and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Ayatollah anawindwa toka 1970s...Ayatollah sidhani kama Christmas itamkuta hai maana hawa mossad wako very strategic kwenye jambo lao
Tuone picha...Uoga kivipi wakati iDF wamepiga pia makao makuu ya jeshi la Iran, IRGC mjini Tehran?
ka nchi kama singida kamezingukwa ma nchi makubwa kibao ya wajaa chuki na bado kanawapakata kwa miongo nenda rudiAyatollah anawindwa toka 1970s...
Israel ni overrated hamna kitu, uwezo wake ipambane na Hamas na Hezbollah...
Kwa msaada wa US, bila US Israel haikai mwezi mmoja hapo middle East, watapigwa na nuclear zao.ka nchi kama singida kamezingukwa ma nchi makubwa kibao ya wajaa chuki na bado kanawapakata kwa miongo nenda rudi
Hapa Sasa ndipo unapokosea akina Netanyau na Yesu ni kama bange na polisiWhere are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.
Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.
Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.
Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.
JESUS AND ISRAEL FOREVER
😂😂😂Sawa mwajuma ndala ndefu😂
Wayahudi na Waislam tuwaombee wapate Neema ya Kristo na waache kuuana,,maana hawa wote Kwa kutomkiri kristo wanakufa katika hasara na jehanamu ndio makao yao.
Sio kwamba Ayatolah alisoma AlbadiriMimi nafuatilia Al Jazeera now. Hivi Irani hawana mifumo ya kuzuia makombora kweli? Where are the S-400 as regarded as the most advanced ant missiles?
Ume wrong number :
Waislam wanamtambua Nabii Issa (Yesu) kama Nabii na wanamtukuza Maryam (Marry) kama mama aliyepata mimba kwa miujiza ya Mungu. Soma Quran kuna sura ( chapter kamili) ya Maryam (Mary). Waislam wanavikubali vitabu viliyo tangulia Zaburi ya Daudi, Tairat ya Musa, Injili ya Isa( Yesu),
Hao wateule wenu Wayahudi wanamkana Yesu na kumuita mwanaharamu na kumdhalilisha Mary( Maryam) kama Malaya na hawaukubali ukirsto na vitabu vyake.
Picha yenyewe ya kugushi, wayahudi hawako hivyo!! Mahandaki ya Israel yanaitwa Basement kuna kila kitu kitanda,shuka,Hospital na Huduma zingine za kibinadamu. Angalia hata huyo askari Israel hakuna wa namna hiyo, Hard-hat israel hawatumii hizo tuambie vizuri hiyo umeipata wapi?
Hii picha ni mashabulizi ya Iran Oct 1 nchini Israel, wananchi wamejificha kwenye mahandaki wanaona kama mwisho wa dunia umefika...
Hizi video ni kambi ya Israel zilivyopigwa na Iran.
Mkorofi ni Iran siyo Israel. Irani anaingilia vita isiyomhusu akijifanya mwamba mashariki ya kati ! Acha apigwe.
America ndiyo baba wa ukorofi mkubwa duniani. Silaha zao zinaua kila mahali hawa wazayuni wamepewa silaha zote bure billion 20 $ kuua watoto wanawake shule hospital na kuvunja kila kitu. Wayahudi ndio wanaidrive America na ukubwa wote huo . Nisawa na ng’ombe anaekamuliwa maziwa watoto wake wanakosa maziwa anapewa mbwa. Mfano,
Taja idadi ya vifo na hasara iliyopatikanaKiufupi Israel imeleta hasara huko Tehran kuliko kuliko mashambulizi ya Iran Kwa Israel
Wanajeshi 2,Imajeruhi 16 Iran haikuua hata mmjaTaja idadi ya vifo na hasara iliyopatikana
Wakae chini wautatue huu mgogoro kwa amani. Pande zote ziweke ego pembeni kwa maslahi wa raia wake.Nini kifanyike?