Iran: Wanawake wavua hijab kulalamika mauaji ya mwenzao kisa sheria ya dini

Iran: Wanawake wavua hijab kulalamika mauaji ya mwenzao kisa sheria ya dini

Uzuri wake ujingabtuliosomea nyie wajuzi wa mambo bado mnausoma pia hapa jf.
Tunawasoma ujinga wenu na kila tunapoweza tunawafundisha ujanja, usiwe na shaka, tusome kwa utii, ujinga utakutoka.
 
 
Wanawake wa Kiislamu ngoja tu mfunikwe mitambala, mtulie.

Mtu unazaliwa hadi unakufa sura yako imefunikwa na mitambala mieusi tii na wewe unaflahia tu.

Huyo Mungu angependa hivyo si ange wafunika na nywele msionekane.

Kwanza hijabu ya kuonesha sura ni hijabu feki.

Hijabu halisi mitambala inakufunika mwili mzima. Hadi macho. Ndivyo Dini ya haki ya Kiislamu inavyo sema.
 
Wanawalazimisha kuvaa mahijabu wakati wanawake wao hawataki????
Waje bongo tuwabadilishie na wa kwetu maana huku kwetu kuna wanawake hawajawai vua hijabu hata cku moja Iran ingewafaa sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imeisha hiyo, wanawake wa Iran wamesha hitimisha jambo lao.

Hijabu itavaliwa kwa hiari tu kuanzia leo.
Bado nipo Tehran.
 
In 1979 wanapendeza kweli . Kabla ya hayo masheria ya kipuuzi . Acha nywele zipumue
Screenshot_2022-09-27-14-40-37-996_com.twitter.android.jpg
 
Unamaanisha na wanaume wanavaa hijab??
Kila lilipotajwa neno hijab ndani ya Qur'an limetajwa kwa wote. Neno hijab kama ulivyosema. Ni stara, sio nguo, stara ni kwa wote si kwa mnamke au mwanamme pekee.
 
Hijabu limtoe mtu Roho
Likitamba la kuchoma moto kabisa . Wanadhamini likitamba kuliko Roho ya mtu maanina zao .
 
Waarabu wakiona kichwa cha mwanamke wanawaka tamaa.

Mbona wakija huku kwetu lindi wanawake wengi hawafuniki kichwa na wanatulia tu.

Ulaya na amerika kichwa hakifunikwi na maisha yanaendelea.

Ina maana wanaume wa Kiislamu ndio mna njaa sana hadi mna wehuka na nywele za wanawake ?

Waasilamu ni watu wa ajabu sana kwakweli.

Hivi mnapoangalia mechi za mpira wa miguu au riadha au mieleka au basketi za wanawake ndo mnachanganyikiwa sana au.

Maana wanavaa bukta tu.

Hiyo Dini ya Majini inawafikirisha upumbavu tu.
 
Waarabu wakiona kichwa cha mwanamke wanawaka tamaa.

Mbona wakija huku kwetu lindi wanawake wengi hawafuniki kichwa na wanatulia tu.

Ulaya na amerika kichwa hakifunikwi na maisha yanaendelea.

Ina maana wanaume wa Kiislamu ndio mna njaa sana hadi mna wehuka na nywele za wanawake ?

Waasilamu ni watu wa ajabu sana kwakweli.

Hivi mnapoangalia mechi za mpira wa miguu au riadha au mieleka au basketi za wanawake ndo mnachanganyikiwa sana au.

Maana wanavaa bukta tu.

Hiyo Dini ya Majini inawafikirisha upumbavu tu.
Ficha upumbavu wako ewe kafir
 
Back
Top Bottom