Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Iran: Milipuko ilisikika mjini Tehran huku Israel ikithibitisha mashambulizi

Msioelewa... Israel kapiga round mbili ya kwanza ni kumaliza uwezo wa mitambo ya ulinzi kisha asubuhi ndio kachapa makofi kiwanda cha Drone na ballistic missile.. Iran wamesema atakayepiga picha na kusambaza damage jela miaka 10.. asubuhi mdege za Israel zilikatiza kama zipo Gaza na Lebanon. Iran kavimba mno maana Air defense ipo uchi
 
kama ilivyo kwa Israel alivyo ficha na Iran kaficha pia ila kupigwa kapigwa mpaka unaona wanatangazwa askari wawili wa air force wamekufa ujue kuna Impact ila ni siri ya kambi
😀 😀 😀Mda huu jamaa anamalizia kahawa hajasema chochote , US na UN wanasema jamaa asilipize watatoa majehso mpaka Gaza na Lebanon.
 
🤣🤣

Hivi si ulisema Israel imefyata na haitojibu mapigo?

Imekuwaje tena sasa?
Halafu, Iran imeshambulia Israel kisa anaua proxy wake Hamas na Hezbollah. Lakini Israel bado anaendelea kuua hao proxy na mbaya zaidi anaua na raia Gaza na Lebanon. Sasa hayo mashambulizi ya Iran yanazuia nini?
Iran amekiri bases zimepigwa ingawa anasema madhara ni madogo,haya sasa akateketeze Israel kama alivyosema iwapo Israel itajibu.
 
Unaambiwa siyo Iran tu hata Syria imedondoshewa vitu vizito vyenye ncha butu.

Na haitaishia hapo tu sisi wayahudi weusi wa huku tutapeleka invoice kwa kila msikiti walipe hayo mabomu wateule wamedondosha.

NO MERCY

Nyau de adriz
Bado Israel anawatandika Hamas,Hezbollah na raia huko Gaza. Na Iran wala mwarabu yoyote hawezi kuzuia. Bado wanasema wanamuweza huyo Israel?
 
Mnapenda sana ujinga hata huwezi kuona TAREHE YA HIYO PICHA

Sasa hapo mjinga ni nani kama sio wewe?!! Picha hiyo ni 2021 ila ajabu imesambaa kuamkia leo kua ni shambulio la Israel ndani ya Iran la leo usiku!!
 

Attachments

  • Screenshot_20241026_164835_X.jpg
    Screenshot_20241026_164835_X.jpg
    359.3 KB · Views: 1
ZIle picha mnazosambaza ni uongo , hilo la askari katangaza mwenyewe.
Jiulize swali Kama mtu mzima Kama askari amekufa ujue kuna kitu kimepiga

Harafu swala la sijui picha sijui video ziko wapi unazani Ile ni movie Israel inapiga uku ina shoot video kuwe na ma director kabisa?
 
Jiulize swali Kama mtu mzima Kama askari amekufa ujue kuna kitu kimepiga

Harafu swala la sijui picha sijui video ziko wapi unazani Ile ni movie Israel inapiga uku ina shoot video kuwe na ma director kabisa?
Wanasema ni batteries zimelipuka , hao wawili walikuwa ndio wanaactive mfum kwa chini ...Kikubwa video zenu ni uongo labda mlete nyingine.
 
Kambi ya israel zimepigwa mpaka ndege zimeharibiwa ila vifo wameficha , video zipo nyingi tu .
Trust me hamna picha wala video hata Moja tuuuu ya ndege ya Israel iliyo halibika Iran ilipo shambulia sikatai Kama hazijapigwa ila hakuna mwenye access ya kupata iyo video zaidi ya walegwa wenyewe Kwa sabb za kiusalama hizo Air force base ni restricted Areas ataikipigwa inabaki ni top secret au confidential

Iran imepigwa na baadhi ya battery kwenye mfumo wa air defense zimepigwa ila huwezi ona izo picture only watu wenye access
 
Hawa
Halafu, Iran imeshambulia Israel kisa anaua proxy wake Hamas na Hezbollah. Lakini Israel bado anaendelea kuua hao proxy na mbaya zaidi anaua na raia Gaza na Lebanon. Sasa hayo mashambulizi ya Iran yanazuia nini?
Iran amekiri bases zimepigwa ingawa anasema madhara ni madogo,haya sasa akateketeze Israel kama alivyosema iwapo Israel itajibu.
Wanaleta ushabiki tu mkuu.lakini mtu kuifikia base yako ya jeshi ni kitu kibaya sana kijeshi. Lazima uwena maswali mengi kwanza kaingiaje. Na wakati ulijiandaa ulijua atakuja maana alishasema atakuja.
 
Trust me hamna picha wala video hata Moja tuuuu ya ndege ya Israel iliyo halibika Iran ilipo shambulia sikatai Kama hazijapigwa ila hakuna mwenye access ya kupata iyo video zaidi ya walegwa wenyewe Kwa sabb za kiusalama hizo Air force base ni restricted Areas ataikipigwa inabaki ni top secret au confidential

Iran imepigwa na baadhi ya battery kwenye mfumo wa air defense zimepigwa ila huwezi ona izo picture only watu wenye access
Iran wamesema batteries zimelipuka , tena asubuhi na mapema ila hakuna kambi imepigwa kwa sababu zifuatazo :- upigaji wa Israel hakuna kombora zito na kilichotokea upande wa batteries ni operation ya mfumo ngeni sana kwao .
 
Kambi ya israel zimepigwa mpaka ndege zimeharibiwa ila vifo wameficha , video zipo nyingi tu .
Tumia akili kwa hicho unachokisema badala ya UZUSHI. Kama iran aliziharibu ndege zikiwa Israel alipopiga .Sasa kwanini asingetungua ndege zilizofika kwake Iran zisitoke hata moja?.
 
Back
Top Bottom