Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

We mzee utakuwa umelewa, mteule labda kwenu..
Nyie subirini hypersonic zinanze kupiga hapo Tel Aviv ndipo mtajua mteule ni nani..
unaandika nini we mtoto? Kifuatacho ni iran kushikishwa adabu aache kuvisaidia vikundi vya kigaidi mashariki ya kati
 
Sikuelewi unasema nini.

Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream? Wewe unaulizwa jina lako nani, unaanza kujibu "mimi naishi kibong'oto".

, hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Au ndiyo ukondoo wenyewe huo?

❤️❤️😂😂‼️
 
Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream? Wewe unaulizwa jina lako nani, unaanza kujibu "mimi naishi kibong'oto".

, hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Au ndiyo ukondoo wenyewe huo?
❤️😂‼️
 
Hii sasa ni dhahiri Israel ni muoga kupitiliza yaani hicho kisasi ni kichekesho hata kwa mtu asiyefuatilia mgogoro huu.

Iran wakati anaichapa Israel dunia nzima ilikuwa attention maana vyuma vilirushwa direct from Iran hadi Israel na vyuma vikapiga target vizuri kabisa.

Lakini Israel na Marekani kwa kufuta aibu wakatuma vijindege karibu na Iran eti virushe vimondo ili mradi tu kuondoa aibu ya kuambiwa wameshindwa kujibu.

Kwahiyo Israel na Marekani wamekaa siku 25 kujiandaa kujibu shambulizi ndiyo wakaja na hiki kituko cha karne kweli?😂😂😂
 
Mpira kwa Iran
Israel anasema kisha revenge lakini Iran anasema hakuna target walio piga. Iran wanaendelea kuchunguza kama kuna madhara watawajulisha wananchi lwao, akini kwa sasa Iran wanasema wameangusha karibu missiles zote. Iran kasema watawapa ukweli wananchi wao kama watakuta kuna madhara mpaa mda hu wanasema hakuna madhara wanaendekea ku investigate kama kuna missiles zilipenya lakini upande wao wanasema hakuna dalili kama shambulizi la Israel limefanikiwa
 
Tunaposema Iran ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati na dunia kwa ujumla enyi makondoo muwe mnaelewa.

Yaani Israel ameshindwa kujibu shambulizi kibabe hadi akapelekewa vindege na bwana wake Marekani ili viruke vikatupe vimondo kuondoa tu aibu ya kushindwa kulipiza kisasi.

Kwamba Israel hana teknolojia ya kukaa sebuleni kwake akashambulia nchi nyingine kama afanyavyo mbabe Iran isipokuwa anatumia njia ya kizamni za kutuma vindege kweli.😂😂

Marekani wakati anapigana na Japan miaka ya 1940 na Marekani na Vietnam ndiyo mambo ya kutuma ndege yalikuwa yameshamiri.

Dunia ya leo unakaa sebuleni kwako unakunywa kahawa huku unajipigia popote duniani upatakapo.
 
Ngoja tusubiri , kama Trump akisimamisha vita na hii migogoro ya ME na huko Ulaya itakuw vyema.
Jaribu kufuatilia january 2020 ndio aliuawa kwa order ya Trump mwenyewe...
Kwa kile kitendo Trump alipelekea mgogoro mkubwa ambao pengine vita ingeibuka, kwa maana Iran ilibidi kupiga kambi za USA pale ME...
Ukweli ni kwamba baada ya Selemani kuuliwa, hakukutokea vita yoyote ile kama ambavyo ilivyo hivi sasa.

Huo ndo ukweli hata kama ni mchungu.

Wakati wa Trump hakukuwa na vita huko Ukraine.

Wakati wa Trump hakukuwa na vita huko mashariki ya kati kama ilivyo hivi sasa.

Ambao wapo madarakani sasa hivi, yote haya yanayoendelea, yametokea chini yao na wameshindwa kuyazuia yasiendelee.

Lakini somehow mnataka tuamini kwamba Trump atakuwa mbaya zaidi…..kana kwamba hakuwahi kuwepo kwenye hiyo nafasi hapo awali!

Trump derangement syndrome is real 🤣.
 
Kuna hatari ya mtu kupanic na kumpiga mwenzake Nuklia.

USA kama Baba wa dunia yeye ndio anapaswa kuweka busara mezani na kutatua tatizo la mashariki ya kati lakini nayeye anachukua upande na kumsaidia mmoja wao.

Mashariki ya kati inataka suluhu itakayohusisha mataifa yoote ya mashariki ya kati ili Palestina wapate Taifa Lao nao waishi kama wanadamu wengine.
 
Hii sasa ni dhahiri Israel ni muoga kupitiliza yaani hicho kisasi ni kichekesho hata kwa mtu asiyefuatilia mgogoro huu.

Iran wakati anaichapa Israel dunia nzima ilikuwa attention maana vyuma vilirushwa direct from Iran hadi Israel na vyuma vikapiga target vizuri kabisa.

Lakini Israel na Marekani kwa kufuta aibu wakatuma vijindege karibu na Iran eti virushe vimondo ili mradi tu kuondoa aibu ya kuambiwa wameshindwa kujibu.

Kwahiyo Israel na Marekani wamekaa siku 25 kujiandaa kujibu shambulizi ndiyo wakaja na hiki kituko cha karne kweli?😂😂😂
Iran walikaa siku ngapi baada ya Haniya kuuliwa akiwa Tehran, kabla ya kurusha vi drone vyao?
 
Israel anasema kisha revenge lakini Iran anasema hakuna target walio piga. Iran wanaendelea kuchunguza kama kuna madhara watawajulisha wananchi lwao, akini kwa sasa Iran wanasema wameangusha karibu missiles zote. Iran kasema watawapa ukweli wananchi wao kama watakuta kuna madhara mpaa mda hu wanasema hakuna madhara wanaendekea ku investigate kama kuna missiles zilipenya lakini upande wao wanasema hakuna dalili kama shambulizi la Israel limefanikiwa
Iran akisema alipize naamini this time zitatumwa hypersonic missiles zikabomoe kabisa kila kitu pale nchi feki ya Mazayuni.

Kanchi kenyewe kalivyo Iran akisema atume hypersonic kama 1000 tu kwisha habari yake kesho yake Marekani atakuwa anafanya kazi ya kuzoa vifusi tu nchi nzima.😂😂
 
Tunaposema Iran ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati na dunia kwa ujumla enyi makondoo muwe mnaelewa.

Yaani Israel ameshindwa kujibu shambulizi kibabe hadi akapelekewa vindege na bwana wake Marekani ili viruke vikatupe vimondo kuondoa tu aibu ya kushindwa kulipiza kisasi.

Kwamba Israel hana teknolojia ya kukaa sebuleni kwake akashambulia nchi nyingine kama afanyavyo mbabe Iran isipokuwa anatumia njia ya kizamni za kutuma vindege kweli.😂😂

Marekani wakati anapigana na Japan miaka ya 1940 na Marekani na Vietnam ndiyo mambo ya kutuma ndege yalikuwa yameshamiri.

Dunia ya leo unakaa sebuleni kwako unakunywa kahawa huku unajipigia popote duniani upatakapo.
Cha ajabu Israel hakusema kapiga kitu gani anakanusha eti Iran hakuangusha missiles zozote 😄
 
Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream? Wewe unaulizwa jina lako nani, unaanza kujibu "mimi naishi kibong'oto".

, hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Au ndiyo ukondoo wenyewe huo?
Daah wavaa hijjab shida sana.
 
Si unaona wamesubiri hadi US kapeleka ndege vita za kutosha, kuna F22, F16, F15E na A 10...
Ngoja tusubiri madhara watakayosababisha, hata hapo wameshambulia kwa uoga mkubwa ni ile basi tu wasionekane wanyonge.

Ni ile unapigwa ngumi nzito hadi jino linatoka halafu unarudisha kibao kama unaua mbu kwa sababu ya uoga.

Tutaona hapa baadae hayo mashambulizi wametumia ndege vita, misiiles za masafa ama drones? na wameshabulia sehemu ngapi? tuendelee kusubiri..
Vita siyo kurusha makombora 200 vita ni utalamu pigo moja watu chali.
 
Back
Top Bottom