The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Ndo utakuwa mwisho wake.Ayatollah amesema askari wajiandae kurusha makombora 1000, sasa hapo kumenoga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo utakuwa mwisho wake.Ayatollah amesema askari wajiandae kurusha makombora 1000, sasa hapo kumenoga.
🤣🤣Chanzo ni CNN
Inasemekana Israel imeanza mashambulizi yake ya kulipiza kisasi kama ilivyo ahidi kulipiza kisasi kwa mashambulizi ya Iran nchini Israel mnamo tarehe 1 Oct 2024, nchini Iran milipuko kadhaa imesikika ndani ya
Tehran muda huu.
IDF inasema inalenga maeneo ya kijeshi nchini Iran.
Siku ya ijumaa ndege za kimarekani aina ya F16 ziliingia mashariki ya kati kutokea Germany ambapo ilisemekana zitatumika kufanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran, ndege zilizopelekwa ni pamoja na F16 F15E, F22 na A-10, pia Pentagon ilipeleka mitambo ya ulinzi wa anga aina ya THAAD, ikumbukwe septemba Pentagon ilisema itaongeza askari zaidi , mifumo ya ulinzi wa anga na askari zaidi mashariki ya kati kwa kile kinachodaiwa uwezekano wa migogoro ya Israel na Iran.
Source
Kulikuwa hamna ndege yoyote iliyokuwa inapaa anga ya Syria na nothern Iraq 26. Mteule maamae akaamua atawale anga pekee yake.Ayatollah amesema askari wajiandae kurusha makombora 1000, sasa hapo kumenoga.
Nina wasi wasi na afya ya ubongo wako huenda uliangushwa ukiwa utotonHayawi-hayawi mwisho imekuwa baada ya majeshi ya israel kuanza kuwapiga mbwa usiku huu Majeshi hayo ya Israel yameanza kumpiga Mwenye Mbwa yaani Iran mpaka sasa ninavyoandika hapa hukoanachapika vizuri sana.
Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.
The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".
Raia watafikiwa tu, maana wataambiwa wahame makazi ili kuepusha kugeuzwa kuwa ngao. Wakikaidi watapigwa.Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena tehran.
Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawei kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran.
Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...[emoji1787]
Kumbe ni Marekani inamlipia kisasi Israel halafu sisi tunaisifia Israel kuwa ni mwambaChanzo ni CNN
Inasemekana Israel imeanza mashambulizi yake ya kulipiza kisasi kama ilivyo ahidi kulipiza kisasi kwa mashambulizi ya Iran nchini Israel mnamo tarehe 1 Oct 2024, nchini Iran milipuko kadhaa imesikika ndani ya
Tehran muda huu.
IDF inasema inalenga maeneo ya kijeshi nchini Iran.
Siku ya ijumaa ndege za kimarekani aina ya F16 ziliingia mashariki ya kati kutokea Germany ambapo ilisemekana zitatumika kufanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran, ndege zilizopelekwa ni pamoja na F16 F15E, F22 na A-10, pia Pentagon ilipeleka mitambo ya ulinzi wa anga aina ya THAAD, ikumbukwe septemba Pentagon ilisema itaongeza askari zaidi , mifumo ya ulinzi wa anga na askari zaidi mashariki ya kati kwa kile kinachodaiwa uwezekano wa migogoro ya Israel na Iran.
Source
Si unaona wamesubiri hadi US kapeleka ndege vita za kutosha, kuna F22, F16, F15E na A 10...🤣🤣
Hivi si ulisema Israel imefyata na hata nini mapigo?
Mashambulizi ya Angani ya IDF Yalenga Maeneo Nyeti Iran, Yamegonga pia Makao Makuu ya Jeshi la Iran IRGC, Milipuko Mingi ya Yatetemesha jiji la TehranHoja haikuwa US kupeleka ndege. Hoja ilikuwa ni Israel kujibu.Si unaona wamesubiri hadi US kapeleka ndege vita za kutosha, kuna F22, F16, F15E na A 10...
Ngoja tusubiri madhara watakayosababisha, hata hapo wameshambulia kwa uoga mkubwa ni ile basi tu wasionekane wanyonge.
Ni ile unapigwa ngumi nzito hadi jino linatoka halafu unarudisha kibao kama unaua mbu kwa sababu ya uoga.
Tutaona hapa baadae hayo mashambulizi wametumia ndege vita, misiiles za masafa ama drones? na wameshabulia sehemu ngapi? tuendelee kusubiri..
Je Allah muweza wa yote kashindwa kuwalinda na wanampigania?Kumbe ni Marekani inamlipia kisasi Israel halafu sisi tunaisifia Israel kuwa ni mwamba
Unafikri Gaza hio, dunia ya sasa sio ya mwaka ule 2003 US na propaganda zake anawachota akili mataiifa zaidi ya 40 kwenda kumshambulia Sadam Hussein.Raia watafikiwa tu, maana wataambiwa wahame makazi ili kuepusha kugeuzwa kuwa ngao. Wakikaidi watapigwa.
Unafikri Gaza hio, dunia ya sasa sio ya mwaka ule 2003 US na propaganda zake anawachota akili mataiifa zaidi ya 40 kwenda kumshambulia Sadam Hussein.
Nchi nyingi hivi sasa wamepata uelewa mkubwa wa kile kinachoendelea duniani, ndio maana unaona hivi sasa mataifa makubwa yenye nguvu yanataka kujiunga BRICS, usitegemee Iran itavamiwa kama Iraq, thubutuuu na haitotokea...
USA yenyewe imekuwa wa kwanza kuishauri Israel isishambulie sehemu za nuclear na mafuta eti kwa kigezo cha kusababisha inflation ya bei za mafuta, wakati wenyewe ndio wamewawekea vikwazo hao Iran toka 1970s...
Ukweli ni kwamba US kawaambia Israel indirect mkipiga seheu za mafuta za Iran na vinu vya nuclear mtakuwa kwenye hali ngumu...
Ndio maana nasemaje ngoja tusubiri damage watakayofanya...Hoja haikuwa US kupeleka ndege. Hoja ilikuwa ni Israel kujibu.
Wamejibu.
Wakati mashambulizi yanafanyika nimesikia Netanyahu yupo kwenye bunker kajificha katika kambi moja inaitwa Kirya na Yoav Gallant.
Dunia hii ilivyo na mambo mengi chini ya kapeti, ukute hapo walishafikia makubaliano pande mbili na kuihusisha Russia kuwa Iran iwape baadhi ya target zao za kijeshi wazipige ili kulimaliza hili suala na ionekane KISASI KIMELIPWA. Haiingii akilini taifa kama Israel lipigwe halafu eti iwachukuwe karibia mwezi kujipanga kulipa kisasi. Israel tunayoijua hujibu papo kwa papo.Si unaona wamesubiri hadi US kapeleka ndege vita za kutosha, kuna F22, F16, F15E na A 10...
Ngoja tusubiri madhara watakayosababisha, hata hapo wameshambulia kwa uoga mkubwa ni ile basi tu wasionekane wanyonge.
Ni ile unapigwa ngumi nzito hadi jino linatoka halafu unarudisha kibao kama unaua mbu kwa sababu ya uoga.
Tutaona hapa baadae hayo mashambulizi wametumia ndege vita, misiiles za masafa ama drones? na wameshabulia sehemu ngapi? tuendelee kusubiri..
Hiyo picha ni ya kikao teule ni ya leo mkuu wakati precise strike na target zilipokuwa zinaendelea maamae.Wakati mashambulizi yanafanyika nimesikia Netanyahu yupo kwenye bunker kajificha katika kambi moja inaitwa Kirya na Yoav Gallant.
Hawezi kutoka hadi wiki iishe.