Iran wameiambia Marekani wakiingilia vita vyao na Israel, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu

Iran wameiambia Marekani wakiingilia vita vyao na Israel, tutafunga Ghuba ya Uajemi kama Bahari Nyekundu

Iran haiweza kufurukuta mbele ya Marekani; tusijidanganye. Netanyahu hana uhusiano mzuri na Biden na ndiyo maana Biden haonyeshi kutaka kumsadia kwenye vita hiyo. netanyahu alivuruga sana wakati wa utawala wa Obama na trump yeye akajipachika kuwa upende wa Republicans, kwa hiyo democrats hawanam mwamko wowote naye kwa sasa hivi.
Hahahha leo mmebadilika tena🤣🤣

Si mlikuwa mnasema Iran hana uwezo wa kuishambulia Israel baada ya kipigo mmebadilka
 
Bwana wako anakusubiri akupatie bikira 72. Yani mtachakazwa hadi muanze kuandamana hapo buza
Hivi ndivyo unavyoota aisee!?
Kuwa makini amka utakojoa mkuu kitandani,ukiona choo usingizini usikitumie.
Toka 1980 wamemshindwa watamuweza sasa hivi!?
 
Hivi ndivyo unavyoota aisee!?
Kuwa makini amka utakojoa mkuu kitandani,ukiona choo usingizini usikitumie.
Toka 1980 wamemshindwa watamuweza sasa hivi!?
Wamevurugwa Waisrael weusi.

Israel ni mtoto aliedekezwa sana anatukana watu wazima halafu anajificha kwenye migongo wa baba zake Maarekani na Ulayab sasa safari kamchokoza kichaa Iran, kakutana na bakora ambazo hakutegemea baba zake wote wameambiwa wakiingilia nao watachezea kichapo
 
Quran imetabiri nini mkuu?
🚨🇮🇷 IRAN BOMBS:
- Military Targets

🚨🇮🇱 ISRAEL BOMBS:
  • Innocent Civilians
  • Universities
  • Aid Workers
  • Journalists
  • Places of worship
  • Hospitals
  • Businesses
  • Refugee Camps
  • Food Supply
  • Markets
  • Water Supply
  • Homes
  • Infrastructure
  • Libraries
  • Shelter Zones
 
Una bahati mbaya, uko upande dhaifu. Ni kama Kushabikia Madrid vs Lipuli.
Wasikilize watu wenye akili siyo nyie mapunguani

Tumekuwa tukionya kwa miezi kadhaa: Usaidizi wa Marekani/EU kwa Israel unahatarisha vita zaidi. Miezi 6 ya mauaji ya kimbari. Mashambulizi ya mara kwa mara kwa majirani ili kuchochea vita, incl. Ubalozi mdogo wa Iran. Kutokujali kabisa. Hakuna vizuizi. Hakuna matokeo. Ndio maana haya yanatokea. Ili kuepusha vita, acha kusaidia kuisababisha.


View: https://x.com/claredalymep/status/1779521521033056704?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Kuna utawala uliogofya Middle East kama Saddam regime na uzao wake katili Uday na Qusay?

Yaliyotokea ni historia; dikteta alidakwa mashimoni kama kuku wa mdondo na kuishia kula kitanzi akidhihakiwa na vijana wadogo!

Mnamkumbuka Muamar Gaddafi? Jitu lililoogopeka Afrika yote? Likiishia kusokomezwa vitu vigumu kwenye mitaro na wahuni?

Where is Hosni Mubarak? Who is Ayatollah? Mbona mna akili za kuku hamjifunzi ninyi?
Pale mishoga inapokasirika inapoona base zao zinashambuliwa,tulianza Ukraine sasa tupo kwa mishoga mingine wewe baki na historia yako
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa Israel na washirika wake.
 
Biden na Mawaziri wa Israel wanaropoka tu wanadhani Iran kama vile Gaza unaweza kuingia vifaru anga yote ukaitawala huku wanapiga mabomu shule, Hospital, na kuuwa watoto, Iran tofauti anawajambisha Natenyahu kafichwa kusipojulikana.
hizi nchi umezisahau I.e Iraq , Yemen , Jordan , Egypt , Libyia , Syria na Waarabu wa Palestine , wote hawa waliliwa kiboga
 
Propaganda tu za Iran, wameua Mossad agent 44? Wamedukua na mfumo wa umeme wa Israel! Story za, chekechea hz,
Iran hana ubavu wa full scale war na Israel, ataishia kutupa makombora tu,
Kama anaweza angeuchapa ubalozi wa Israel Misri, Qatar, au kwenye nchi yoyote ya Afrika!
Kwanini achape balozi!?
Balozi zimemkosea nini!?
Balozi za hizo nchi ndizo zilizolipua Balozi ya Iran Syria au IDF kutokea Israel ndio imeshambulia Iran consulate!?
Upunguze kuropoka.
Ni sahihi Iran alivyoshambulia directly Israel kwasababu kombora lililolipua balozi ya Iran Syria lilitoka Israel halijatoka katika balozi za Israel mataifa mengine.
 
hizi nchi umezisahau I.e Iraq , Yemen , Jordan , Egypt , Libyia , Syria na Waarabu wa Palestine , wote hawa waliliwa kiboga
Yemeni haijawahi pigwa na Israel usitudanganye.
USA mwenyewe alishindwa kupitia Saudi Arabia kwa kuivamia Yemen.
 
Propaganda tu za Iran, wameua Mossad agent 44? Wamedukua na mfumo wa umeme wa Israel! Story za, chekechea hz,
Iran hana ubavu wa full scale war na Israel, ataishia kutupa makombora tu,
Kama anaweza angeuchapa ubalozi wa Israel Misri, Qatar, au kwenye nchi yoyote ya Afrika!
 
Propaganda tu za Iran, wameua Mossad agent 44? Wamedukua na mfumo wa umeme wa Israel! Story za, chekechea hz,
Iran hana ubavu wa full scale war na Israel, ataishia kutupa makombora tu,
Kama anaweza angeuchapa ubalozi wa Israel Misri, Qatar, au kwenye nchi yoyote ya Afrika!
Yani unaonesha ulivyo mweupe
 
hizi nchi umezisahau I.e Iraq , Yemen , Jordan , Egypt , Libyia , Syria na Waarabu wa Palestine , wote hawa waliliwa kiboga
Hizo propaganda kawaelezea mashoga wenzako ndiyo watakuelewa media zamani tulidanganywa sana kuhusu Israel kumbe hamna vita vya Gaza ndiyo tumekuja kujua IDF hamna kitu mashoga watupu miezi 6 wameshindwa kujua mateka walipo Gaza yenyewe Kigqmboni kubwa wamebaki kuuwa watoto na kushambulia wagonjwa hospitali, kakutana na Iran 😃
 

IMG_20240414_213609.jpg


😀😄😀😄Wazayuni wana dharau sana
 
Hizo propaganda kawaelezea mashoga wenzako ndiyo watakuelewa media zamani tulidanganywa sana kuhusu Israel kumbe hamna vita vya Gaza ndiyo tumekuja kujua IDF hamna kitu mashoga watupu miezi 6 wameshindwa kujua mateka walipo Gaza yenyewe Kigqmboni kubwa wamebaki kuuwa watoto na kushambulia wagonjwa hospitali, kakutana na Iran 😃
IMG_20240414_213609.jpg


😄😄😀😄Utalimia meno kobasi
 
BREAKING: TAMKO RASMI LA IRAN KWA BARAZA LA USALAMA LA UN

"Ikiwa Israeli inataka kuendelea na operesheni zake mbaya, itapata majibu mara kadhaa zaidi.

Hatutasita kujitetea na kufichua sehemu ndogo ya uwezo wetu wa kuzuia.

Tulilenga maeneo ya jeshi la Israeli katika shambulio hilo na hakuna shughuli zingine kwenye ajenda yetu.

Tulichukua hatua ndogo za kuadhibu na kuepuka kulenga vifaa vya kiuchumi na miundombinu."
 
Back
Top Bottom