Ndio kaka. Wabongo wanajua vita wanapigana maporini yeye hapa mjini ataenda KMC Complex kama kawaida kuangalia Simba wakimenyana na Tabora United.Maisha nyuma ya keyboard matamu sana.
Waislam hawamwamin Yesu ila wamedokoa habari zake na kuzipachika kwenye Quran ila wakikwamini kikweli kweli lazima wawe wakristo.Ume wrong number :
Waislam wanamtambua Nabii Issa (Yesu) kama Nabii na wanamtukuza Maryam (Marry) kama mama aliyepata mimba kwa miujiza ya Mungu. Soma Quran kuna sura ( chapter kamili) ya Maryam (Mary). Waislam wanavikubali vitabu viliyo tangulia Zaburi ya Daudi, Tairat ya Musa, Injili ya Isa( Yesu),
Hao wateule wenu Wayahudi wanamkana Yesu na kumuita mwanaharamu na kumdhalilisha Mary( Maryam) kama Malaya na hawaukubali ukirsto na vitabu vyake.
Mwambie chanzo ni chili sosi.Wewe kila kitu "source"?????
Huwezi hata kujiongeza ukasogea twitter/X??
Hio picha hapo ni ya mwaka 2021 kwenye kiwanda cha mafuta Iran. Alafu cnn wanaongoza kwa ku fabricate information sio chanzo sahihi cha kuchukua habari na kuziamini. Video na picha za matukio ya mashambulizi ya leo yapo kwenye vyanzo ambavyo havina fake news. Wave ya kwanza ya mashambulizi ya israel ilikua ni drone Iran wametumia autocannon machine gun wame pickup drone zote, wave ya pili na ya tatu ilikua ni air strike ambapo missiles za Israel zilikua pickedup kwa kutumia medium range air defence systems ni misile chache zimefanikiwa kupita. Long range na advanced air defence system za iran wala hata hazikutumika, mashambulizi yote yamezimwa na system za kawaida tu.Israeli ilifanya mashambulizi makubwa dhidi ya Iran Jumamosi asubuhi, kama sehemu ya kisasi chake dhidi ya shambulio la kombora kutoka Tehran mapema mwezi huu.
Shambulizi hilo kutoka kwa Iran linaibua hofu kwamba mzozo wa muda mrefu kati ya majeshi haya yenye nguvu unaweza kugeuka na kuwa vita vya kikanda.
Jeshi la Israeli limesema lililenga "maeneo ya kijeshi" ya uhakika nchini Iran, huku vyombo vya habari vya serikali ya Iran vikiripoti milipuko kadhaa.
Chanzo cha jeshi la Israeli kiliiambia CNN kwamba malengo ya kulipiza kisasi hayakujumuisha miundombinu ya nishati. Iran imesema Israeli ilishambulia vifaa vya kijeshi kote nchini humo, na kusababisha βuharibifu mdogoβ katika baadhi ya maeneo.
Uamuzi wa Israeli kushambulia kile ilichokiita malengo ya kijeshi ya Iran ulifanywa baada ya wiki kadhaa za mashauriano ndani ya baraza lake la usalama kuhusu aina na upeo wa shambulizi hilo, kulingana na maafisa wa Israeli.
Soma Pia: Israel kuishambulia Iran mapema badala ya kusubiri ishambuliwe, taarifa za kiintelijensia zaendelea kukusanywa
=============
Several loud explosions have been heard in Iran's capital Tehran and Israel has confirmed it has launched strikes on military targets.
The Israeli military said it is conducting "precise strikes" on military targets in Iran in response to what it called "the continuous attacks from the regime in Iran against Israel".
View attachment 3135394
Source: CNN
Kwa kuongezea Tu, kambi ya BONYOKWA KWA KICHWA walisema Iran hawezi thubutu kuishambulia Israel vinginevyo atachakaa.Hizi coments zetu zinaonyesha wazi sisi watz tunauwezo mkubwaa wa kulipambania taifa letu katika yoyote ngumu.
Mwanzo tulisema Irana hawezi kufanya lolote,alipo jibu tukasema hajaleta madhara makubwa.
Upande wa pili wakasema Irani kamfundisha adabu Netanyahu,nakwamba Israeli hataweza kujibu mapigo,haya,kajibu tunasema hajaleta madhara makubwa.
Israel kaishambulia Leo Iran kiuoga uoga sana. Mimi nilitegemea kuona banker buster zikipiga hasa nuclear facilities zilijengwa huko mashimoni Iran. Ninaomba Israel ilirudishe majibu tena mengine yawe makali sana, hasa mpaka Wa Iran watoe Milio yote. Maana Oct 1 Iran alivyoshambulia sote tuliona video. Lakini hii ya Israel naona kama wameipiga kiuoga uoga naomba irudiwe.
Israel kaishambulia Leo Iran kiuoga uoga sana. Mimi nilitegemea kuona banker buster zikipiga hasa nuclear facilities zilijengwa huko mashimoni Iran. Ninaomba Israel ilirudishe majibu tena mengine yawe makali sana, hasa mpaka Wa Iran watoe Milio yote. Maana Oct 1 Iran alivyoshambulia sote tuliona video. Lakini hii ya Israel naona kama wameipiga kiuoga uoga naomba irudiwe.
Israel kaishambulia Leo Iran kiuoga uoga sana. Mimi nilitegemea kuona banker buster zikipiga hasa nuclear facilities zilijengwa huko mashimoni Iran. Ninaomba Israel ilirudishe majibu tena mengine yawe makali sana, hasa mpaka Wa Iran watoe Milio yote. Maana Oct 1 Iran alivyoshambulia sote tuliona video. Lakini hii ya Israel naona kama wameipiga kiuoga uoga naomba irudiwe.
Kweli kabisaa, maisha ni zawadi kwa wote, vita ni uchumi kwa wachache.Ndio kaka. Wabongo wanajua vita wanapigana maporini yeye hapa mjini ataenda KMC Complex kama kawaida kuangalia Simba wakimenyana na Tabora United.
Nyuma ya keyboard ndipo unapopata ujasiri wa kuandika wapigane kwanza tuone nani mbabe.
Ni sawa tu mkuu. Ayatollah kampiga ngumi ya mbavu Netanyahu, halaf Netanyahu karudisha kwa kurusha tu kibao ambacho kimepanguliwa na Ayatollah.Israel kaishambulia Leo Iran kiuoga uoga sana. Mimi nilitegemea kuona banker buster zikipiga hasa nuclear facilities zilijengwa huko mashimoni Iran. Ninaomba Israel ilirudishe majibu tena mengine yawe makali sana, hasa mpaka Wa Iran watoe Milio yote. Maana Oct 1 Iran alivyoshambulia sote tuliona video. Lakini hii ya Israel naona kama wameipiga kiuoga uoga naomba irudiwe.
Mimi niliwambia Israel ni chui kwenye picture hana lolote.Ni sawa tu mkuu. Ayatollah kampiga ngumi ya mbavu Netanyahu, halaf Netanyahu karudisha kwa kurusha tu kibao ambacho kimepanguliwa na Ayatollah.
Israel ni joka la kibisa ambalo halina meno wala uwezo wa kumeza mtu πππMimi niliwambia Israel ni chui kwenye picture hana lolote.
Sijui hizi aibu watazificha wapi mpaa US wanacheka na kumcheka shoga yao. Anatoa tarifa wapi anaenda piga, afu anaomba wasirudishe kipigo sababu kipigo ni kidogo sana.Israel ni joka la kibisa ambalo halina meno wala uwezo wa kumeza mtu πππ
Hata Burundi angetumia MK45 angeweza uwa askari watatu na kuwamiza 20 na kutoboa pipa tano za maji. Huyu Israel hana alicho fanya zaidi ya askari wawili kufa na 16 kupata majaraha madogo dogoπKishambulio kama kimefanywa na Burundi
Wewe si unaona hata wale wayahudi wenzao wa gongo la mboto wameshindwa kuja kwa wingi ku report shambulio hili.Sijui hizi aibu watazificha wapi mpaa US wanacheka na kumcheka shoga yao. Anatoa tarifa wapi anaenda piga, afu anaomba wasirudishe kipigo sababu kipigo ni kidogo sana.
Yule waziri wa majeshi ya Israel alituambia kipigo watakacho kitoa dunia nzima watashangaa, kweli tume shangaa kumbe ilikuwa kipigo cha kitoto sana.
Wayahudi wa humu walikuwa hawajui kama Iran ana Air defense.Wewe si unaona hata wale wayahudi wenzao wa gongo la mboto wameshindwa kuja kwa wingi ku report shambulio hili.
Wamebakia kuvizia thread za watu halaf ndo wanaingia kuandika ujinga wao. Kama Israel ingefanikiwa kufanya kile walichokikusudia basi hapa JF pangekuwa hapatoshi.