Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
wazee wa kuji tekenya na kujichekesha
 
Lakini Trump ndiye aliyesababisha US Air force wakamlenga Qasem Suleiman, na Iran ikapiga kambi za US pale Iraq kama retaliation...
Trump namuita mwehu kwa sababu maamuzi yake ambayo huwa anatoa huwa ni yeye na halmashauri yake kichwani na kile anakiamini, sio kwamba namchukia.

Lakini Trump anaweza pelekea migogoro ME ikawaka moto zaidi huku Russia-Ukraine akimaliza migogoro.

Trumph ni mfanyabiashara hapendi hasara kifedha.
Marekani inalipia vita hivi. Raia wa kawaida marekani ndio wanalipa thamani kubwa mpaka sasa billion zaidi ya 20 billion dollars. Huyu anapiga ovyo wao wanasota kwenye madeni na maisha magumu yajayo. Hayo mabomu moja tu sio chini ya mamia ya maelfu ya dollars.
 
Kweli wamepiga lakini kuna makubaliano / ishara kabla:
Walikwisha onywa ilikiwa watapiga vituo vya mafuta au nuclear au makazi ya viongozi wao , Iran lazima itajibu. Na ilishawapa onyo itafanya nini.
Na ikiwa vijutuo vya kijeshi hafifu Iran inaweza isijibu maana inakuwa haina maana kujibu vita vikubwa vitavuka.

Na wanalijua kuwa waja maana Iran Iraq walifunga jana kabla mipaka yao hadi kesho saa 5 asubuhi. Hii ni ping pong iliyosettiwa,
Amerika ndio yakwanza kusema haikuhusika. Lakini unafiki wao unajulikana amlinda mbwa wake kwa thamani yoyote kwa maana yeye anaamrishwa na mbwa huyo huyo šŸ˜‚.
Wengine wanamwita mteulešŸ¤·šŸ¾ā€ā™‚ļø
Hakuna madhara yeyote pale Tehran hi walisha omba Iran kwa njia za rafiki yao mwacheni Israel aonekane kajibu šŸ˜„

View: https://youtu.be/AdB89vjUV7s?si=1PRaSRfPSm69zTb7
 
Trumph ni mfanyabiashara hapendi hasara kifedha.
Marekani inalipia vita hivi. Raia wa kawaida marekani ndio wanalipa thamani kubwa mpaka sasa billion zaidi ya 20 billion dollars. Huyu anapiga ovyo wao wanasota kwenye madeni na maisha magumu yajayo. Hayo mabomu moja tu sio chini ya mamia ya maelfu ya dollars.
Ingawa Trump anaupungufu meingine lakini hakuwa na umwagaji damu kama huyu mzee aliyepoteza fahamu
. Wote ni wamoja hawama Jimmy Carter
 
Lakini Trump ndiye aliyesababisha US Air force wakamlenga Qasem Suleiman, na Iran ikapiga kambi za US pale Iraq kama retaliation...
Trump namuita mwehu kwa sababu maamuzi yake ambayo huwa anatoa huwa ni yeye na halmashauri yake kichwani na kile anakiamini, sio kwamba namchukia.

Lakini Trump anaweza pelekea migogoro ME ikawaka moto zaidi huku Russia-Ukraine akimaliza migogoro.
Hiyo ya Sulemani ilikuwa mwaka gani?

Halafu inachekesha sana kuona watu wakidai kuwa Trump atasababisha migogoro kuwaka zaidi huko Mashariki ya kati ilhali watu ambao hiyo vita imeanza chini yao wapo na hawalaumiwi.

Gaza imerudishwa kwenye zama za mawe. Maelfu ya Wapalestina wameuwawa na wanazidi kuuwawa.

Lebanon hakukaliki.

Iran nako hati hati.

Viongozi wa Hamas na Hezbollah wanachinjwa kama kuku.

Yote hayo yanatokea chini ya watu flani halafu tunaambiwa kwamba angekuwa au ikiwa Trump, basi hali ingekuwa mbaya zaidi.

Uzuri ni kwamba sisi wengine hatuna hiyo Trump Derangement Syndrome na tunayaangalia mambo kwa uhalisi wake.

Na uzuri mwingine unajua ni nini? Trump tayari alikwishakuwepo hapo na haya madhila ya sasa hayakuwepo hata kwa asilimia 1.

Huwezi kujenga hoja yenye ushawishi kwamba angekuwepo Trump hali ingekuwa mbaya zaidi wakati Trump tayari alikwishakuwepo na kwa kiasi kikubwa amani ilitawala.

Kinyume na hapo ni intellectual dishonesty tu.
 
Hayawi-hayawi mwisho imekuwa baada ya majeshi ya israel kuanza kuwapiga mbwa usiku huu Majeshi hayo ya Israel yameanza kumpiga Mwenye Mbwa yaani Iran mpaka sasa ninavyoandika hapa hukoanachapika vizuri sana.

Soma Pia: Israel kuishambulia Iran mapema badala ya kusubiri ishambuliwe, taarifa za kiintelijensia zaendelea kukusanywa
=============


Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.

The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".

Iran: Explosions heard in Tehran as Israel confirms strikes
Tuombe hii vita isitanuke Zaid maana sisi walala hoi ndio tutapata tabu
 
Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Usimuamini kabisa UsA, yupo nyuma ya kila kitu kama huamini rusha kombora utaona yeye ndio wa kwanza kulitungua
 
Trumph ni mfanyabiashara hapendi hasara kifedha.
Marekani inalipia vita hivi. Raia wa kawaida marekani ndio wanalipa thamani kubwa mpaka sasa billion zaidi ya 20 billion dollars. Huyu anapiga ovyo wao wanasota kwenye madeni na maisha magumu yajayo. Hayo mabomu moja tu sio chini ya mamia ya maelfu ya dollars.
Trump analaumiwa kwa vitu ambavyo havikuwepo kwenye utawala wake.

Kwa jinsi alivyo, Trump anaweza kuwaambia Israel wajibebe wenyewe. Hakuna tena mambo ya dezo.

Trump huyu huyu ndo lawama wanachama wa NATO wake wanalipia share yao ya huo umoja na waache kuitegemea Marekani kubeba gharama zote.
 
Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Mayahudi kwa mara ya kwanza wamepiga shambulio la kioga kufuta aibu.
 
Where are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.

Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.

Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.

Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.

JESUS AND ISRAEL FOREVER

Umeandika Jesus and Israel forever. Ebu fafanua ki vipi?
- wayahudi wanamwita Yesu mwanaharamu na hawamtambui Jesus (Yesu) wala hawautambui Ukiristo. Hiyo link umeinyelea wapi??

Uteule umepotoshwa- usiamini kila ubiwalo, soma kidogo ujue ukweli.
Warumi ambao ni wakiristo waliwapa kichapo mayahudi kwa kosa la jinai la kumuua Yesu.
Wajerumani miaka ya 1940 waliwaua wayahudi million Sita. Wajerumani ni Wakiristo..
Etc.
Uteule uko wapi??šŸ˜‚
 
Umeandika Jesus and Israel forever. Ebu fafanua ki vipi?
- wayahudi wanamwita Yesu mwanaharamu na hawamtambui Jesus (Yesu) wala hawautambui Ukiristo. Hiyo link umeinyelea wapi??

Uteule umepotoshwa- usiamini kila ubiwalo, soma kidogo ujue ukweli.
Warumi ambao ni wakiristo waliwapa kichapo mayahudi kwa kosa la jinai la kumuua Yesu.
Wajerumani miaka ya 1940 waliwaua wayahudi million Sita. Wajerumani ni Wakiristo..
Etc.
Uteule uko wapi??šŸ˜‚
HAIJALISHI MKUU VYOVYOTE VILE BORA ISIWE KWENYE MRENGO WA MILA ZA KIARABU (UISLAM)
 
Jesus wouldn't approve of what these Zionist savages are doing, it's against Christian values. They don't care if they are killing Christian or Muslims. We are all scum to them.
Huyo jamaa Hana akili achana nae , anakuja humu baada ya kuvuta bange zake na kumwaga pumba.
 
Hiyo ya Sulemani ilikuwa mwaka gani?

Halafu inachekesha sana kuona watu wakidai kuwa Trump atasababisha migogoro kuwaka zaidi huko Mashariki ya kati ilhali watu ambao hiyo vita imeanza chini yao wapo na hawalaumiwi.

Gaza imerudishwa kwenye zama za mawe. Maelfu ya Wapalestina wameuwawa na wanazidi kuuwawa.

Lebanon hakukaliki.

Iran nako hati hati.

Viongozi wa Hamas na Hezbollah wanachinjwa kama kuku.

Yote hayo yanatokea chini ya watu flani halafu tunaambiwa kwamba angekuwa au ikiwa Trump, basi hali ingekuwa mbaya zaidi.

Uzuri ni kwamba sisi wengine hatuna hiyo Trump Derangement Syndrome na tunayaangalia mambo kwa uhalisi wake.

Na uzuri mwingine unajua ni nini? Trump tayari alikwishakuwepo hapo na haya madhila ya sasa hayakuwepo hata kwa asilimia 1.

Huwezi kujenga hoja yenye ushawishi kwamba angekuwepo Trump hali ingekuwa mbaya zaidi wakati Trump tayari alikwishakuwepo na kwa kiasi kikubwa amani ilitawala.

Kinyume na hapo ni intellectual dishonesty tu.
Ngoja tusubiri , kama Trump akisimamisha vita na hii migogoro ya ME na huko Ulaya itakuw vyema.
Jaribu kufuatilia january 2020 ndio aliuawa kwa order ya Trump mwenyewe...
Kwa kile kitendo Trump alipelekea mgogoro mkubwa ambao pengine vita ingeibuka, kwa maana Iran ilibidi kupiga kambi za USA pale ME...
 
Back
Top Bottom