Iran wameiambia Marekani wakiingilia vita vyao na Israel, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu

Iran wameiambia Marekani wakiingilia vita vyao na Israel, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu

Kwa amani ya dunia Ayatollah must go! Anajifanya ndiye master of the marine routes middle east nani apite na nani asipite. One of the deadly mistakes hawatamwacha salama.
Amani ya dunia ipi? Amani
Ya dunia Israe anauwa watoto wachanga hiyo ndiyo amani ya dunia?

#BREAKING Iran closes airspace over Tehran FIR.

Ndege yoyote itakayokatiza anatungua.

Mnaanza kulia lia eti amani ya dunia mabwana zenu si taifa la mungu mnaogopa nini sasa.
 
Amani ya dunia ipi? Amani
Ya dunia Israe anauwa watoto wachanga hiyo ndiyo amani ya dunia?

#BREAKING Iran closes airspace over Tehran FIR.

Ndege yoyote itakayokatiza anatungua.

Mnaanza kulia lia eti amani ya dunia mabwana zenu si taifa la mungu mnaogopa nini sasa.
Let's wait and see! May be kafir Russia ata-intervene!
 
Wanaukumbi.

Mambo yanazidi kuwa mazito Israel walikuwa wanadhani Iran ni kama Gaza.

Vyombo vya Habari vya Israeli: Kwa hatua hii, Wairani walituma ujumbe wazi kwa Amerika. Ukiingilia kati kwa niaba ya Israeli, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu.


View: https://x.com/sprinterfactory/status/1779122945136148708?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

UP DATE.
========================

View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1779237034562879667?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwb

USHAMBULIAJI WA IRAN KWA ISRAEL

- Zaidi ya ndege 50 zisizo na rubani za Iran zimerushwa kuelekea Israel

- Weka kuchukua saa kadhaa kabla ya kufikia anga ya Israeli

- Shughuli za ndege zisizo na rubani zaonekana juu ya Iraq

- anga ya Iran, Jordan na Israel itafungwa

- Jeshi la Israeli na ulinzi wa anga katika tahadhari ya juu

- Shambulio la kwanza la moja kwa moja la Irani kwenye eneo la Israeli

Una bahati mbaya, uko upande dhaifu. Ni kama Kushabikia Madrid vs Lipuli.
 
Kuna utawala uliogofya Middle East kama Saddam regime na uzao wake katili Uday na Qusay?

Yaliyotokea ni historia; dikteta alidakwa mashimoni kama kuku wa mdondo na kuishia kula kitanzi akidhihakiwa na vijana wadogo!

Mnamkumbuka Muamar Gaddafi? Jitu lililoogopeka Afrika yote? Likiishia kusokomezwa vitu vigumu kwenye mitaro na wahuni?

Where is Hosni Mubarak? Who is Ayatollah? Mbona mna akili za kuku hamjifunzi ninyi?
Kumaliza iran ni sawa na kumaliza vatican ukifanikiwa kuvunja imani ya ukatoliki vatican kama state unaivunja na ukifanikiwa kuuvunja uislam wa ushia ya iraq na iran ayatollah na regime nayo utaivunja, kama wanajiandaa wajiandae sana maana kama ni kuipiga Saddam alichapwa akiwa mpweke ,na gaddafi akiqa mpweke
Hapo syria walitaka kumchapa Assad walidhani mpweke muiran kaweke mkono hadi Assad wa Syria bado yupo kama Assad tu wamemshindwa watamuweza muweza muiran how do ypu fight nearly 2million active in total from iran ,afghanistan lebanon ,syria ,iraq ,yemen na palestine and you win iran akianzishiwa vita hizo axis zote zinaingia mzigoni .
 
Ha ha ha! Kwamba ile ilikuwa trailer tu; picha lenyewe bado? Kazi ipo.
Unajichekesha mabwana zenu wamejificha kwenye mashimo huko.
🇮🇱Wakati Israeli yote iko katika hofu, maandamano makubwa ya kumpinga Netanyahu yanafanyika Tel Aviv.

Waandamanaji wa Israel hawako tayari kuhama karibu na Wizara ya Vita

Mzozo katika Mtaa wa Anza wa Tel Aviv karibu na Wizara ya Vita unaendelea na waandamanaji hawako tayari kuondoka barabarani.
 
Wanaukumbi.

Mambo yanazidi kuwa mazito Israel walikuwa wanadhani Iran ni kama Gaza.

Vyombo vya Habari vya Israeli: Kwa hatua hii, Wairani walituma ujumbe wazi kwa Amerika. Ukiingilia kati kwa niaba ya Israeli, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu.


View: https://x.com/sprinterfactory/status/1779122945136148708?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

UP DATE.
========================

View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1779237034562879667?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwb

USHAMBULIAJI WA IRAN KWA ISRAEL

- Zaidi ya ndege 50 zisizo na rubani za Iran zimerushwa kuelekea Israel

- Weka kuchukua saa kadhaa kabla ya kufikia anga ya Israeli

- Shughuli za ndege zisizo na rubani zaonekana juu ya Iraq

- anga ya Iran, Jordan na Israel itafungwa

- Jeshi la Israeli na ulinzi wa anga katika tahadhari ya juu

- Shambulio la kwanza la moja kwa moja la Irani kwenye eneo la Israeli

Buriani Iran

God Bless Israel
 
Back
Top Bottom