Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Israel kuliko kwenda kufanya retaliation nchini Iran mapema leo ambapo imekuwa kituko, ni bora wangekaa kimya, air defenses za Iran zimezuia makombora karibu yote ya Israel.

Vyanzo mbali mbali nchini Iran vinasema hali ni shwari, na jeshi la Iran limesema milipuko iliyosikika ilikuwa ni air defenses za Iran zinazuia makombora hayo.

View: https://www.youtube.com/watch?v=2iouwn8tLv0

Makombora yamezuiliwa kama fataki.
Iron dome imezidiwa na hio mifumo ya Iran Bavar, kumbe iron dome ni jina na kujipigia chapuo na hana kila kitu.
 
Faiza Foxy amenikosha kwa kutumia akili ya hali ya juu. Pongezi.
Faiza hana akili potofu. Ana akili fresh inayofanya kazi. Pongezi

Pia mimi nawashauri
Uteule upotovu Uteule futa roho haugamani na dini - abudu na wewe ukijisikia uko sawa kama binadamu sawa. Kwani Mungu alikwambia wewe ni duni? Na hauna haki? Kwa nini ?
Huu uteule umepotoshwa ila tuu kama sisi wote tutaitwa wateule - wamasai, wakusuma, wakurya, wachaga, wazinza, wazaramo, wairangi, wahaya, wajaluo, nk nk.
Wateule ziiiiiiii
Waabudu Wateule jifunzeni . Msitupe fursa. Kwani wewe ni kiumbe duni?

Faiza Fox you are a star ❤️😊
 
Asante sana Iran kwa kuufumbua macho ulimwengu maana tulidanganywa mno kuhusu nguvu ya Israel kumbe ilikuwa propaganda za mabeberu kutisha nchi za Mashariki ya Kati ili kulinda maslahi yake.

Leo hii Israel ni ya kukaa siku 25 kujiandaa na kulipiza kisasi halafu akaishia kuleta kituko kama hiki kweli?😂😂

Yaani kiuwoga na kinyonge mno twna kwa kusaidiwa ndege na Marekani masikini Israel. 😆😆

Binafsi nashukuru sana kuujua ukweli huu kwamba Israel is overrated kwa maksudi ili tu mabeberu yaendelee kulinda maslahi yao.

Israel wananchi wake wanaishi kama panya na maisha ya wasiwasi miaka yote kwa kukubali kutumiwa na mabwana zake.

Halafu kuna mpumbavu atasema taifa teule. 😂😂

Taifa teule ambalo halina hata akili ya kujiongeza tu kwamba linatumiwa na mabeberu kwa maslahi yao binafsi?
 
Hayawi-hayawi mwisho imekuwa baada ya majeshi ya israel kuanza kuwapiga mbwa usiku huu Majeshi hayo ya Israel yameanza kumpiga Mwenye Mbwa yaani Iran mpaka sasa ninavyoandika hapa hukoanachapika vizuri sana.

Soma Pia: Israel kuishambulia Iran mapema badala ya kusubiri ishambuliwe, taarifa za kiintelijensia zaendelea kukusanywa
=============


Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.

The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".

Iran: Explosions heard in Tehran as Israel confirms strikes
Mafuta na vituo vyetu vya Nyuklia vimepigwa?
 
Kuna hatari ya mtu kupanic na kumpiga mwenzake Nuklia.

USA kama Baba wa dunia yeye ndio anapaswa kuweka busara mezani na kutatua tatizo la mashariki ya kati lakini nayeye anachukua upande na kumsaidia mmoja wao.

Mashariki ya kati inataka suluhu itakayohusisha mataifa yoote ya mashariki ya kati ili Palestina wapate Taifa Lao nao waishi kama wanadamu wengine.

Israel kupitia AIPAC ndio inatawala na kuicontrol America. America amejitia madeni - wamarekani hawana sauti yoyote. Ndo maana wameshalipa zaidi ya billion 20 dollars kuwapa Zionist Israel free . WamRekani raia Walipa deni mpaka wataenda upande. wananchi wa marekani hawana sauti wamelazwa na uteule na wanaogopa kufungua midomo yao 😂. Wamellazwa kama Kondoo lakini siku wakiamka usingizini ndio itakuwa kipogo tena cha wateule feki kama walivyochapika tena na tena enzi za zamani
 
Iran walikaa siku ngapi baada ya Haniya kuuliwa akiwa Tehran, kabla ya kurusha vi drone vyao?
Marekani na wazungu wa Ulaya walikuwa wakimbembeleza kwamba asilipe kisasi bali wataiondolea Iran vikwazo vya kiuchumi lakini Iran aliona hizi ni siasa na drama zisizo na mwelekeo halisi akaamua kushusha vyuma kutokea sebuleni huku akinywa kahawa.

Yaani mambo madogo kama haya ambayo yameshachambuliwa na magwiji wa masuala ya vita hukuwa unafuatilia kwanini Iran hakujibu siku ile ile?

Alishaandaa vyuma kujibu mapema sana ila Marekani na Ulaya wakambembeleza kwamba diplomasia itumike zaidi kushughulikia mambo haya ili kutotanua mgogoro lakini mbabe aliwaambia waendelee na kazi zingine yeye atainyoosha Israel na ndicho alichofanya.
 
Israel anapiga targets kwenye ncho karibu sita kwa wakati mmoja!

The attack occurred in three major waves, with the second and third waves targeting Iranian drone and missile production sites, hitting over 20 targets​

Over 100 planes were involved in the 2000 k.m. attack, including the cutting-edge F-35.

Israel reportedly attacked the location of the headquarters of the Islamic Revolutionary Guards Corps in Iran.

Karaj, one of the cities where explosions were heard, contains one of Iran's nuclear power plants.

Israel also attacked targets in Syria, with the Syrian military confirming that the IDF had struck sites across central and southern Syria.

Explosions were also reported in Iraq as part of the series of responses to Iran and its proxy groups throughout the region.

There were no planes flying over Syria or northern Iraq during the time of the attack. Iran closed its airspace following the attack.

Early On Friday, a fire was reported at an Iranian Defense Ministry site in Tehran
 
Hii sasa ni dhahiri Israel ni muoga kupitiliza yaani hicho kisasi ni kichekesho hata kwa mtu asiyefuatilia mgogoro huu.

Iran wakati anaichapa Israel dunia nzima ilikuwa attention maana vyuma vilirushwa direct from Iran hadi Israel na vyuma vikapiga target vizuri kabisa.

Lakini Israel na Marekani kwa kufuta aibu wakatuma vijindege karibu na Iran eti virushe vimondo ili mradi tu kuondoa aibu ya kuambiwa wameshindwa kujibu.

Kwahiyo Israel na Marekani wamekaa siku 25 kujiandaa kujibu shambulizi ndiyo wakaja na hiki kituko cha karne kweli?😂😂😂
Mnateseka sana, Operation "Days of Repentance.”
 
Iran walikaa siku ngapi baada ya Haniya kuuliwa akiwa Tehran, kabla ya kurusha vi drone vyao?
Wewe ulisikia Iran akikaa vikao na matamko kila siku kama vikao vya send off alipotaka kuishushia mvua ya missiles Israel?

Yeye alitamka tu Israel itapata inachostahili na kweli vyuma vilishushwa hadi vingine vinapita juu ya mapaa ya bunge la kitaifa la Israel bila kupingwa.
 
Back
Top Bottom