Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.

Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...

Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Tulieni hivyohivyo Dawa iwaingie, mlisema IDF hawawezi sogea Iran, sasa anga yote iko chini ya Mazayuni mmake.
 
Hahaha we unajua Nyau yuko wapi sasa hivi



View: https://youtu.be/rL2a4_RGrHs?si=d05Geazwz_p3jSgX

Iran wanasema hakuna missiles zimefika kwenye target hizo za mana kweli inasemekana kuna badhi ya madhara yako lakini sio hata ya kuhitaji Rescue.

Israel anasema kuna second wave inanza wacha tuone atakacho fanya mwanzo hamna lolote.

Je Israel kajianda kipigo kinakuja THAAD haita msaidia kitu.

Mzee si tule makande yetu hapa hawa white people ni wasenge wote ni ujinga wa hali ya juu kwa miafrika kufuatilia hiz mambo wakati hapa Sudan na congo blacks wanauana ila hiz madea zipo kimya.
 
Akili ya madrasa haiwezi kuukomboa ulimwengu.Ita mhadhara ulinganie dini yako sisi tunashuhudia muajemi akichapika

Hiyo ni akili ya kukuamsha wewe uliyelazwa na Uteule feki. Wamebandikwa na mapadri wa kizungu ili wakulaze wewe. Wateule wako ni watu waliopata tabu sana miaka na miaka elfu. Walifukuzwa wote mara 1035 Katika dola nyingi Ulaya. Historia ta karibu 1940’s wakiristo wenzako Ujerumani waliwaua million sita.
Ukorofi wao sio uteule wao uliwatimo humo na sasa mbinu za wamagharibi na marekani kuihamisha hiyo cancer yao ndio ilileta migogoro mashariki ya kati. Ilikuws kwanza wateule wapewe uganda. !!
Hapo ungeujua uteule wao. Tanzania, kenya ingeonja uteule huo😂
Mwishoni meingereza kawakatia Palestine ili aupuke na hawa wakorofi wafisadi waua mitume waligeuzwa na mapadri wa kizungu kuitwa wateule.
 
Mzee si tule makande yetu hapa hawa white people ni wasenge wote ni ujinga wa hali ya juu kwa miafrika kufuatilia hiz mambo wakati hapa Sudan na congo blacks wanauana ila hiz madea zipo kimya.

Uteule feki unatambisha😂
 
Kweli wamepiga lakini kuna makubaliano / ishara kabla:
Walikwisha onywa ilikiwa watapiga vituo vya mafuta au nuclear au makazi ya viongozi wao , Iran lazima itajibu. Na ilishawapa onyo itafanya nini.
Na ikiwa vijutuo vya kijeshi hafifu Iran inaweza isijibu maana inakuwa haina maana kujibu vita vikubwa vitavuka.

Na wanalijua kuwa waja maana Iran Iraq walifunga jana kabla mipaka yao hadi kesho saa 5 asubuhi. Hii ni ping pong iliyosettiwa,
Amerika ndio yakwanza kusema haikuhusika. Lakini unafiki wao unajulikana amlinda mbwa wake kwa thamani yoyote kwa maana yeye anaamrishwa na mbwa huyo huyo 😂.
Wengine wanamwita mteule🤷🏾‍♂️
Hapo hamna retaliation, ni upuuzi tu...
Na mie niliona Blinken alivyoondoka Israel na Israel ikafanya retaliation , ina maana kuna kitu US na ISrael walipanga juu ya hili.
 
Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream? Wewe unaulizwa jina lako nani, unaanza kujibu "mimi naishi kibong'oto".

, hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Au ndiyo ukondoo wenyewe huo?

😂😂
 
Kumbe ni Marekani inamlipia kisasi Israel halafu sisi tunaisifia Israel kuwa ni mwamba
Yaani unajua kabisa huyu dogo ni mtoto wa Jenerali halafu unamletea ubabe unamtia makonzi. Halafu dingi akiingilia kati unanza kujiliza.

Israel ataendelea kudumu pale miaka na miaka kwa sababu ya aina ya approach yake kwa mataifa mengine.

Huo upande wa pili unahubiri siasa za udini, wakijaribu kuwaaminisha mataifa hii ni vita ya kidini. Hapo Israel kuna Waislamu kibao wanauwawa kwa makombora ya hao jamaa ila mbele ya Iran na vikundi vingine tunaaminishwa maisha ya Muislamu yenye thamani ni ya wale wa Iran na Palestina.

Huyu Iran ana tuhuma kibao za kusupport mapinduzi kwenye baadhi ya nchi za kiarabu zinazoongozwa na Sunni. Halafu leo utake ushirikiano? Utaupata ila ni ule wa Kinafiki.

Huyu Myaudi anaungwa mkono hadi na baadhi ya nchi za kiarabu ndio maana pamoja na vita zote anazopigana bado yupo.

Badilisheni approach yenu kwanza ili mpate support ya kila mtu.

Na usisahau unapohubiri #FreePalestina ongezea na #FreeHostages.
 
Dunia hii ilivyo na mambo mengi chini ya kapeti, ukute hapo walishafikia makubaliano pande mbili na kuihusisha Russia kuwa Iran iwape baadhi ya target zao za kijeshi wazipige ili kulimaliza hili suala na ionekane KISASI KIMELIPWA. Haiingii akilini taifa kama Israel lipigwe halafu eti iwachukuwe karibia mwezi kujipanga kulipa kisasi. Israel tunayoijua hujibu papo kwa papo.

Hii ya kusubiria muda wote huo ninaamini kulikuwa na majadiliano ya pande mbili yalikuwa yakiendelea.
Mgogoro wa Israel na Iran ni wa miaka mingi. Kwanini tusiamini labda anataka kumaliza tatizo once and for all?
 
Pamoja na ‘wehu’ wake, kipindi akiwa madarakani hakukuwa na hizi vita. Huu ni ukweli, hata kama haukupendezi.

Chini ya Biden/ Harris, vita kila kona.

Ni vizuri kwenda na hali halisi kuliko hypotheticals.
Lakini Trump ndiye aliyesababisha US Air force wakamlenga Qasem Suleiman, na Iran ikapiga kambi za US pale Iraq kama retaliation...
Trump namuita mwehu kwa sababu maamuzi yake ambayo huwa anatoa huwa ni yeye na halmashauri yake kichwani na kile anakiamini, sio kwamba namchukia.

Lakini Trump anaweza pelekea migogoro ME ikawaka moto zaidi huku Russia-Ukraine akimaliza migogoro.
 
Kwanza US ndio kahusika tulia uone warabu wa Gulf state watakavyo bamizwa pili Hakuna madhara sana ndege zimeishia nje ya mpaka zimerusha missiles karibu zote zimeangushwa wave zote mbili hakuna walicho fanya


View: https://youtu.be/kGyhCSNUnc4?si=_8dJEZfoN4SFPA1c

Kule Asfahan ndio wave ya pili ndio hakuna madhara yoyote yale.

Mimi naona Israel kapiga ili aonekane kapiga kajaribu kutafuta target zile Iran ataona haina haja ya kulipa, je Iran atakubali?
 
Na iwe kweli, nimechoshwa na maneno maneno. Piga nikupige. Allahamdulilah!
 
2024-10-01t212137z-1176242950-rc2rbaank5sr-rtrmadp-3-israel-palestinians-lebanon-iran.jpg

Hii picha ni mashabulizi ya Iran Oct 1 nchini Israel, wananchi wamejificha kwenye mahandaki wanaona kama mwisho wa dunia umefika...
Sasa zamu yao iran😃
 
Kwanza US ndio kahusika tulia uone warabu wa Gulf state watakavyo bamizwa pili Hakuna madhara sana ndege zimeishia nje ya mpaka zimerusha missiles karibu zote zimeangushwa wave zote mbili hakuna walicho fanya


View: https://youtu.be/kGyhCSNUnc4?si=_8dJEZfoN4SFPA1c

Kule Asfahan ndio wave ya pili ndio hakuna madhara yoyote yale.

Mimi naona Israel kapiga ili aonekane kapiga kajaribu kutafuta target zile Iran ataona haina haja ya kulipa, je Iran atakubali?

Ngoja tusubiri waajemi watasemaje lakini kilichofanyika na jeshi la wateule ni kichekesho.
 
Back
Top Bottom