Hahaha mlokole kwisha habari yako hivi na Bikira Maria atakuwepo!?Bwana wako anakusubiri akupatie bikira 72. Yani mtachakazwa hadi muanze kuandamana hapo buza
Hahahha leo mmebadilika tena🤣🤣Iran haiweza kufurukuta mbele ya Marekani; tusijidanganye. Netanyahu hana uhusiano mzuri na Biden na ndiyo maana Biden haonyeshi kutaka kumsadia kwenye vita hiyo. netanyahu alivuruga sana wakati wa utawala wa Obama na trump yeye akajipachika kuwa upende wa Republicans, kwa hiyo democrats hawanam mwamko wowote naye kwa sasa hivi.
Hivi ndivyo unavyoota aisee!?Bwana wako anakusubiri akupatie bikira 72. Yani mtachakazwa hadi muanze kuandamana hapo buza
Wamevurugwa Waisrael weusi.Hivi ndivyo unavyoota aisee!?
Kuwa makini amka utakojoa mkuu kitandani,ukiona choo usingizini usikitumie.
Toka 1980 wamemshindwa watamuweza sasa hivi!?
🚨🇮🇷 IRAN BOMBS:Quran imetabiri nini mkuu?
Wasikilize watu wenye akili siyo nyie mapunguaniUna bahati mbaya, uko upande dhaifu. Ni kama Kushabikia Madrid vs Lipuli.
Pale mishoga inapokasirika inapoona base zao zinashambuliwa,tulianza Ukraine sasa tupo kwa mishoga mingine wewe baki na historia yakoKuna utawala uliogofya Middle East kama Saddam regime na uzao wake katili Uday na Qusay?
Yaliyotokea ni historia; dikteta alidakwa mashimoni kama kuku wa mdondo na kuishia kula kitanzi akidhihakiwa na vijana wadogo!
Mnamkumbuka Muamar Gaddafi? Jitu lililoogopeka Afrika yote? Likiishia kusokomezwa vitu vigumu kwenye mitaro na wahuni?
Where is Hosni Mubarak? Who is Ayatollah? Mbona mna akili za kuku hamjifunzi ninyi?
Propaganda tu za Iran, wameua Mossad agent 44? Wamedukua na mfumo wa umeme wa Israel! Story za, chekechea hz,
Maadui wa kweli ni pamoja na Egypt, Saudi Arabia, Jordan, UAE, Kuwait na Bahrain.
hizi nchi umezisahau I.e Iraq , Yemen , Jordan , Egypt , Libyia , Syria na Waarabu wa Palestine , wote hawa waliliwa kibogaBiden na Mawaziri wa Israel wanaropoka tu wanadhani Iran kama vile Gaza unaweza kuingia vifaru anga yote ukaitawala huku wanapiga mabomu shule, Hospital, na kuuwa watoto, Iran tofauti anawajambisha Natenyahu kafichwa kusipojulikana.
Kwanini achape balozi!?Propaganda tu za Iran, wameua Mossad agent 44? Wamedukua na mfumo wa umeme wa Israel! Story za, chekechea hz,
Iran hana ubavu wa full scale war na Israel, ataishia kutupa makombora tu,
Kama anaweza angeuchapa ubalozi wa Israel Misri, Qatar, au kwenye nchi yoyote ya Afrika!
Yemeni haijawahi pigwa na Israel usitudanganye.hizi nchi umezisahau I.e Iraq , Yemen , Jordan , Egypt , Libyia , Syria na Waarabu wa Palestine , wote hawa waliliwa kiboga
Propaganda tu za Iran, wameua Mossad agent 44? Wamedukua na mfumo wa umeme wa Israel! Story za, chekechea hz,
Iran hana ubavu wa full scale war na Israel, ataishia kutupa makombora tu,
Kama anaweza angeuchapa ubalozi wa Israel Misri, Qatar, au kwenye nchi yoyote ya Afrika!
Yani unaonesha ulivyo mweupePropaganda tu za Iran, wameua Mossad agent 44? Wamedukua na mfumo wa umeme wa Israel! Story za, chekechea hz,
Iran hana ubavu wa full scale war na Israel, ataishia kutupa makombora tu,
Kama anaweza angeuchapa ubalozi wa Israel Misri, Qatar, au kwenye nchi yoyote ya Afrika!
Hizo propaganda kawaelezea mashoga wenzako ndiyo watakuelewa media zamani tulidanganywa sana kuhusu Israel kumbe hamna vita vya Gaza ndiyo tumekuja kujua IDF hamna kitu mashoga watupu miezi 6 wameshindwa kujua mateka walipo Gaza yenyewe Kigqmboni kubwa wamebaki kuuwa watoto na kushambulia wagonjwa hospitali, kakutana na Iran 😃hizi nchi umezisahau I.e Iraq , Yemen , Jordan , Egypt , Libyia , Syria na Waarabu wa Palestine , wote hawa waliliwa kiboga
Wewe mlokole unaleta uharo gani🤣🤣
View: https://x.com/sputnikint/status/1779442992115277949?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hizo propaganda kawaelezea mashoga wenzako ndiyo watakuelewa media zamani tulidanganywa sana kuhusu Israel kumbe hamna vita vya Gaza ndiyo tumekuja kujua IDF hamna kitu mashoga watupu miezi 6 wameshindwa kujua mateka walipo Gaza yenyewe Kigqmboni kubwa wamebaki kuuwa watoto na kushambulia wagonjwa hospitali, kakutana na Iran 😃