kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Uwe unajiongeza,usitake kufanyiwa kila kituSource?..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unajiongeza,usitake kufanyiwa kila kituSource?..
Iran in uwezo kufunga kambi za USA ME zote.USA kala nyoya...🤣
Iran atakachosema ni kuwa mashambuliza ya Israel hayakufanikiwa ngoja imepita hiyo. Na usisahau Israel kuzuiwa sana na amerika asipige kwenye mafuta au nyuklia site so wamepunguza ukubwa kumuonyesha wanauwezo wa kumpiga. So mzigo umepita. Iran hatajibu na ishu imepita hiyo.Sasa ni wakati wa kuipima THAAD umefika...this time YEHOVA atakimbia pale kwa watu wa mchongo maana kila kitu kitalipwa mpk pomoni
Kujipa moyo tu. Mchina pale Taiwan kachemka ijekuwa Iran sheikhIran in uwezo kufunga kambi za USA ME zote.
Picha za uongo hizo, weka live stream.Hayawi-hayawi mwisho imekuwa baada ya majeshi ya israel kuanza kuwapiga mbwa usiku huu Majeshi hayo ya Israel yameanza kumpiga Mwenye Mbwa yaani Iran mpaka sasa ninavyoandika hapa hukoanachapika vizuri sana.
Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.
The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".
Hao wawili kila mmoja anaweza kumpiga mwenzie vizuri..Iran anapiga israeli na tunaona bila kuadithiwaIran atakachosema ni kuwa mashambuliza ya Israel hayakufanikiwa ngoja imepita hiyo. Na usisahau Israel kuzuiwa sana na amerika asipige kwenye mafuta au nyuklia site so wamepunguza ukubwa kumuonyesha wanauwezo wa kumpiga. So mzigo umepita. Iran hatajibu na ishu imepita hiyo.
Limezimwa tena. Si mlisema arushe hata kijiko. Yule ni jews ujue kuishi kwake ni vita bila vita amekwisha. Tena kashambulia mara mbiliPicha za uongo hizo, weka live stream.
Iliposhambuliwa Israel na Iran tuliona live stream kwa masaa sita.
Au jaribio limezimwa mapema na Waajemi?
Hypersonic ushuzi,watu wanatwangwa mabomu kwa accuracy ya 100% na kama wapo "gado" basi warudie tena ndio watakapoona rangi kamili ya Israel, kama proxies wake wapo hoi basi yeye ndio atachakazwa kabisa.We mzee utakuwa umelewa, mteule labda kwenu..
Nyie subirini hypersonic zinanze kupiga hapo Tel Aviv ndipo mtajua mteule ni nani..
Mimi nitakusaidia akili yako kwenye uteule tu uamsho:Nasrallah, Mohamed Deif na Yahyah sinwar ni raia?
Hakuna cha Allah kumzua mteule hakuna cha S400 kumzuia mteule.
Toka enzi za Samson na Daudi ni kichapo tu.
NO MERCY
Kaenda piga base za kijeshi tulitaka apige majumba kama vile Lebanon au Gaza naona kafanya akili kapiga base tu, laki ukweli wote ni NATO ndio wamepiga jana zilioneka ndege za US pale Gulf state F16 na kabla hapo kulikuwa na F35 za Italy. Israel ni chui kwenye picture
View: https://youtu.be/W9zDEeT3AEs?si=W9eV7lktPipXSWnb
We ni mpumbavu mkubwa kwani unajua anapo lala ayatollah?Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.
Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...
Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Sikuelewi unasema nini.Limezimwa tena. Si mlisema arushe hata kijiko. Yule ni jews ujue kuishi kwake ni vita bila vita amekwisha. Tena kashambulia mara mbili
Kaenda piga base za kijeshi tulitaka apige majumba kama vile Lebanon au Gaza naona kafanya akili kapiga base tu, laki ukweli wote ni NATO ndio wamepiga jana zilioneka ndege za US pale Gulf state F16 na kabla hapo kulikuwa na F35 za Italy. Israel ni chui kwenye picture
View: https://youtu.be/W9zDEeT3AEs?si=W9eV7lktPipXSWnb
Sure nawaza hawa wanaofurahia hizi vita while the innocents are suffering, ukwel kuna watu akili zao hazipo sawaThis is not going to end well for both sides.
My prayers are for the innocent people.
Maisha nyuma ya Keyboard matamu sana.
Hahahahahaha kwa hiyoo hapo ni America vs Iran 🇮🇷,Chanzo ni CNN
Inasemekana Israel imeanza mashambulizi yake ya kulipiza kisasi kama ilivyo ahidi kulipiza kisasi kwa mashambulizi ya Iran nchini Israel mnamo tarehe 1 Oct 2024, nchini Iran milipuko kadhaa imesikika ndani ya
Tehran muda huu.
IDF inasema inalenga maeneo ya kijeshi nchini Iran.
Siku ya ijumaa ndege za kimarekani aina ya F16 ziliingia mashariki ya kati kutokea Germany ambapo ilisemekana zitatumika kufanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran, ndege zilizopelekwa ni pamoja na F16 F15E, F22 na A-10, pia Pentagon ilipeleka mitambo ya ulinzi wa anga aina ya THAAD, ikumbukwe septemba Pentagon ilisema itaongeza askari zaidi , mifumo ya ulinzi wa anga na askari zaidi mashariki ya kati kwa kile kinachodaiwa kujiandaa na uwezekano wa migogoro ya Israel na Iran.
Source
We bibi tulia mumeo atandikwe. Japo msala utakuwa kwetu wa afrikaSikuelewi unasema nini.
Nwuoiza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream? Wewe unauoizwa jina lako nani, unasnza kuj9bi "mimi naishi kibing'oto".
, hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Au ndiyo ukondoo wenyewe huo?
Mlisema hivi hivi kwa hizbullahWe mzee utakuwa umelewa, mteule labda kwenu..
Nyie subirini hypersonic zinanze kupiga hapo Tel Aviv ndipo mtajua mteule ni nani..
Kondoo watakuelewa vipi?Mimi nitakusaidia akili yako kwenye uteule tu uamsho:
Mteule anamwita Yesu mwanaharamu??
Mteule wako hautambui Ukiristo na wanafunja makanisa ya Wapalestina Gaza na Lebanon.
Mteule wako alichapwa akatanywa na warumi ( wakiristo) kws tuhuma za kumkataa/ kuua Yesu.
Mteule wako waliuwawa na Mjerumani Hitler million sita wayahudi waliuawawa.
Wateule wako walishafukuzwa kabisa mara 1035 na dola mbalimbali huko Ulaya kwa ajiri ya ukorofi wao. Mara ya mwisho wakaona njia rahisi ni kuwahamishia hiyo cancer yao mashariki ya kati ili wao wapimzike nao.
Akili zako ziko wapi , msikibali kudanganywa ovyo. Acheni akili zitafskari huu uteule uliosambazwa na mspadri wa kixungu ulikuwa na nia gani? Kukulaza. Akili kila mtu anazake. Zangu haziutambui uteule wao na habari zao za uasi, kuua mitume, ukorofi tunazisoma.
Kaenda piga base za kijeshi tulitaka apige majumba kama vile Lebanon au Gaza naona kafanya akili kapiga base tu, laki ukweli wote ni NATO ndio wamepiga jana zilioneka ndege za US pale Gulf state F16 na kabla hapo kulikuwa na F35 za Italy. Israel ni chui kwenye picture
View: https://youtu.be/W9zDEeT3AEs?si=W9eV7lktPipXSWnb