Iran: Wanawake wavua hijab kulalamika mauaji ya mwenzao kisa sheria ya dini

Haya mambo haya, Naomba mnisaidie hili wajuzi.

Kama issue ni kujistili kwann na wanaume wasivae hijab ili kuficha Sehemu ya miili yao inayoweza kumsababishia mtu mwingine kushawishika?
Habari imekaa ki ushabiki zaidi ya uhalisia.

Naona hapo kuna kipande umeki copy kinasema "unfortunately" lakini hujaweka link ya hiyo "official version. Kwanini?

Tueleze maana ya "unfortunately " na pia turleze maana ya "one hour of re-education".

Basi mkiona neno "hijab" mna panic.

Tuelewane kitu kimoja, hivi wale ma sister wa kanisa katoliki ni mapenzi yao kuvaa vile au kanisa katoliki linawalazimisha?

Hijab huanzia mioyoni sio kwenye mavazi.


Tyache kuongea ujinga, tuanze kwa kuongelea na kuchambua wanaokufa hapa Tanzania wakiwa mikononi mwa polisi. Ni sheria inataka hiyo?

Na
 
Haya mambo haya, Naomba mnisaidie hili wajuzi.

Kama issue ni kujistili kwann na wanaume wasivae hijab ili kuficha Sehemu ya miili yao inayoweza kumsababishia mtu mwingine kushawishika?
Kila lilipotajwa neno hijab ndani ya Qur'an limetajwa kwa wote. Neno hijab kama ulivyosema. Ni stara, sio nguo, stara ni kwa wote si kwa mnamke au mwanamme pekee.
 
... kuondoa uwajibikaji, ma-Ayatollah watakuambia fitna za wamarekani hizo!

Ilaa wee jamaa sijui mzungu alikunywesha dawa ipi mpaka umuone mwarabu/muislamu sio kitu. Watu kama wewe hata ubalozi wa nyumba 10 haustahili.
 
Naona wahame hao wanaoogopa kuona nywele za wanawake
Wapi pameandikwa kunauoga huo?

Nahisi lugha iliyotumika inakupiga chenga au mleta mada kaileta hii habari kwa ushabiki wa kijinga, simply ignorant s.

Mbona hatujaona mkishabikia wanaoandama mara kwa mara kushinikiza hijab ziruhusiwe? Au hayo hamuyaoni?
 

Ha ha ha!! Shikamo bibi, ulikua umetoweka sana kwenye hizi mada za kuwatetea wanaume wa kiislamu dhidi ya tuhuma zinazohusu kuwanyanyasa nyie wanawake wao. Sema kwenye kujibizana humu nimekuja kugundua shida ilianzia kwa huyo mtume wenu mnayemuabudu, ndio nilishangaa juzi kumbe alioa katoto ka miaka 6 ila akaja kukatia kalipofikia umri wa miaka tisa.

Hapo ndio wanawake wa kiislamu walianza kuonwa kama takataka, unaweza ukagegeda katoto tu na isiwe issue, maboko haram yamekua yakiteka watoto na kuwafanya wake zao, yaani nilikua najua mna kasoro ila ndio sasa nimewadharau kabisa, pole zenu halafu ndio msharogwa na kuwa kama mazombi, hamuambiliki.
 
Shetani kawaida ana nguvu sana kwa binadamu asiye na uchamungu.Hayo yanayotokea Iran yashatokea sehemu nyingi.Nyumba yake huwa kunakuwa na uchochezi wa nchi za kishetani ambazo zimetawala vyombo vya habari na hasa mitandao ya kijamii.Wanawafikia mashetani wenzao moja kwa moja.Saudia walishindwa kuzui gari.Na wanawake ni nguzo kubwa ya shetani katika kuleta ufisadi pahala.Angalia kwenye mikushanyiko ya kupunga mapepo utaona wanawake wanadondoka kama kumbikumbi kila mmoja anamfuata shetani mkuu. Haingii akilini eti kufa kwa msichana mmoja ndio waliobakia wavue hijabu.kwani walikuwa wakimvalia raisi wa Iran.Na huyo aliyekufa wana ushahidi gani wa kuwa alikufa kwa kuvaa hijabu.
 
Nimewaza nikifikiria nafasi ya Mungu kwa hawa watu. Hivi wanawake kujisitiri kichwa ni agizo la Mungu au wanadamu? Kama ni agizo la wanadamu na wamejiwekea kwa pamoja adhabu ya kuuana, je hiyo sheria ni kwa msingi upi wa kidini ikiwa Mungu anakataza kuua!? Kama ni agizo la Mungu, kwan Mungu hawezi kulismamia mwenyewe kwa mtu kubeba dhambi yake mwenyewe?
Unamuua binadamu mwenzako, ulimuumba wewe? Unaijua gharama ya kumuumba?
You people, are you compelled /manipulated by the devil?
 
Kati ya mambo yote mambo ya kunya ndio umeona ni hoja kubwa?
Kunya ni hoja maana inazingatia usafi watizame hao munaowakashif kila kukicha juu ya usafi utajifananisha nao? Hata siku Moko haitakaa itokee maana Wana vipindi vitano kwa siku inamaana muda wote ni wasafi Kisha hawatumii makarasi .je unajua ukitumia karatasi jasho likikutoka likapita hapo mtaroni matokeo yake Nini nadhani unafahamu maana itakuwa ishakutokea
 
Mambo yako ni ya kunya kunya tu!
 
Hakuna cha mfumo dume, sheria ni lazima zifuatwe. Kama hawataki wahame nchi. Hazitobadilika.
Iv na hii kiangazi unafikir kuvaa hyo hijjab nyeusi ni rahc eeh?yaan nyie wanaume mnawachezea wanawake kanyaboya..nyie mnavaa nyeupe ambazo zinaakisi mwanga ila wanawake mnawavalisha nyeusi ili wateseke na joto...hata ingekuwa mimi ngelipiga moto tu.....jarbun kufanya kinyume muone ilivyo ngumu
 
Sijui waliingiaje mkenge wa hiyo dini ya mwarabu, Persians ni watu wenye akili sana na wangekua mbali sana leo hii isingekua huo uzombi wa kidini.

Hiyo dini ingeachiwa waswahili na waarabu basi.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…