Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Picha yenyewe ya kugushi, wayahudi hawako hivyo!! Mahandaki ya Israel yanaitwa Basement kuna kila kitu kitanda,shuka,Hospital na Huduma zingine za kibinadamu. Angalia hata huyo askari Israel hakuna wa namna hiyo, Hard-hat israel hawatumii hizo tuambie vizuri hiyo umeipata wapi?
Hio picha imewekwa na CNN...
Wakati mwingine muwe mnaacha ubishi wa kipuuzi...
Tuambie wayahudi wako vipi we unaye wafahamu...🤣

Hata mimi ungeniamsha usiku saa 8 ningesema hao ni wayahudi sasa wewe myahudi wa Ifakara tuambie wayahudi wapo vipi?

Wayahudi wapo hadi Ethioia, weusi tii, wayahudi wapo India, wayahudi wapo hadi China... Myahudi mchina unafahamu hilo?
 
Hio picha imewekwa na CNN...
Wakati mwingine muwe mnaacha ubishi wa kipuuzi...
Tuambie wayahudi wako vipi we unaye wafahamu...🤣

Hata mimi ungeniamsha usiku saa 8 ningesema hao ni wayahudi sasa wewe myahudi wa Ifakara tuambie wayahudi wapo vipi?

Wayahudi wapo hadi Ethioia, weusi tii, wayahudi wapo India, wayahudi wapo hadi China... Myahudi mchina unafahamu hilo?
Kwa hiyo hao ni wayahudi wa India,China na Ethiopia weusi tii kuliko wewe uliyejikoboa??
 
Kwa hiyo hao ni wayahudi wa India,China na Ethiopia weusi tii kuliko wewe uliyejikoboa??
Hao ni wayahudi hata kama unawaona ni kama waarabu, kuna arab jews wengi tu Israel na kumtofautisha na muarabu ni ngumu lakini wanafahamika...

Au unafikiri wayahudi wote ni wazungu kama Netanyahu?
 
Wamepotea hakuna kichaka chakujificha kiukweli hii aibu ya Karne
 
Hao ni wayahudi hata kama unawaona ni kama waarabu, kuna arab jews wengi tu Israel na kumtofautisha na muarabu ni ngumu lakini wanafahamika...

Au unafikiri wayahudi wote ni wazungu kama Netanyahu?
Wewe Wasema!! Hilo handaki la kwampalange limefikaje Israel? Nijuavyo mimi wao wana Basement tu!,
 
Hapo nato wakitaka kumchosha Iran waitumie Israel kama wanavyoichosha urusi kwa kutumia Ukraine.

Wakihakikisha zimechoka kabisa ndiyo nato inaingia mzigoni kumaliza mchezo.

Hao nato sio wajinga wanavuta subira na wanajiandaa kimya kimya,
Waangalie wasije wakavuta bange tuuuu
 
Nipo hapa Matombo msalabani, washabiki wa Taifa teule bado wanatafakari jibu la bibi kwa Ayatollah wa Irani!
 
Israel kaishambulia Leo Iran kiuoga uoga sana. Mimi nilitegemea kuona banker buster zikipiga hasa nuclear facilities zilijengwa huko mashimoni Iran. Ninaomba Israel ilirudishe majibu tena mengine yawe makali sana, hasa mpaka Wa Iran watoe Milio yote. Maana Oct 1 Iran alivyoshambulia sote tuliona video. Lakini hii ya Israel naona kama wameipiga kiuoga uoga naomba irudiwe.
Naunga mkono hoja! Irudiwe hii haijashwihi.
 
Back
Top Bottom