Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Tumia akili kwa hicho unachokisema badala ya UZUSHI. Kama iran aliziharibu ndege zikiwa Israel alipopiga .Sasa kwanini asingetungua ndege zilizofika kwake Iran zisitoke hata moja?.
Nioneshe ndege ipi imefika kweny anga la Iran ?
 
Iran wamesema batteries zimelipuka , tena asubuhi na mapema ila hakuna kambi imepigwa kwa sababu zifuatazo :- upigaji wa Israel hakuna kombora zito na kilichotokea upande wa batteries ni operation ya mfumo ngeni sana kwao .
Kama umekubali wametoa information wao pia huna huwakika ni kwa kiasi gani wamepata madhara

moja ya kitu muhimu kwenye uwanja wa vita ni Siri

inaweza kuna vifo na madhara makubwa kwa shambulio la jana ila lazma u minimize kubalance muzani

jeshi la Israel kila siku wanajeshi wanakufa ila huji kusikia "Leo katika operation tumepoteza wanajeshi 50"
 
Mbona watu wanaonekana wanalia , wameinama chini ....Angalia rate kuzuia yanafika mpaka chini ila iran kama zirushwa baruti.. 😀 😀 😀
Bro hivi tunaelewana kweli nimekwambia onesha ndege Moja tuuuu iliyo pigwa 😁
 
Kama umekubali wametoa information wao pia huna huwakika ni kwa kiasi gani wamepata madhara

moja ya kitu muhimu kwenye uwanja wa vita ni Siri

inaweza kuna vifo na madhara makubwa kwa shambulio la jana ila lazma u minimize kubalance muzani

jeshi la Israel kila siku wanajeshi wanakufa ila huji kusikia "Leo katika operation tumepoteza wanajeshi 50"
Naona huelewi , wanasambaza picha za uongo mpaka mitandao inawakataa ndio tatizo 😀 😀 😀 Video ya juu hata BBC wametoa ni kwamba zote zilikuwa completely intercoepts , ila tambua zinapozuiliwa sio zinapotea bali mabaki yanadondoka .

Mkasema sehemu ya biashara imepata madhara , watu wakaonesha mud huo watu wanaendelea na shughuli zao bila wasiwasi ...Ishu msizambaze picha za uongo kwa sababu hamuwezi kutudanganya wenye akili na uongo wenu .


Mfano kuna bomu lenye nguvu limefika hata usawa gorofa ?😀😀😀zote zilikuwa baruti.
 
Naona huelewi , wanasambaza picha za uongo mpaka mitandao inawakataa ndio tatizo 😀 😀 😀 Video ya juu hata BBC wametoa ni kwamba zote zilikuwa completely intercoepts , ila tambua zinapozuiliwa sio zinapotea bali mabaki yanadondoka .

Mkasema sehemu ya biashara imepata madhara , watu wakaonesha mud huo watu wanaendelea na shughuli zao bila wasiwasi ...Ishu msizambaze picha za uongo kwa sababu hamuwezi kutudanganya wenye akili na uongo wenu .


Mfano kuna bomu lenye nguvu limefika hata usawa gorofa ?😀😀😀zote zilikuwa baruti.
Mbona unajikanyaga swali dogo tu

Hizo battery zimelipuka na nn?

Hao Askari wameuwawa na nini?
 
Umeona makombora yalivyshuka huo usawa ? Usile fanya kujibu .!😀😀😀
Ndio nimeona kwa sabab Kuna mtu Aliweza ku record ilo tukio na tumeipata iyo video
Kwa Iran Hamna Alie record ilo tukio zaidi ya zile intercept lakn swali dogo tu Kama hakuna missile imepiga hao Askari na battery zimepigwaje?
 
Ndio nimeona kwa sabab Kuna mtu Aliweza ku record ilo tukio na tumeipata iyo video
Kwa Iran Hamna Alie record ilo tukio zaidi ya zile intercept lakn swali dogo tu Kama hakuna missile imepiga hao Askari na battery zimepigwaje?
😀 😀 😀Yale ndio makombora sio mnarusha baruti , tena mnasogea mpaka jordan na iraq ...Zile ni long rage missile ,
 
Mazayuni na kondoo zao wameumizwa sana na iran kupanguwa mashambulizi yao kiulaini kabisa.

Hezbollah wanaendeleza kichapo chao cha kuwanyofoa nyofoa mazayuni kama oawaida.

Ngoja niwatafute na Wayemeni wanasemaje.
 
Shida picha za kabumba Iran alishambulia live adi watoto wanaona viuma vinavyotua sasa daaa aya bhana lkn kashambulia nayy Walimwengu kwasasa wamejua Iran kubwa kijesh lkn ilikuwa inadunishwa na media zao Iran kwasasa atapata kuuza mifumo y ulinzi wateja kibao mana kizuli kinajiuza na kibaya kinajitembeza😀😀 sijui iron don tupa kuleeee
 
Kiukweli Iran kujizuia Sana kwenye vita hivi, Israel na US wamemvuta mno. Sasa ni bora tu kiwake hana namna akiendelea kucheka cheka hivi atapoteza kila kitu wale jamaa ni wanafiki na hawataki amani bora aivuruge tu amani yote middle east nadhani ndio wanachotaka
 
Back
Top Bottom