gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Sisi wa telegram hizi tunazipata zikiwa mbichi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahambulio walilofanya la kujikosha,ili watu waendelee kuwaona miamba kumbe Bure, Dunia ishajua Israel ni mbwa Koko tu Hana loloteWanaomba amani...🤣
Kwanj kuna ndege ilifika iran?Tumia akili kwa hicho unachokisema badala ya UZUSHI. Kama iran aliziharibu ndege zikiwa Israel alipopiga .Sasa kwanini asingetungua ndege zilizofika kwake Iran zisitoke hata moja?.
Picha za Iraq na Lebanon.Israeli ilifanya mashambulizi makubwa dhidi ya Iran Jumamosi asubuhi, kama sehemu ya kisasi chake dhidi ya shambulio la kombora kutoka Tehran mapema mwezi huu.
Shambulizi hilo kutoka kwa Iran linaibua hofu kwamba mzozo wa muda mrefu kati ya majeshi haya yenye nguvu unaweza kugeuka na kuwa vita vya kikanda.
Jeshi la Israeli limesema lililenga "maeneo ya kijeshi" ya uhakika nchini Iran, huku vyombo vya habari vya serikali ya Iran vikiripoti milipuko kadhaa.
Chanzo cha jeshi la Israeli kiliiambia CNN kwamba malengo ya kulipiza kisasi hayakujumuisha miundombinu ya nishati. Iran imesema Israeli ilishambulia vifaa vya kijeshi kote nchini humo, na kusababisha “uharibifu mdogo” katika baadhi ya maeneo.
Uamuzi wa Israeli kushambulia kile ilichokiita malengo ya kijeshi ya Iran ulifanywa baada ya wiki kadhaa za mashauriano ndani ya baraza lake la usalama kuhusu aina na upeo wa shambulizi hilo, kulingana na maafisa wa Israeli.
Soma Pia: Israel kuishambulia Iran mapema badala ya kusubiri ishambuliwe, taarifa za kiintelijensia zaendelea kukusanywa
=============
Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.
The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".
View attachment 3135394
Source: CNN
Ndege za Israel hazikuingia anga la Iran.Trust me hamna picha wala video hata Moja tuuuu ya ndege ya Israel iliyo halibika Iran ilipo shambulia sikatai Kama hazijapigwa ila hakuna mwenye access ya kupata iyo video zaidi ya walegwa wenyewe Kwa sabb za kiusalama hizo Air force base ni restricted Areas ataikipigwa inabaki ni top secret au confidential
Iran imepigwa na baadhi ya battery kwenye mfumo wa air defense zimepigwa ila huwezi ona izo picture only watu wenye access
Source tasnim news 😂Mbona ume screenshot kwa namna hiyo?
Weka moja kwa moja na source ya hiyo habari ili tujuwe.
Hazina madhara wakati zimepiga target kwaniniWalikuwa wameshazisoma kwamba hazingeleta madhara makubwa.Iran ipo mbele mbele yao kiuweledi wa teknolojia kuliko Israeli. 🤔
Wewe hujui tu.Iran iliziona hizo ndege tangu zinawekwa mafuta na wakajua haziwezi kuleta dhahma kubwa.Ziliweza kuharibu vituo vya silaha na utengenezaji silaha tu.Kidooogoo,ziliua askari wanne tu.Kwa hiyo,it wasn't a big deal!🤔Hazina madhara wakati zimepiga target kwanini
Qatar watoe tamko ? 😂
Walikuwa wameshazisoma kwamba hazingeleta madhara makubwa.Iran ipo mbele mbele yao kiuweledi wa teknolojia kuliko Israeli. 🤔
Aiweke source ya hiyo habari moja kwa moja ili tujadili.Source tasnim news 😂