima huu mvutano, na mwenyekiti wa kikao ni USA....
Kitendo cha Israel kuwa neutralize proxies wa Iran manake ni powerful kuliko Iran.
 
Wenzio wanajenga shelter kulinda raia magaid yanajenga kulinda askari matokeo raia wengi wanajikuta kwenye moto
Kati ya Israel na Iran nani magaidi?
Kwanza wamevaia ardhi ya watu kwa madai ya story za kutunga na kusadikika za miaka 3000 iliyopita, hivi sasa wanaua raia, waandishi wa habari hadi wameua askari wa UN, wakaenda bali zaidi wanapiga hospitali zina wagonjwa, sasa kama sio ugaidi ni kitu gani.

Iran kama ni gaidi isingeshindwa siku ile kupiga hospitali yeyote pale Tel Aviv..
 
Yisrael Ziv, a former head of the IDF’s Operations Directorate, calls the Israeli strikes “historic,” and says Israel has for hours been doing “whatever it wants” in the skies of Iran, targeting some of its most important military targets.

The fact that Israel has solely targeted military targets “presents Iran with a dilemma” regarding its response, Ziv says.
 
Hypersonic ushuzi,watu wanatwangwa mabomu kwa accuracy ya 100% na kama wapo "gado" basi warudie tena ndio watakapoona rangi kamili ya Israel, kama proxies wake wapo hoi basi yeye ndionatachakazwa kabisa.
Warudie mara ngapi Israel ietandikwa mara mbili, hii ya pili baada ya kujitafakari sana, ndipo wameenda kurusha mafataki huko Iran kwa uoga.
Iran alitembeza kichapo kwa accuracy ya kutisha, nchi nzia shimoni, vyua vinashuka kama mvua.
 
Ooh athubutu kupiga hata jiwe ooh cjui nini. Mzee huyo ni jews. Sasa hiv mmebadilisha kauli sio yeye ni nato au hakuna kitu. Iran nae atakuja atasema hakuna kitu kimeharibika. Kikubwa ujumbe kaupata sasa mpira upo kwake. Akijibu wanaume wanamalizana nae. Ndio maana wazir wa foreign affair wa iran katembea nchi zote za kiarabu kutuliza mzuka lakin mzigo ndio huo
Hahaha we unajua Nyau yuko wapi sasa hivi



View: https://youtu.be/rL2a4_RGrHs?si=d05Geazwz_p3jSgX

Iran wanasema hakuna missiles zimefika kwenye target hizo za mana kweli inasemekana kuna badhi ya madhara yako lakini sio hata ya kuhitaji Rescue.

Israel anasema kuna second wave inanza wacha tuone atakacho fanya mwanzo hamna lolote.

Je Israel kajianda kipigo kinakuja THAAD haita msaidia kitu.
 
Back
Top Bottom