IRAN: Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran ya kulipiza kisasi

Safari hii Israel waondoke tu na huyo mzee mfuga madevu ndio washike adabu hao makafiri wa Iran.
 
 
Sana mdogoye.
 
Unasema uongo. Irani imesema Israel imeshambulia na Kuna "minimal damages" au kama lugha inakupiga chenga sema usaidiwe.
Sasa mbona hawaeleweki mkuu maana wanasema wamebomo yote angani??
Baadae askari wameuwawa??
Basi chukua hii
 
Unaelewa maana ya democratic? Usipagawe huyo ni US ndio anashikilia show
 
Hao wapalestina ni kama magaidi tu, hawana taifa. Ningekuwa msemaji wa dunia ningelifuta hilo taifa la kuabudu majini
 

SASA UNATUCHANGANYA. ULISEMA HAKUNA MADHARA. ILA WENZIO WANAKUAMBIA LAZIMA WALIPIZE KISASI. NA WEWE UMESHAHAU KUWA HAWAKUPATA MADHARA... BWEGE SANA SHEIKH KITINKU ANAKUDANGANYA SANA

 
Wewe mtafute SHOGA yako Faiza Foxy Mwambie nyote mnasubiliwa chumbani kuna baby Jonson oil kwa ajili yenu
 
Yani unaona moto halafu unauliza madhara Yako wapi aise we vipi?
Huna tofauti na Bashite, so ukiona moto basi akili yako inajiongeza kuwa kuwa madhara? Usikute kuna mtu anakuita baba, nchi ngumu sana hii kama raia wake ndiyo watu kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…